abdulrahmana
JF-Expert Member
- Aug 4, 2016
- 225
- 132
Ndio maana nilitaka unipe majibu ya moja kwa moja si ya kurejelea.Ni sawa lakini huoni tayari ushapoteza huo muda ngoja nitakusaidia
Ndio maana nilitaka unipe majibu ya moja kwa moja si ya kurejelea.Ni sawa lakini huoni tayari ushapoteza huo muda ngoja nitakusaidia
Aliwatuma wajumbe wake kuwafikishia ujumbe wengine.Lakini mtume Mussa alayhisalaamu aliongeleshwa na Muumba.Kama ilivyokuja katika Qur'an tukufu.Anasema Mola aliyetukuka :Ushahidi wa kuwepo kwa Roho uko wapi?
Kama Mungu ni Roho, maana yake hashikiki, hahisiki, hasikiki, wala haonekani....sasa aliwasiliana vipi na wanadamu na kuwapa sheria zake?
Its true that ''Energy can neither created no destroyed'' but the source of energy present in the solar system is the Sun.....So does it mean that the source/origin of God is Sun if we consider God to be energy?
Bila shaka ndio sababu ya kuuliza swali kwa kusema Swali la kijinga.Sijauliza mwenye makosa wala aliyepatia.
Mkuu kwahiyo ndio kusema Mungu ndiyo Energy?Mkumbushe kuwa wanasayansi waliomfundisha Emprically walimfundisha pia kuwa Energy can exist in any form.Ndio kusema inaweza kuchukua au kuwa katika umbo lolote lile.Kama ndivyo basi roho (energy) hashindwi kutwaa mwili.Kama anapenda kujifunza tunaweza kumrejesha katika Injili ya Yohana aone jinsi energy (roho) ilivyoumba ulimwengu."Hapo Mwanzo kulikuwepo Neno naye....Na kila kitu kilifanyika kwa huyo neno .....Na bila huyo neno hakuna ambacho kingefanyika(Universe)."
Je mazungumzo ya Mungu na Musa yalifanyika kwa namna gani?Aliwatuma wajumbe wake kuwafikishia ujumbe wengine.Lakini mtume Mussa alayhisalaamu aliongeleshwa na Muumba.Kama ilivyokuja katika Qur'an tukufu.Anasema Mola aliyetukuka :
"Na Mola akamzungumzisha Mussa maneno"
Alimzungumzisha maneno kwa sauti.Vipi awe yeye wakati alikuwa anapewa ujumbe kupitia mjumbe.Na Mussa alayhi salaam yake ni torati kitabu kitukufuJe mazungumzo ya Mungu na Musa yalifanyika kwa namna gani?
Nani aliyeshuhudia?
Vipi kama Musa ndiye mtunzi wa yote na kuwalisha watu kwa kutumia label ya Mungu?
Aliyeshudia ni Mussa na sisi hizo habari zimenukuliwa katika Qur'an tukufu kama ilivyo haikuacha kitu.Je mazungumzo ya Mungu na Musa yalifanyika kwa namna gani?
Nani aliyeshuhudia?
Vipi kama Musa ndiye mtunzi wa yote na kuwalisha watu kwa kutumia label ya Mungu?
Musa ni mtume na ni nabii hafanyi khiyana katika ujumbe aliopewa na hakufanya hivyo aliwafikishia wenzi wake kile alichopewa na Allah.Je mazungumzo ya Mungu na Musa yalifanyika kwa namna gani?
Nani aliyeshuhudia?
Vipi kama Musa ndiye mtunzi wa yote na kuwalisha watu kwa kutumia label ya Mungu?
Lakini swali la msingi ni kitu gani kilichokupelekea kudhani ya kuwa Mussa alayhi salaam yaweza alitumia kivuli cha Muumba kuyasema aliyoyasema au mfano wake ?Alimzungumzisha maneno kwa sauti.Vipi awe yeye wakati alikuwa anapewa ujumbe kupitia mjumbe.Na Mussa alayhi salaam yake ni torati kitabu kitukufu
Jibu ni kuwa hakuandika na ndio hakika ya mambo.
Haya maswali ulivyojibu kwa post tatu za jazba ni dhahiri hujui tofauti kati ya timamu na wehu,....hivyo hujui unasimamia wapi.Musa ni mtume na ni nabii hafanyi khiyana katika ujumbe aliopewa na hakufanya hivyo aliwafikishia wenzi wake kile alichopewa na Allah.
Kwahiyo swali lako ni la kizushi kwa maana kalamu imeshanyanyuka katika hilo na haliwezi kutokea na halikutokea kwahiyo kuendelea kujadili kisichowezekana ni kuooteza muda.
Yaani swali lako si la msingi sababu Mussa alayhi salaam alichaguliwa na Allah na hakuzua katika yale aliyowajibishwa ayafikishe kwa wenza wake.
Kwahiyo uliza maswali timamu.
Kaka unaweza kuthibisha ya kuwa hayo yasemwayo na wanasayansi ni ya kweli ya kuwa kuna majua mengi ?Umejibu sawa sawa kabisa.Jua haliwezi kuwa Uncaused Cause (God) of energy.Mpaka sasa tafiti zinaonyesha kuwa kuna Majua mengi sana.Galaxy ya Praxima Centauri inalo jua pia.Tunapozungumza juu ya Mungu tunazungumza juu ya nguvu moja na pekee inayofanya na kuendesha nguvu zingine zote.That is the Cause outside the Universe.Jua is a member to the Universe set.Tunapoongea juu ya Mungu tunaongea juu ya "mchoraji" (msababishaji) wa set hiyo.
Nimeita swali la kijinga kwa sababu sikutaka mtu anukuu post yangu halafu aishie tu kuniambia swali langu la kijinga.Bila shaka ndio sababu ya kuuliza swali kwa kusema Swali la kijinga.
Kaka kitengeneze kiti chako kwanza ndio ukitie nakshi.Haya maswali ulivyojibu kwa post tatu za jazba ni dhahiri hujui tofauti kati ya timamu na wehu,....hivyo hujui unasimamia wapi.
Kaka unaweza kuthibisha ya kuwa hayo yasemwayo na wanasayansi ni ya kweli ya kuwa kuna majua mengi ?[/QUO
Kwani na hili Jua lilofunika mwezi juzi juzi hapa (na watu wengi kushangilia na kutaka tena mwakani serikali ilipeleke huko huko Rujewa) wewe imekuwaje unakubali lipo? Wewe uliamini jua limepatwa na kuonekana kwa ufasaha huko Rujewa je ulikuweko Rujewa au uliaminije?
Kaka unaweza kuthibisha ya kuwa hayo yasemwayo na wanasayansi ni ya kweli ya kuwa kuna majua mengi ?[/QUO
Kwani na hili Jua lilofunika mwezi juzi juzi hapa (na watu wengi kushangilia na kutaka tena mwakani serikali ilipeleke huko huko Rujewa) wewe imekuwaje unakubali lipo? Wewe uliamini jua limepatwa na kuonekana kwa ufasaha huko Rujewa je ulikuweko Rujewa au uliaminije?
Jua la duniani linafahamika wala Galina shaka.Na mimi kuamini kwangu kupatwa kwa jua au mwezi hakutegemeani na wapi limetokea kwani mambo hayo na yameshazungumzwa na mtume Muhammad tangu na tangu.Kwanol
Halafu kama kitu hukijui usisite kusema hukijui kwani kusema hujui jambo fulani huonyeaha ya kuwa wewe una elimu.Kwanol
Mimi nakubali lipo kwa sababu lukuki.Qur'an imethibitisha uwepo wa jua na lina mtii Muumba.Kwanol