Wageni wengine bwana du!

Noted
 
Kiangazi hakuna s hughuli za shamba,hata Mimi mwenyew huwa nalimisha
 
Sio copy n paste. Huyu yamemtokea mwenyewe. Ameoa kutoka familia duni isiyokua na malezi Bora. Yeye kaangalia sura na makalio. Acha ale mavi.
Bro kama umeniona kabisa yaani hata ukweni sijawahi fika, na kwa tabia niliyoiona inakatisha tamàa
 
Yeye nahis anaogopa wasimseme vibaya kwao.
 
Tena huenda wakakesha kabisa
 
Hao watoto wana malezi mabobvu huko watokako na walikua hawamuheshimu dada yao tangu huko kwao, sababu heshima hakuna kwa dada usitegemee wewe shemeji utapata,
Hofu yangu ni kuwafundisha hizo tabia mbaya watoto wenu na pengine hata kuwa abuse nyie msipokuwepo,

Cha msingi ni kuongea na mke wako kua sasa inatosha watoto kulala kwenye makochi, wapatie nauli warudi kwao haraka iwezekanavyo, na next time mgeni yoyote akija kwako usiwatoe watoto wako walale kwenye kochi wala kulala chini, bali huyo mgeni ndie anapaswa kulala kwenye kochi au chini.
 
Sawa
 
Ukitaka kuwa kiongozi imara shart ni moja tu USIOGOPE LAWAMA
 
Usiwasumbue watoto wako kisa wageni, labda kwa shida sana wawe wazazi.

Hao wahuni mlitakiwa muda wa kulala muwape shuka na muwaambie walale sebleni.

Kumbe una stock ya mchele na mahindi mwaya, hongera.
Lakini hao ni watoto miaka 15 na 17 nafikiri ni kuwaelekeza tu.
 
Bro kama umeniona kabisa yaani hata ukweni sijawahi fika, na kwa tabia niliyoiona inakatisha tamàa

Ndo tatizo la kuokota mwanamke na kuamua kuishi nae.Sasa utaishije na mwanamke ambaye hata kwao hupajui?.
Mkuu hayo matatizo umeyataka wewe mwenyewe usitafte mchawi.
Ushuri wangu kama hao shrmu zako ni wakike watongoze,wakimwambia ndugu yao kua umewatongoza atawafukuza mwenyewe.
 
Yeye nahis anaogopa wasimseme vibaya kwao.
Hlo ndo linatesa weng hasa kweny ndoa pale n kwake lazma aweke Sheria ilimrad iwe za haki asimkandamize mtu Mambo ya kufa na tai shingon achie wazungu mtu atakujaje kukupelekesha kweny himaya yako jaman dah
 
Hiz ndo zle akili wanasema za kuambiwa changanya na zako
 
Kamuoe dada yao heshima iwepo.. Ukioa utakuwa hata na kauli ya kuwakoromea na watakuheshimu zaidi kuwa hapa kwa shem
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…