Ndugu wahandisi wenzangu ambao taaluma zetu siyo Civil engineers tunahitaji kuunda chama chetu baada "institution for engineers Tanzania/ chama cha wahandisi tanzania kushindwa kusiamamia haki zetu na kupelekea sekita zetu kutokua.
IET imemezwa na civil engineers na haiko kusimamia maslahi ya profession nyingine ambayo yanakinzana au kutoendana na maslahi ya civil engineers.
ili taaluma nyingine ziku zinahitaji mambo mengi ikiwa ni pamoja na kutambuliwa na serikali ili katika utekelezaji wa miradi iwepo miongozo ya kulinda taaluma hizo ili zishiriki kikamilifu.
mfano katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo unakuta kuna miongozo inalinda maslahi ya Civil engineers mfano kuna miradi unakuta imeandikwa kiongozi wa mradi ni lazima awe na taaluma ya civil engineers kwa uzoefu usiopungua miaka kadhaa.
lakini tunapokuja kwenye miradi ya maendeleo isiyokuwa ya kitanesco hawa hawa ma civil engineers wanafanya kazi zao na kufanya kazi za taaluma nyingine
mfano mimi nimefanya miradi ya maji na kazi za substation ya umeme, pumping station, treatment plants hizi zinahitaji taaluma nyingine lakini unakuta asilimia 75 ya miradi inayofanyika nchini, kazi hizi zinafanywa na ma civil engineers kwa kutumia matekinesheni basi.
na matokeo yake ni dosari nyingi sana katika kazi.
mfano nenda miradi mingi inayofanywa, treatment plants zinaharibika haraka, ndani ya mwaka mmmoja kwa usiamizi mbovu. mbali ni ubovu wa kazi lakini sisi wataalamu wa taaluma hizi tunakosa ushirikishwaji.
Kibaya zaidi hatuna uwanja wa kuongelea haya mapungufu ambayo sisi tunaamini IET ndiyo ilitakiwa kuwa uwanja sahihi.
IET imemezwa na civil engineers na haiko kusimamia maslahi ya profession nyingine ambayo yanakinzana au kutoendana na maslahi ya civil engineers.
ili taaluma nyingine ziku zinahitaji mambo mengi ikiwa ni pamoja na kutambuliwa na serikali ili katika utekelezaji wa miradi iwepo miongozo ya kulinda taaluma hizo ili zishiriki kikamilifu.
mfano katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo unakuta kuna miongozo inalinda maslahi ya Civil engineers mfano kuna miradi unakuta imeandikwa kiongozi wa mradi ni lazima awe na taaluma ya civil engineers kwa uzoefu usiopungua miaka kadhaa.
lakini tunapokuja kwenye miradi ya maendeleo isiyokuwa ya kitanesco hawa hawa ma civil engineers wanafanya kazi zao na kufanya kazi za taaluma nyingine
mfano mimi nimefanya miradi ya maji na kazi za substation ya umeme, pumping station, treatment plants hizi zinahitaji taaluma nyingine lakini unakuta asilimia 75 ya miradi inayofanyika nchini, kazi hizi zinafanywa na ma civil engineers kwa kutumia matekinesheni basi.
na matokeo yake ni dosari nyingi sana katika kazi.
mfano nenda miradi mingi inayofanywa, treatment plants zinaharibika haraka, ndani ya mwaka mmmoja kwa usiamizi mbovu. mbali ni ubovu wa kazi lakini sisi wataalamu wa taaluma hizi tunakosa ushirikishwaji.
Kibaya zaidi hatuna uwanja wa kuongelea haya mapungufu ambayo sisi tunaamini IET ndiyo ilitakiwa kuwa uwanja sahihi.