Wahanga wa kuzimu/jehanam

Wahanga wa kuzimu/jehanam

Halafu mimi kuamini kuwepo kwa kitu si mpaka nikione kwa macho kwa macho mzee.

Halafu sisi tumeshaambiwa mpaka tarehe za kupatwa kwa jua na mwezi tarehe ambazo hazibadiliki kamwe miaka yote huwa ni hizo hizo,kwahiyo mimi sioni haja ya kuamini sayansi hasa ya anga wakati haikidhi haja na iko nyuma ya wakati mimi nafata ule ukamilifu na ukweli wa mambo jinsi yalivyo.
 
Halafu sisi tunafata sheria na misungi na Mola aliyetukuka anasema "Wala hukuti katika utaratibu wa Mola ni wenye kubadika".

Sisi hatufati majaribio ya kisayansi na sayansi zao wala harufati nadharia zile za kuitwa dhana.Haikuwa dhana isipokuwa ni mashaka na wasi wasi.
 
View attachment 400899Kuna maneno nimewahi kuyasikia mahali, mkulu mmoja akinena na kusemezana na watu wake kuwa anataka tabaka fulani liishi kama shetani! Leo hii kwenye post hii ningependa kupingana naye kwa nia njema kabisa! Kama kuna mtu au watu wanaishi maisha ya kifahari hapa duniani basi ni wale wanaomtii shetani..labda kama alimaanisha kuzimu/jehanam ila akakosea kidogo kutofautisha kati ya kuzimu/jehanam na shetani
Huko mahali sio kizuri ila kiuhalisia hakuna hata mmoja alishawahi kufika huko na kutuletea ripoti kamili zaidi ya kusoma kwenye Misahafu na maandiko matakatifuView attachment 400914hii dhana ya kuzimu hii hii dhana ya jehanam ni kwa wale waamini na waaminio kwenye kiama, ni kwa wale waaminio kwenye hukumu ni kwa wale waaminio kwenye jehanam na kuzimu
Kiuhalisia ni kwamba kuzimu na jehanam viko hapa hapa duniani! Pepo pia iko hapa hapa duniani
Kiama tunachokiogopa sana hakijafika kuzimu tunakokugwaya hakuko mbali tunaishi nako
Maisha baada ya kifo ndio huamua mustakabali wa roho yako! Kama itabaki pale kaburini kimya kwa hali ya utulivu na kutobughudhiwa na hali yoyote ile (hii ndo pepo ya marehemu) au itatoka kaburini na kutangatanga ulimwenguni au itachukuliwa na wachawi na kufanywa msukule au kutumiwa kwa namna yoyote hasi (hii ndio jehanam yake)View attachment 400935
Tunaombea marehemu walale mahali pema peponi huu ni uzushi na maneno ya faraja tuu! Labda kama ni kwa muktadha na maana ya nilichoandika japo juu
Kwahiyo wandugu marehemu wengi ni wahanga wa kuzimu bila kujua na bila uhalisia bali ni kutokana na maneno yetu...! Kuzimu na jehanam za kweli vipo huku huku duniani kwenye hospitali zetu kwenye Magereza zetu kwenye mitaa yetu kwenye nyumba zetu kwenye misitu na zile sehemu zisizojulikana na kuonekana na wengi huko kuna jehanam zenye mateso na maumivu ya kila aina! Ila kwakuwa tumezingwa na ufahamu duni tunaangalia lakini hatuoni tunasikia lakini hatuelewi, tunabaki na doctrines zile zile za mapokeoView attachment 400948
Kaka naona unaanza kupingana na vitabu vitakatifu 🙁🙁🙁🙁🙁🙁
 
Hapana siitangui torati bali ni wazo mbadala
Haya kaka mie huwa naamini nikifa nitarudi kule nilikotoka kabla ya kuzaliwa japo sipajui ni wapi maana hata kabla sijazaliwa nilikuwa sijui nilikuwa wapi!,
Japo katika maisha ya kawaida huwa kuna matukio yananitokea yanakuwa sio mageni nahisi yalishawi nitokea au nilishawahi kuyaona sehemu japo sijui pia ni wapi.
 
Haya kaka mie huwa naamini nikifa nitarudi kule nilikotoka kabla ya kuzaliwa japo sipajui ni wapi maana hata kabla sijazaliwa nilikuwa sijui nilikuwa wapi!,
Japo katika maisha ya kawaida huwa kuna matukio yananitokea yanakuwa sio mageni nahisi yalishawi nitokea au nilishawahi kuyaona sehemu japo sijui pia ni wapi.
Hii ya kusema ulikotoka ina ukakasi kidogo kwakuwa wewe sio yule aliyezaliwa aliyetungwa mimba aliyekuwa mtoto mdogo nk nk
 
Nifafanulie kidogo hapo Mkuu sijakuelewa
Wewe ni zao la manii za kiume na mayai ya kike
Halafu ukageuka kuwa ute mzito ambao hatimaye ulitengeneza embryo/zygote, ambacho hicho kiliendelea kubadilika taratibu na baada ya miezi 9 hivi kikawa mtoto kamili ambaye hahitajiki tena kukaa tumboni
Baada ya hapo mabadiliko yameendelea kutokea mpaka hapo ulipo sasa na yataendelea hivyo hivyo mpaka mwili uchoke na kuzeeka au uachane na roho kwa sababu zozote zile
Ulishakufa na kufufuka maradufu kabla ya leo
Akichukuliwa wewe wa darasa la kwanza kipindi hicho na wewe wa sasa je utasema ni mtu mmoja?
 
Halafu mimi kuamini kuwepo kwa kitu si mpaka nikione kwa macho kwa macho mzee.

Halafu sisi tumeshaambiwa mpaka tarehe za kupatwa kwa jua na mwezi tarehe ambazo hazibadiliki kamwe miaka yote huwa ni hizo hizo,kwahiyo mimi sioni haja ya kuamini sayansi hasa ya anga wakati haikidhi haja na iko nyuma ya wakati mimi nafata ule ukamilifu na ukweli wa mambo jinsi yalivyo.

Ninakushukuru kwa majibu haya.Nimeelewa kuwa ndio kwanza umeanza skuli ya Logical Arguments.Basi endelea kuhudhuria skuli inshallah panapo majaliwa utahitimu.
 
Mkuu kwahiyo ndio kusema Mungu ndiyo Energy?

Naomba uchukue muda kutafakari huu mfano:

Wewe kwa mfano umefanikiwa kutengeneza mashine ya kuhesabu watu automatically na ukai-launch huko juu ikawa inafanya counting ya watu wanaozaliwa,wanaokufa na au wanaoumwa na kisha ikakupatia idadi kamili kwa kila sekunde.Bila shaka ili hiyo kazi ifanyike kuna wakati utai-involve mikono na miguu ukiachia mbali Brain.Mikono kwa maana ya kushika shika vitu mbalimbali ya kuundia mashine hiyo na miguu kukutoa sehemu moja hadi nyingine.Swali:mashine hiyo katika ukamilifu wake unaweza kuiita "mkono" au "mguu"? Kama jibu ni ndiyo au hapana kwa nini?Ukinipa jibu ndio nitakujibu kama Energy ni Mungu au sivyo.
 
Naomba uchukue muda kutafakari huu mfano:

Wewe kwa mfano umefanikiwa kutengeneza mashine ya kuhesabu watu automatically na ukai-launch huko juu ikawa inafanya counting ya watu wanaozaliwa,wanaokufa na au wanaoumwa na kisha ikakupatia idadi kamili kwa kila sekunde.Bila shaka ili hiyo kazi ifanyike kuna wakati utai-involve mikono na miguu ukiachia mbali Brain.Mikono kwa maana ya kushika shika vitu mbalimbali ya kuundia mashine hiyo na miguu kukutoa sehemu moja hadi nyingine.Swali:mashine hiyo katika ukamilifu wake unaweza kuiita "mkono" au "mguu"? Kama jibu ni ndiyo au hapana kwa nini?Ukinipa jibu ndio nitakujibu kama Energy ni Mungu au sivyo.
Miguu, mikono, na mashine, ni vitu vitatu tofauti na ndio maana kila kimoja kina jina lake.

Sasa kwa nini nitumie jina la kitu kingine kwa nia ya kutaja kitu kingine?
 
Miguu, mikono, na mashine, ni vitu vitatu tofauti na ndio maana kila kimoja kina jina lake.

Sasa kwa nini nitumie jina la kitu kingine kwa nia ya kutaja kitu kingine?

Umejibu vema.Sasa mikono,miguu,masikio,macho na kila kiungo kilichoshiriki kutengeneza mashine hiyo kwa ujumla wake ndio wewe.Ndio kusema mashine ile ni sehemu ya kazi iliyofanywa na mguu;ni sehemu ya kazi iliyofanywa na mkono na n.k. Kwa hiyo tunaposema Roho mtakatifu ni energy tunamaanisha huyo Roho Mtakatifu ni sehemu ya "Energy Kuu"(Mungu). Roho Mtakatifu ni sehemu katika "Energy Kuu" ambayo ilifanyiza other all causes(the Universe).
 
Umejibu vema.Sasa mikono,miguu,masikio,macho na kila kiungo kilichoshiriki kutengeneza mashine hiyo kwa ujumla wake ndio wewe.Ndio kusema mashine ile ni sehemu ya kazi iliyofanywa na mguu;ni sehemu ya kazi iliyofanywa na mkono na n.k. Kwa hiyo tunaposema Roho mtakatifu ni energy tunamaanisha huyo Roho Mtakatifu ni sehemu ya "Energy Kuu"(Mungu). Roho Mtakatifu ni sehemu katika "Energy Kuu" ambayo ilifanyiza other all causes(the Universe).
Nafikiri hata wewe umegundua kwamba hii post yako haina logic.....siyo mbaya.....Kama Energy ni Roho mtakatifu, kwa nini energy inatumika kutekeleza matendo maovu?

Ushahidi upi unaotumia kusema kwamba kuna Roho mt.?...umewahi kumuona?
 
imani yako ndo kila kitu,,unachoamini ndicho kitakachotokea kabla na baada ya kuacha mwili wako
 
C
Nafikiri hata wewe umegundua kwamba hii post yako haina logic.....siyo mbaya.....Kama Energy ni Roho mtakatifu, kwa nini energy inatumika kutekeleza matendo maovu?

Ushahidi upi unaotumia kusema kwamba kuna Roho mt.?...umewahi kumuona?

Charmilton:
Umeona argument yangu haina logic?Basi tuupe ukweli muda.Na mengine uliyoyaibua hapa nayo yape muda utapata ukweli wake.
 
C


Charmilton:
Umeona argument yangu haina logic?Basi tuupe ukweli muda.Na mengine uliyoyaibua hapa nayo yape muda utapata ukweli wake.
Niliwahi kukuuliza hili swali ila hukujibu ''Wewe ni Padre au unasomea upadre?'' maana ndiko mnakospecialize kuconfuse watu pindi muulizwapo juu ya hayo mambo.
 
Ninakushukuru kwa majibu haya.Nimeelewa kuwa ndio kwanza umeanza skuli ya Logical Arguments.Basi endelea kuhudhuria skuli inshallah panapo majaliwa utahitimu.
Kaka siwezi kusoma elimu ya mantiki au falsafa sababu kwangu mimi elimu hizo ni haramu.Kwahiyo uhojaji wangu ni misingi ya kielimu au ya kutafuta elimu yoyote iwayo ambayo kiidadi ipo kumi.

Kwahiyo kuniongelea mantiki au falsafa bado nakuona uko nyuma ya wakati.

Kadhalika sifa zenu nyinyi huwa hamna uwezo wa kujibu maswali zaidi ya kutoa tuhuma.

Kwa faida ni makosa kuandika "inshallah" usahihi ni "Inshaa Allah".
 
Wewe ni zao la manii za kiume na mayai ya kike
Halafu ukageuka kuwa ute mzito ambao hatimaye ulitengeneza embryo/zygote, ambacho hicho kiliendelea kubadilika taratibu na baada ya miezi 9 hivi kikawa mtoto kamili ambaye hahitajiki tena kukaa tumboni
Baada ya hapo mabadiliko yameendelea kutokea mpaka hapo ulipo sasa na yataendelea hivyo hivyo mpaka mwili uchoke na kuzeeka au uachane na roho kwa sababu zozote zile
Ulishakufa na kufufuka maradufu kabla ya leo
Akichukuliwa wewe wa darasa la kwanza kipindi hicho na wewe wa sasa je utasema ni mtu mmoja?
Kama mimi sio yule niliyezaliwa mimi ni nani ?

Hizi elimu mnazozisoma zinawafanya mzidi kuwa mazuzu na kutozitumia akili zenu vizuri.
 
Wewe ni zao la manii za kiume na mayai ya kike
Halafu ukageuka kuwa ute mzito ambao hatimaye ulitengeneza embryo/zygote, ambacho hicho kiliendelea kubadilika taratibu na baada ya miezi 9 hivi kikawa mtoto kamili ambaye hahitajiki tena kukaa tumboni
Baada ya hapo mabadiliko yameendelea kutokea mpaka hapo ulipo sasa na yataendelea hivyo hivyo mpaka mwili uchoke na kuzeeka au uachane na roho kwa sababu zozote zile
Ulishakufa na kufufuka maradufu kabla ya leo
Akichukuliwa wewe wa darasa la kwanza kipindi hicho na wewe wa sasa je utasema ni mtu mmoja?
Mambo mazito mnayaelezea kiwepesi bila hata ushahidi wa kielimu.
 
Back
Top Bottom