Waha , mnaferi wapi ?

Waha , mnaferi wapi ?

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
1,119
Reaction score
2,430
Bonjour

Aisee , najuta kupanga na Hawa watu "Waha" nataka kuhama hapa

Ni Wabishi sijawahi kuona

Wachafu kinoma,

Wana makelele

Kujisifu Sasa, wakiwa ndani wanacheka utafikiri humo ndani Kuna matajiri

Wanasifa, kila muda ni simu za mihamala tu haha

Sasa, ukute Muha ni mshabiki wa Yanga,

Wanafua kila siku
 
Bonjour

Aisee , najuta kupanga na Hawa watu "Waha" nataka kuhama hapa

Ni Wabishi sijawahi kuona

Wachafu kinoma,

Wana makelele

Kujisifu Sasa, wakiwa ndani wanacheka utafikiri humo ndani Kuna matajiri

Wanasifa, kila muda ni simu za mihamala tu haha

Sasa, ukute Muha ni mshabiki wa Yanga,

Wanafua kila siku
Natamani waha wa jf waje chapu hapa kwenye uzi huu ili niwagombanishe na wewe mpaka utengeneze Id nyingine

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Bonjour

Aisee , najuta kupanga na Hawa watu "Waha" nataka kuhama hapa

Ni Wabishi sijawahi kuona

Wachafu kinoma,

Wana makelele

Kujisifu Sasa, wakiwa ndani wanacheka utafikiri humo ndani Kuna matajiri

Wanasifa, kila muda ni simu za mihamala tu haha

Sasa, ukute Muha ni mshabiki wa Yanga,

Wanafua kila siku
Kwa hiyo ni wachafu ila wakiwa shabiki wa yanga gafla wanakuwa wasafi kupitiliza. Yanga hoyeeeee
 
Bonjour

Aisee , najuta kupanga na Hawa watu "Waha" nataka kuhama hapa

Ni Wabishi sijawahi kuona

Wachafu kinoma,

Wana makelele

Kujisifu Sasa, wakiwa ndani wanacheka utafikiri humo ndani Kuna matajiri

Wanasifa, kila muda ni simu za mihamala tu haha

Sasa, ukute Muha ni mshabiki wa Yanga,

Wanafua kila siku
Nakubusu kuna mtu ananisimanga huku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom