Ulizia jinsi watu wanavyofurumishwa kwenye vikao kila siku. Kuna wilaya viongozi wapo ndani kwa kuitisha vikao vya uteuzi. Nani hapendi familia yake. Chama ni kimoja na kitadumu mpaka Yesu arudi point.!!!!!!! Wajinga ni wale watakaong'ang'ania mfumo wa vyama vingi. Tupo China hapa na Korea Kaskazini. Tunataka viwanda siyo siasa.