Wafungwa wa gereza la IBUKONI, wilaya ya ROMBO tarehe 13/09/2010, walitumika kujenga jukwaa alilotumia JK jana wakati akifanya mkutano 15/09/2010, katika shule ya msingi mbomai kati, TARAKEA , ROMBO MKOANI KILIMANJARO,
Hii ilisababisha wakazi wa tarakea wabaki na mshangao , kwani siku hiyo tarakea ilikuwa siku ya soko, na watu wengi walishuhudia tukia hili.
MAPENDEKEZO
Hii ilisababisha wakazi wa tarakea wabaki na mshangao , kwani siku hiyo tarakea ilikuwa siku ya soko, na watu wengi walishuhudia tukia hili.
MAPENDEKEZO
- Wanasheria wa chadema , angalieni jinsi mtakavyoshughulikia hili
- CCM tafuteni risiti nyingine za kufoji , ambazo zinaonyesha , mmewalipa MAGEREZA WILAYA YA ROMBO, au MAGEREZA MKOA WA KILIMANJARO kwa ajili ya kazi hii ya kujenga jukwaa.