Ndiyo ujue sasa kuwa habari za Majungu hazimjengei mwanadishi ujasiri pale anapokutana na Kiongozi na hasa kiongozi ambaye unazushia uongo. Afadhali hata huyo ametapa tapa, Kubenea hata kuhema angeshindwa.Huyu muhariri akiwa anaongea kwenye TV kwa ukali lakini nashangaa sana jana kapata nafasi ya kumuuliza JK swali uso kwa macho lakini kauliza swali dhaifu sana...JK sijui aliwapa nini wahariri alikuwa akicheka na wenyewe wanacheka.
Wahariri walikuwa wanauliza maswali dhaifu sana utadhani wapo kwenye kipindi cha malumbano ya hoja.