Naam, Dr W . P Slaa, ana kila sifa.
Thats why kwenye hiyo list umemuweka No Moja
PEOPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS
i think ur ryt kwa CCM LOWASSA HAZUILIKI WAKIMZUIA ATAGOMBEA ATA KWA CHAMA KINGINE KAMA UHURU NA RUTTO JAMAA NASKIA ANA NGUVU KUBWA SANA KWENYE CHAMA NA SYSTEM
Nilijua tu kama nitaitwa Sheikh Yahya Junior. Lakini,amini nawaambia threads zote zitapita lakini hii itasimama...
Dr Slaa kasomea Theology tuna chagua Rais kwa ajiri Ya kuongoza misa makanisani! Acheni utani na Nchi yetu
Nilijua tu kama nitaitwa Sheikh Yahya Junior. Lakini,amini nawaambia threads zote zitapita lakini hii itasimama...
Slaa ana miaka mingapi ? Halafu amemtelekeza mkewe ,kwa ufupi hafai kuwa Raisi kutokana na tabia hio na tukio hilo.
Slaa ana miaka mingapi ? Halafu amemtelekeza mkewe ,kwa ufupi hafai kuwa Raisi kutokana na tabia hio na tukio hilo.
Mh Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa face book leo amewataja watu wanaoutaka urais kwa tiketi ya CCM ila nimecheka sana nilipoona na jina la Mwigulu ndani. Hivi Tanzania itakuwa nchi ya aina gani with Mwigulu as President? Ameandika hivi:-
Miongoni mwa watu wanaotazamiwa kuchukua fomu kuwania Urais ni Mhe. Bernard Membe, Mhe. Mwigulu Nchemba, Mhe. William Ngeleja, Mhe. Emmanuel Nchimbi, Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe, Mhe. John Magufuli, Mhe. Steven Wassira, Mhe. Samwel Sitta, Mhe. Edward Lowassa. Watatu wa mwanzo ni wanachama wa kundi la M2015 (Mustakabali 2015) tulolianzisha miaka mi2 iliyopita, halifungamani na yeyote, wkt ukifika tutaamua kumpa nani kati ya hao. Je wewe ungependa nani apeperushe bendera ya CCM 2015? Toa jina, toa sababu.
Sio utabiri,ni maono. Hawa watatu ndio watakaokuwa Wagombea wa Urais wa Tanzania wenye nguvu 2015. Makwarukwaru ya kila aina yatapita vyamani mwao. Wao ndio watakaogombea. Ni hawa: 1. Dr. Wilbrod Peter Slaa- CHADEMA 2. Edward Ngoyai Lowassa-CCM 3. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba-CUF. Ni vyema tukajielekeza kwao na kuandaa kura zetu za Oktoba 2015. Ndivyo itakavyokuwa...
kama kweli hili fisadi litakuwa rais mwaka 2015 nitaamini tanzania ni kichwa cha mwendawazimu sio kwenye michezo tu, hata kwenye siasa na uzalendo pia!ni lowasa tu 2015, dr slaa atausikia tu,arudi kanisani akahudumie watu