Wagombea Serikali za mitaa CHADEMA na ACT Wazalendo wanapatikanaje? Mbona sioni kura za maoni zikifanyika?

Watajiandaaje wakati hawakujiandikisha kupiga kura
Wako twiter huko miaka ya insta iliisha
 
 
Sijui mnakulaga kunde za wapi? Kwa mawazo hayo ya kusubiri boda boda tano bila strategy ya kueleweka na sio ile ya kusubiri waliokatwa CCM, jiandae kusubiri sana bandugu.

Sina sababu yoyote ya kutokuheshimu maoni yako lakini sikubaliani nayo.
 
CHADEMA na ACt Wazalendo wagombea Serikali za mitaa wanapatikanaje? Mbona hatuoni mkipiga kura za maoni kama CCM walivyofanya jana jumapili nchi nzima?
Wanaogopa kuzuiliwa na Polisi,maana hukawii kuskia Polisi wamezingira eneo wanapofanyia vikao vya uteuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…