Waha , mnaferi wapi ?

Waha , mnaferi wapi ?

Bonjour

Aisee , najuta kupanga na Hawa watu "Waha" nataka kuhama hapa

Ni Wabishi sijawahi kuona

Wachafu kinoma,

Wana makelele

Kujisifu Sasa, wakiwa ndani wanacheka utafikiri humo ndani Kuna matajiri

Wanasifa, kila muda ni simu za mihamala tu haha

Sasa, ukute Muha ni mshabiki wa Yanga,

Wanafua kila siku
Mkuu, tatizo ni lako. Kama huwezi kuwavumilia maswaibu yao, fanya mpango uhaame au jenga kwako.

Turudi kwenye uzi;
Ubishi ni hulka. Si waha tu wabishi, makabila mengine yapo. Na siyo waha wote ni wabishi.

Uchafu? Hilo ni tatizo.

Kujisifu? Kwa namna ipi? Kama mtu kafanikisha lake kwa viwango basi acha ajisifie.

Anayepaswa kucheka ni tajiri pekee? Maskini yao kununa? Nani kaweka hii principle? Hapana, kila mtu afurahi kwa namna yake.

Simu za miamala? Swadakta kabisa. Hujui furaha ya kupata muamala? Nafsi huwa inazuuzika na huponya magonjwa ya moyo ikiwemo sonona.

Baya ni hilo la UCHAFU tu. Na labda makelele pia. Mengine yote ni hayana mantiki.

Sijamaliza, umesema ni Wachafu huku ukisema wanafua kila siku. Huo uchafu ni wa namna gani? Kufua ni usafi.
 
Bonjour

Aisee , najuta kupanga na Hawa watu "Waha" nataka kuhama hapa

Ni Wabishi sijawahi kuona

Wachafu kinoma,

Wana makelele

Kujisifu Sasa, wakiwa ndani wanacheka utafikiri humo ndani Kuna matajiri

Wanasifa, kila muda ni simu za mihamala tu haha

Sasa, ukute Muha ni mshabiki wa Yanga,

Wanafua kila siku
Wanaferi. Hizi mother nature
 
Yaani ni wachafu,halafu wanafua kila siku Hiii contradiction yaweza tu kutoka kwa mtu mwenye chuki iliyopitiliza kwa waha .Acha upumbavu .
Wewe Muha tulia

Unafikir kuwa kila siku ndia justification ya usafi

Uchafu wenu mbona unajulikana, au niweke wazi hapa, niwatie aibu
 
Bonjour

Aisee , najuta kupanga na Hawa watu "Waha" nataka kuhama hapa

Ni Wabishi sijawahi kuona

Wachafu kinoma,

Wana makelele

Kujisifu Sasa, wakiwa ndani wanacheka utafikiri humo ndani Kuna matajiri

Wanasifa, kila muda ni simu za mihamala tu haha

Sasa, ukute Muha ni mshabiki wa Yanga,

Wanafua kila siku
Hivi wingi wa muha nini miwa?
 
Mkuu, tatizo ni lako. Kama huwezi kuwavumilia maswaibu yao, fanya mpango uhaame au jenga kwako.

Turudi kwenye uzi;
Ubishi ni hulka. Si waha tu wabishi, makabila mengine yapo. Na siyo waha wote ni wabishi.

Uchafu? Hilo ni tatizo.

Kujisifu? Kwa namna ipi? Kama mtu kafanikisha lake kwa viwango basi acha ajisifie.

Anayepaswa kucheka ni tajiri pekee? Maskini yao kununa? Nani kaweka hii principle? Hapana, kila mtu afurahi kwa namna yake.

Simu za miamala? Swadakta kabisa. Hujui furaha ya kupata muamala? Nafsi huwa inazuuzika na huponya magonjwa ya moyo ikiwemo sonona.

Baya ni hilo la UCHAFU tu. Na labda makelele pia. Mengine yote ni hayana mantiki.

Sijamaliza, umesema ni Wachafu huku ukisema wanafua kila siku. Huo uchafu ni wa namna gani? Kufua ni usafi.
Kaka nikisema kufua kila siku sio justification ya kusema wao ni wasafi

Hawa ninao Kaa nao hapa, wachafu balaaa

Hawa flash choo

Wanaosha vyombo, makoko wanamwaga kila sehem ya nje

Wanaweza kukaa na uchafu ndani hata week nzima

Oya Hawa watu sio poa

Sijui nani aliwaambia waje mjini Dar es salaam, si waende Kilimanjaro, huko moshi ndani ndani
 
Una matatizo. Watu wanapiga fweza unataka wanune!!!!

Hujui kama miamala inaongeza kujiamini!!!

Acha chuki, tafuta fedha na wewe ufurahi.

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Bonjour

Aisee , najuta kupanga na Hawa watu "Waha" nataka kuhama hapa

Ni Wabishi sijawahi kuona

Wachafu kinoma,

Wana makelele

Kujisifu Sasa, wakiwa ndani wanacheka utafikiri humo ndani Kuna matajiri

Wanasifa, kila muda ni simu za mihamala tu haha

Sasa, ukute Muha ni mshabiki wa Yanga,

Wanafua kila siku
Kwa hio kufua ni uchafu.
 
Moderator badilisheni hiyo heading ''Mnaferi'' isomeke 'Mnafeli'' tusije kuchekwa na kizazi kijacho kwa kosa la mtu mmoja asiyeijua hata lugha yake kwa kuiandika kwa usahihi ila analaumu waha.
 
Nawaonaga na nguo moja pekee, ilhali mda huo wanauza nguo.
 
Bonjour

Aisee , najuta kupanga na Hawa watu "Waha" nataka kuhama hapa

Ni Wabishi sijawahi kuona

Wachafu kinoma,

Wana makelele

Kujisifu Sasa, wakiwa ndani wanacheka utafikiri humo ndani Kuna matajiri

Wanasifa, kila muda ni simu za mihamala tu haha

Sasa, ukute Muha ni mshabiki wa Yanga,

Wanafua kila siku
umesahau uchawi, ni wachawi pia. kuna siku nilipanda bus nikakaa siti na muha mmoja, alionekana ni tajiri mkubwa sana. katika maongezi niligundua siti karibia 5 round me walikaa wafanyabiashara waha wakitokea kufunga mzigo China. kukawa na ubishi wanabishana wao kwa wao maandamano yaliyopangwa na Mange kipindi kile cha magu, yule aliyekaa na mimi akatoa kauli kwamb, " au polisi wafyatue risasi wauwe hata watu 20 waonyeshe jivataizi na kila kitu kitaishia hapo". niligeuka kumwangalia yule faza na wala hakustuka kama alikuwa ameongea toka kwenye kilindi cha moyo wake kabisa. nikajisemea moyoni, hili lifanyabiashara kama linaweza likasajesti kutoa roho mwanadamu mwenzie, limetoa roho wangapi kwaajili ya hizo biashara zake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom