Wagiftishe: Tunabomoa lugha yetu wenyewe

Wagiftishe: Tunabomoa lugha yetu wenyewe

Hivi lile neno 'mkwanjika' la Airtel ni kujenga lugha au kubomoa.? Maana limetoka kwenye mkwanja ambalo ni la kiswahili japo halijasanifiwa bado.
 
wako wengi kama hao, kuna wale waliojitoa fahamu, hawataki kutumia neno sahihi la kiswahili la "decoder" wacha hao, kuna huku kwetu kwenye IT ndio kabisaaa, maneno yanachakachuliwa wanavotaka!
 
Back
Top Bottom