Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Wadau wa Awamu JF
Kama unazo tabia zifuatazo hapa chini Basi nchi haikufahi hata kidogo hivyo ni bora ubadilike mapema.
(1)Wakwepa Kodi
(2) Wala Rushwa
(3) Mnaotetea Ushoga
(4) Wabakaji
(5) Msiotunza Wazazi wenu
(6) Mnaochukia ndugu zenu
(7) Mliokosa Uzalendo
(8) Mnaoitakia Mabaya Nchi yetu
(9) Mafisadi
(10) Mnaotumia Madaraka vibaya
(11)Mliozoea kuwazulumu Wajane
(12) Waongo
(13) Wachawi
(14) Wahalifu
(15)Matapeli
(16) Wanafiki
(17) Wazushi
(18) Msiopenda kufanya Kazi
(19) Mnaokesha kuiombea nchi yetu Mambo Mabaya
(20) Wasaliti wa Nchi yetu
(21) Wahaini
(22) Vibaka
(23) Wachawi
(24) Wavivu
(25) Wezi
(26) Waongo
(27) Wavivu wa kufikiri
(28) Wanaopinga kila Jambo Zuri linalofanywa na Mhesh Rais wetu JPM
(29) Wanaotumiwa na maadui zetu kutuhujumu.
(30) Wanaopinga Ujenzi wa Reli ya Kisasa
(31) Wanaopinga Ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Rufiji.
(32) Wanaopinga Ujenzi wa Hospitali za Wilaya nchi nzima.
(34) Wasiopenda Ujenzi wa Barabara za Lami nchini kote.
(35) Wanaopinga Ujenzi wa Shule za Msingi na Sekondari nchi nzima.
(36) Mliokosa uthubutu
(37) Mnaomuhuju Mhesh Rais Magufuli
(38) Msiopenda kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu
(39) Wanaopinga Ujenzi wa Viwanja vya ndege
(40) Wanaopinga unun
uzi wa Ndege Mpya
(41) Wanaopinga JPM kuongezewa muda wa kutawala hadi 203
(42) Mnaopinga kila jema la Serikali ya JPM
(42).........
*Tunatekeleza*
Kama unazo tabia zifuatazo hapa chini Basi nchi haikufahi hata kidogo hivyo ni bora ubadilike mapema.
(1)Wakwepa Kodi
(2) Wala Rushwa
(3) Mnaotetea Ushoga
(4) Wabakaji
(5) Msiotunza Wazazi wenu
(6) Mnaochukia ndugu zenu
(7) Mliokosa Uzalendo
(8) Mnaoitakia Mabaya Nchi yetu
(9) Mafisadi
(10) Mnaotumia Madaraka vibaya
(11)Mliozoea kuwazulumu Wajane
(12) Waongo
(13) Wachawi
(14) Wahalifu
(15)Matapeli
(16) Wanafiki
(17) Wazushi
(18) Msiopenda kufanya Kazi
(19) Mnaokesha kuiombea nchi yetu Mambo Mabaya
(20) Wasaliti wa Nchi yetu
(21) Wahaini
(22) Vibaka
(23) Wachawi
(24) Wavivu
(25) Wezi
(26) Waongo
(27) Wavivu wa kufikiri
(28) Wanaopinga kila Jambo Zuri linalofanywa na Mhesh Rais wetu JPM
(29) Wanaotumiwa na maadui zetu kutuhujumu.
(30) Wanaopinga Ujenzi wa Reli ya Kisasa
(31) Wanaopinga Ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Rufiji.
(32) Wanaopinga Ujenzi wa Hospitali za Wilaya nchi nzima.
(34) Wasiopenda Ujenzi wa Barabara za Lami nchini kote.
(35) Wanaopinga Ujenzi wa Shule za Msingi na Sekondari nchi nzima.
(36) Mliokosa uthubutu
(37) Mnaomuhuju Mhesh Rais Magufuli
(38) Msiopenda kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu
(39) Wanaopinga Ujenzi wa Viwanja vya ndege
(40) Wanaopinga unun
uzi wa Ndege Mpya
(41) Wanaopinga JPM kuongezewa muda wa kutawala hadi 203
(42) Mnaopinga kila jema la Serikali ya JPM
(42).........
*Tunatekeleza*