Wafu wanapogeuzwa chakula cha wanyama

Wafu wanapogeuzwa chakula cha wanyama

Ni kweli kabisa hasa Wamasai na wabarabeigi wana hiyo mila
Niliskia Wasafwa wa mbeya ni noma. Mtu akifa kwa ajali ya moto, kufukiwa na kifusi, kupigwa nk maiti haiingizwi ndani ya nyumba wala haioshwi.
By the way nimependa mada. Huwa nasikitika kuona maiti inasafirishwa kwa mamilioni kwenda kufukiwa. Haina faida yoyote bora ichomwe basi. Mjini pasiwepo na makaburi
 
Ona mshana matatizo ya aridhi milima ya meru uchagani n/s pare milima ya usambara ni shida tupu nahisi miaka michache ijayo makaburi yatakua yamejaa kipande hiyo so wat next
 
Ona mshana matatizo ya aridhi milima ya meru uchagani n/s pare milima ya usambara ni shida tupu nahisi miaka michache ijayo makaburi yatakua yamejaa kipande hiyo so wat next
hakuna haja ya kuzika tena
 
Huu uz kuusoma usiku yataka moyo daah
 
mkuu ule moto wa gesi kwenye zile " nyumba za mazishi" ni hataree. bora nifukiwe tuu.
Mkuu galindas mfu huwa hana hisia yeyote. Milango ya fahamu yote huzima ndio maana mtu akiwa na maumivu makali sana huomba msaada wa kumpokonya uhai. Nchi nyingi za ughaibuni hakuna malalo hivyo maiti huchomwa moto, kutiwa kwenye tindikali H2SO4 98% na kuteketea. Hii husaidia kuhifadhi mazingira na kuyafanya yawekezwe kwenye uchumi wa kibiashara au makazi ya watu hai kuliko kuwa malalo (grave yards)
 
hzo picha mi nliona video clips zake,,ila mi sioni tatizo mana mwili sio mtu na unakuwa hauna kazi tena zaid ya kuliwa na funza na bakteria na kuoza huko ardhini,
 
hzo picha mi nliona video clips zake,,ila mi sioni tatizo mana mwili sio mtu na unakuwa hauna kazi tena zaid ya kuliwa na funza na bakteria na kuoza huko ardhini,
0.jpg
 
Sasa wakiliwa siku ya ufufuo watakuaje hawa watu.... Aisee borá sisi tunaohifadhiwa chin ya ardh tunakula kipupwe tukimsubir bwan wa majesh tuende nae nbingun
 
mshana jr sorry nataka kuijua Tibet kwa ufupi in relation to its leader HHL Dalai Lama, na pia wasifu wa Dalai Lama na rank mbalimbali za ubuddha alizopitia hadi kuwa pale.
 
Back
Top Bottom