MWEEN
JF-Expert Member
- Feb 6, 2010
- 482
- 207
What about those who teach Political Science? Wengine ndiyo taaluma yao kuchambua siasa 24/7! Kukiwa na migomo ndiyo kwanze research inaanza.
Jamani tutaua taaluma kwa kuingiza siasa vyuoni. huu ni mkakati maalumu wa kuwatisha Wahadhiri na wamesahau hizi sio zama za Chama kimoja cha siasa.
Wahadhiri wasitishike. Muajiri wa Wahadhiri ni baraza la chuo husika na Jukumu la kuangalia nani anafundisha nini sio la serikali bali la Mkuu wa idara inayohusika. Watakao fukuzwa waendelee kutafuta pesa zao kwingine kwani serikali itawalipa mishahara yao yote baadaye pamoja na riba baada ya kushinda kesi mahakamani.
Jamani tutaua taaluma kwa kuingiza siasa vyuoni. huu ni mkakati maalumu wa kuwatisha Wahadhiri na wamesahau hizi sio zama za Chama kimoja cha siasa.
Wahadhiri wasitishike. Muajiri wa Wahadhiri ni baraza la chuo husika na Jukumu la kuangalia nani anafundisha nini sio la serikali bali la Mkuu wa idara inayohusika. Watakao fukuzwa waendelee kutafuta pesa zao kwingine kwani serikali itawalipa mishahara yao yote baadaye pamoja na riba baada ya kushinda kesi mahakamani.