Wahanga wa kuzimu/jehanam

Wahanga wa kuzimu/jehanam

Kaka siwezi kusoma elimu ya mantiki au falsafa sababu kwangu mimi elimu hizo ni haramu.Kwahiyo uhojaji wangu ni misingi ya kielimu au ya kutafuta elimu yoyote iwayo ambayo kiidadi ipo kumi.

Kwahiyo kuniongelea mantiki au falsafa bado nakuona uko nyuma ya wakati.

Kadhalika sifa zenu nyinyi huwa hamna uwezo wa kujibu maswali zaidi ya kutoa tuhuma.

Kwa faida ni makosa kuandika "inshallah" usahihi ni "Inshaa Allah".

Asante sana kwa masahihisho.Nimejifunza jambo.Watu wengi wamekuwa wanaandika jina hilo kwa kukosea.
 
Wenye vichwa vya panzi hawakumuelewa mkulu,mamlaka hutoka kwa mungu,iwapo mwenye mamlaka atagundua unaishu kidhurumati,na kuneemeka kupitia migongo ya wenzako,anakuporomosha tu
 
Kama mimi sio yule niliyezaliwa mimi ni nani ?

Hizi elimu mnazozisoma zinawafanya mzidi kuwa mazuzu na kutozitumia akili zenu vizuri.

Mambo mazito mnayaelezea kiwepesi bila hata ushahidi wa kielimu.
Nina kawaida moja mtu anapoanza kujiona anajua zaidi kuliko wengine huwa najitenga naye kwakuwa najua nini kitafuata
Watu wenye mtazamo na uelewa wa upande mmoja tu wa maisha huwa wana shida kubwa sana ya rigidism syndrome wanadhani wao ndio wako sahihi kuliko wengine! Watu wa jinsi yako ni vigumu sana kufanya nao mijadala kama hii kwahiyo kuepusha kupoteza muda nguvu na hata chaji ni kujitenga nao
 
Nina kawaida moja mtu anapoanza kujiona anajua zaidi kuliko wengine huwa najitenga naye kwakuwa najua nini kitafuata
Watu wenye mtazamo na uelewa wa upande mmoja tu wa maisha huwa wana shida kubwa sana ya rigidism syndrome wanadhani wao ndio wako sahihi kuliko wengine! Watu wa jinsi yako ni vigumu sana kufanya nao mijadala kama hii kwahiyo kuepusha kupoteza muda nguvu na hata chaji ni kujitenga nao
Umefanya maamuzi ya busara sana mzee.Limeisha hilo mzee.
 
Wenye vichwa vya panzi hawakumuelewa mkulu,mamlaka hutoka kwa mungu,iwapo mwenye mamlaka atagundua unaishu kidhurumati,na kuneemeka kupitia migongo ya wenzako,anakuporomosha tu
 
JamiiForums-578130595.jpg
 
Popular Beliefs About Hell That Are Nowhere In The Bible
 

Attachments

  • FB_IMG_1683520489533.jpg
    FB_IMG_1683520489533.jpg
    71.5 KB · Views: 4
Back
Top Bottom