Wagombea wa Urais 2015...

Wagombea wa Urais 2015...

Wanajamvi tofauti na mtu mmoja mmoja ndani ya vyama hivi vya siasa wanaoutaka uraisi kwa udi na uvumba. Wewe binafsi ungependa chamagani kichukue madaraka hapo mwaka 2015, na kwasababu zipi?
 
Wanajamvi tofauti na mtu mmoja mmoja ndani ya vyama hivi vya siasa wanaoutaka uraisi kwa udi na uvumba. Wewe binafsi ungependa chamagani kichukue madaraka hapo mwaka 2015, na kwasababu zipi?

Wewe hutaki mtu atajwe lakini unataka vyama vitajwe (na umefanya hivyo). Kwani aliyekuambia vyama pekee ni CCM, CUF, au Chadema ni nani? Kwamba ndivyo pekee vinavyostahili kupewa madaraka ya nchi hii? Nci hii ni ya kila mtanzania na kila mmoja iwe binafsi au kupitia vikundi vyao (wengine wanaviita vyama); au kwa kuungana wana haki ya kutupatia viongozi wa taifa hili. Hakuna kikundi (chama?) chenye haki au hodhi ya uongozi wa nchi yetu.

Hivyo basi, badala ya "chama gani" ningependa iwe ni "sifa gani" anazotakiwa kuwa nazo yeyote mwenye kuomba ridhaa ya kuongoza watanzania iwe anapitia vikundi, muungano wa vikundi, au binafsi. Sorry, binti yangu mdogo katumwa na mama yake - lunch tayari - nitarudi baadaye kukupatia sifa za hao watu na vikundi vyao.
 
Sio utabiri,ni maono. Hawa watatu ndio watakaokuwa Wagombea wa Urais wa Tanzania wenye nguvu 2015. Makwarukwaru ya kila aina yatapita vyamani mwao. Wao ndio watakaogombea. Ni hawa: 1. Dr. Wilbrod Peter Slaa- CHADEMA 2. Edward Ngoyai Lowassa-CCM 3. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba-CUF. Ni vyema tukajielekeza kwao na kuandaa kura zetu za Oktoba 2015. Ndivyo itakavyokuwa...

Naam, Dr W . P Slaa, ana kila sifa.
Thats why kwenye hiyo list umemuweka No Moja
PEOPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS
 
Sio utabiri,ni maono.
Hawa watatu ndio watakaokuwa Wagombea wa Urais wa Tanzania wenye nguvu
2015. Makwarukwaru ya kila aina yatapita vyamani mwao. Wao ndio
watakaogombea. Ni hawa: 1. Dr. Wilbrod Peter Slaa- CHADEMA 2. Edward
Ngoyai Lowassa-CCM 3. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba-CUF. Ni vyema
tukajielekeza kwao na kuandaa kura zetu za Oktoba 2015. Ndivyo
itakavyokuwa...

mungu mbariki Dr. peter wilbroad slaa..
 
i think ur ryt kwa CCM LOWASSA HAZUILIKI WAKIMZUIA ATAGOMBEA ATA KWA CHAMA KINGINE KAMA UHURU NA RUTTO JAMAA NASKIA ANA NGUVU KUBWA SANA KWENYE CHAMA NA SYSTEM
 
Sasa hapo raisi siameshajulikana(slaa)
Najua ccm ni vichaa lakini kumsimamisha lowassa watakuwa mataira
 
Slaa ana miaka mingapi ? Halafu amemtelekeza mkewe ,kwa ufupi hafai kuwa Raisi kutokana na tabia hio na tukio hilo.

Akili zako zinaongozwa na akili za wenzio wa magamba walipofikiri kwa mara ya mwisho kuelekea uchaguzi 2010. Hao unaoona vijana na ambao wako na familia zao si wameshindwa sasa wanaacha nchi imetawanyika vipande vipande.
 
Wewe hutaki mtu atajwe lakini unataka vyama vitajwe (na umefanya hivyo). Kwani aliyekuambia vyama pekee ni CCM, CUF, au Chadema ni nani? Kwamba ndivyo pekee vinavyostahili kupewa madaraka ya nchi hii? Nci hii ni ya kila mtanzania na kila mmoja iwe binafsi au kupitia vikundi vyao (wengine wanaviita vyama); au kwa kuungana wana haki ya kutupatia viongozi wa taifa hili. Hakuna kikundi (chama?) chenye haki au hodhi ya uongozi wa nchi yetu.

Hivyo basi, badala ya "chama gani" ningependa iwe ni "sifa gani" anazotakiwa kuwa nazo yeyote mwenye kuomba ridhaa ya kuongoza watanzania iwe anapitia vikundi, muungano wa vikundi, au binafsi. Sorry, binti yangu mdogo katumwa na mama yake - lunch tayari - nitarudi baadaye kukupatia sifa za hao watu na vikundi vyao.


Hawa watatu ndio watakaokuwa Wagombea wa Urais wa Tanzania wenye nguvu 2015-Soma vizuri alichoandika VUTA NKUVUTE. hata hivyo vyama vingine vingi ni mamluki tu, Kumbuka akina Dovu.... "mimi najitoa lakini kura zangu mpeni kikwe....."
 
Kweli Lowasa anawanyima Usingizi CCM.Huyu mzee ukimgombanisha/ukimshindanisha fairly na mtu yoyote ndani ya CCM hakuna wa kubeat.The man man is trong within the party,hiyo haina ubishi.Lakini ukimshindanisha na DK wa ukweli,ushindi kwa CDM unakuwa 80% +.That is a fact .
 
Hamisi Kigwangalla;
Miongoni mwa watu wanaotazamiwa
kuchukua fomu kuwania Urais ni Mhe.
Bernard Membe, Mhe. Mwigulu
Nchemba, Mhe. William Ngeleja, Mhe.
Emmanuel Nchimbi, Mhe. Dr. Harrison
Mwakyembe, Mhe. John Magufuli, Mhe. Steven Wassira, Mhe. Samwel Sitta, Mhe.
Edward Lowassa. Watatu wa mwanzo
ni wanachama wa kundi la M2015
(Mustakabali 2015) tulolianzisha miaka
mi2 iliyopita, halifungamani na yeyote,
wkt ukifika tutaamua kumpa nani kati ya hao. Je wewe ungependa nani
apeperushe bendera ya CCM 2015? Toa
jina, toa sababu.
 
M2015,mbona kazi ipo makundi yenye malengo kama ya mganga wa jadi ambaye hafungamani na dini yoyote ilia asikose pesa.
 
Huyo wa kwanza mbona nasikia Ugonjwa wake anahitaji kupumzika sana.Au ana taka kufa akiwa mgombea Urais.
 
Hamip Kigwangala (mbunge wa Nzega anayemaliza muda wake) ameweka list ya wanaCCM wanaotarajia kuchukua fomu za Urais 2015. Hebu ipitie list yote then useme ni nani unayehisi anaweza kumshinda Dr.Slaa (ikiwa atapitishwa w
na CHADEMA).

Nanukuu kutoka kwa Kigwangala mwenyewe,

"..Miongoni mwa watu wanaotazamiwa
kuchukua fomu kuwania Urais ni Mhe.
Bernard Membe, Mhe. Mwigulu
Nchemba, Mhe. William Ngeleja, Mhe.
Emmanuel Nchimbi, Mhe. Dr.
Harrison Mwakyembe, Mhe. John
Magufuli, Mhe. Steven Wassira, Mhe.
Samwel Sitta, Mhe. Edward Lowassa.

Watatu wa mwanzo ni wanachama wa
kundi la M2015 (Mustakabali 2015)
tulolianzisha miaka mi2 iliyopita,
halifungamani na yeyote, wkt ukifika
tutaamua kumpa nani kati ya hao..."
 
ukweli ni kwamba kwa namna yoyote ile, Lipumba atasimama maana ni king'ang'anizi, Dr Slaa atasimama (na ndiye rais) kwa kuwa ni chaguo la wengi (ambao wanaiwakilisha sauti ya Mungu) huko CCM sijajua vizuri kama ni nani atakae honga ela nyingi ila wenyewe wanakimbizana ndani ya chama ili waendelee kutunyanyasa.. Wamlete yeyote yule ila Dr. ndiye aliyechaguliwa na wengi hadi sasa
 
[h=5]Mh Hamisi Kigwangalla katika ukurasa wake wa face book leo amewataja watu wanaoutaka urais kwa tiketi ya CCM ila nimecheka sana nilipoona na jina la Mwigulu ndani. Hivi Tanzania itakuwa nchi ya aina gani with Mwigulu as President? Ameandika hivi:-
[/h][h=5]Miongoni mwa watu wanaotazamiwa kuchukua fomu kuwania Urais ni Mhe. Bernard Membe, Mhe. Mwigulu Nchemba, Mhe. William Ngeleja, Mhe. Emmanuel Nchimbi, Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe, Mhe. John Magufuli, Mhe. Steven Wassira, Mhe. Samwel Sitta, Mhe. Edward Lowassa. Watatu wa mwanzo ni wanachama wa kundi la M2015 (Mustakabali 2015) tulolianzisha miaka mi2 iliyopita, halifungamani na yeyote, wkt ukifika tutaamua kumpa nani kati ya hao. Je wewe ungependa nani apeperushe bendera ya CCM 2015? Toa jina, toa sababu.
[/h]
 
Sasa angalia majimbo anayopokewa SLAA kwa wingi kwa mtazamo wako, subiri kinyume chake hiyo 2015, SLAA atalia vizuri sana kuliko alivyomlilia mtu ambaye chama chake ni chanzo cha kifo chake. Hivi kwanza MBOWE anajisikiaje kuwekwa kando na urais wa 2015? acheni kugombanisha watu jamani vibaya hivyo. Huyu ZITTO tuachane naye kisha washinda. Mnataka tena bifu ianze kati ya SLAA na MBOWE, yaani mnamfanya Mwenyekiti anakuwa kama mti wa kutupia jongoo.



Watanzania ni wepesi wa kusahau! Mh. Mbowe ni Muelewa sana, alishatamka kwamba chaguo la Chadema 2015 ni Dr. Slaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom