The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 11,107
- 14,593
Kiukweli jamaa abadili IdWewe ndio upinde mpaka umeiga ID yangu,kua creative,create ur own unique ID na sio kucopy.
Kiukweli jamaa abadili IdWewe ndio upinde mpaka umeiga ID yangu,kua creative,create ur own unique ID na sio kucopy.
Ni badili Mimi ?Kiukweli jamaa abadili Id
Alifuata amwachie mwenzie .ni kistaarabu tuNi badili Mimi ?
Kuna dada yng na yeye kapata jamaa wa kiha na ndio katoka kumletea Posa home hivi karibuni yani,Bonjour
Aisee , najuta kupanga na Hawa watu "Waha" nataka kuhama hapa
Ni Wabishi sijawahi kuona
Wachafu kinoma,
Wana makelele
Kujisifu Sasa, wakiwa ndani wanacheka utafikiri humo ndani Kuna matajiri
Wanasifa, kila muda ni simu za mihamala tu haha
Sasa, ukute Muha ni mshabiki wa Yanga,
Wanafua kila siku
Kubisha ujinga usio na maana, uchafu, waha wamezidiMkuu, tatizo ni lako. Kama huwezi kuwavumilia maswaibu yao, fanya mpango uhaame au jenga kwako.
Turudi kwenye uzi;
Ubishi ni hulka. Si waha tu wabishi, makabila mengine yapo. Na siyo waha wote ni wabishi.
Uchafu? Hilo ni tatizo.
Kujisifu? Kwa namna ipi? Kama mtu kafanikisha lake kwa viwango basi acha ajisifie.
Anayepaswa kucheka ni tajiri pekee? Maskini yao kununa? Nani kaweka hii principle? Hapana, kila mtu afurahi kwa namna yake.
Simu za miamala? Swadakta kabisa. Hujui furaha ya kupata muamala? Nafsi huwa inazuuzika na huponya magonjwa ya moyo ikiwemo sonona.
Baya ni hilo la UCHAFU tu. Na labda makelele pia. Mengine yote ni hayana mantiki.
Sijamaliza, umesema ni Wachafu huku ukisema wanafua kila siku. Huo uchafu ni wa namna gani? Kufua ni usafi.
Hataki kuelewa na nilisha mwambia,hiyo ID kafanya kusudi kuiga yangu,sio kwamba ni bahati mbaya,hiyo ni dalili ya mtu kutokujiamini na kutokua creative.Alifuata amwachie mwenzie .ni kistaarabu tu
Nimekumiss hadi nimekumissplaceWanafki hao 😂😂😂,achana nao
Kuna dogo limoja nalo nilipanga naye jirani ni muha alikua na tabia hyo ya kufungulia mziki Kelele km zte,Jirani ni chizi mziki, yani iwe gospo, bolingo, reggae, hiphop, piano, rnb....yani kifupi ni house of music full time....kwangu burudani tu....shida kuna muda anazdishaa sana afu anaanzaga mapema tu sa1 asbh mapema tuu.....jioni mstaarabu tunalala vzur mnooo.....mwingine yy nadhani ni mbishi alijenga kumbe ni bwawa hvo mvua ikinyesha ni balaa....afu hataki kuhama....wengine washkaj wapambanaji wana spirit ya kutafuta sanaa hawa jamaaa....sema kwny ubishi pale SALUTE