Wafu wanapogeuzwa chakula cha wanyama

Wafu wanapogeuzwa chakula cha wanyama

View attachment 492630kwanza niweke tahadhari ya picha! Baadhi zitakuwa zinatisha
Inteligensia ya imani ya dini ni dhana ya kushangaza mno, pengine baadhi ya maono na mitazamo yake vinaacha maswali mengi kuliko majibu
Mila na tamaduni pia vina mchango mkubwa kwenye haya mambo ya kiimani
Sisi wakati tukiwashangaa wanaochoma moto maiti, nao wanatushangaa kwakuwa kwao kuzika mfu kwa kumfukia ardhini ni kuinajisi ardhi, ni kuitia nuksi mikosi na balaa, kinachokufa kinapaswa kuteketezwa hii ni imani yaoView attachment 492632lakini wakati ukishangaa hawa wanaochoma moto maiti kuna hawa ambao wao hawachomi wanasema ni kuharibu chakula ambacho kingewafaa wengine
Kwa imani yao ni kwamba uliweza kuishi kwakuwa kuna wanyama ulikula nyama yao na ikakuponya na njaa na afya ukapata
Kwahiyo unapokufa ni zamu ya nyama za mwili wako kutumika kulisha wengine, huzikwi wala huchomwi moto... Huku Afrika kuna kabila wao maiti hujengewa kichanja na kuachwa hapo iwe chakula cha wanyama, lakini kwa wengine huiandaa kabisa kwa kuikatakataView attachment 492633 , zaidi kuna tamaduni nyingine maiti hulishwa kwa wanyama kwenye kusanyiko maalum View attachment 492634
Mwanzoni mwa mada kuna picha ya tai wanakula mfu, hiyo ni Tibet na kwa imani yao hao tai ni malaika kwahiyo kwa kuwalisha mfu wanapata thawabu ....
Ukishangaa ya Musa bado hujaona ya firauni......
Kumbuka umekula nyama ngapi mpaka umri huu? Usipokuwa mbinafsi na mchoyo nawe utakubali mwili wako uwe chakula cha wengine utakapokufa!
Kwa hiyo Mshana unataka kutuambia chochote kile mwanadamu anachofanya ni sahihi bora tu yeye binafsi aone ni sahihi?No way, those are Draconian and Luciferian principles which are wrong in the eyes of God. "Zipo njia zionekazo mbele za macho ya mwanadamu kuwa ni sahihi, lakini mbele ya macho ya Mungu ni uovu,"Mungu anasema.Na Mungu pia anasema "ole wao wao walao nyama za watu wangu kama mkate!"Kwa hiyo hao watu wanaofanya uovu huo wa kula wanadamu wenzao, hawatakuwa na cha kujitetea,they will have to face the wrath of God.Wanaochoma miili na kulisha miili ya wafu kwa wanyama pia wana hatia mbele za Mungu.Mwili wa mwanadamu una dhamani mbele za Mungu!Ni lazima uzikwe!
 
najua umetoa kwenye videos inaitwa "THE PLANET"
 
Sasa wakiliwa siku ya ufufuo watakuaje hawa watu.... Aisee borá sisi tunaohifadhiwa chin ya ardh tunakula kipupwe tukimsubir bwan wa majesh tuende nae nbingun
naww huko ardhini unakumbana na top consumers! kuliwa hakuepukiki.

 
View attachment 492630kwanza niweke tahadhari ya picha! Baadhi zitakuwa zinatisha
Inteligensia ya imani ya dini ni dhana ya kushangaza mno, pengine baadhi ya maono na mitazamo yake vinaacha maswali mengi kuliko majibu
Mila na tamaduni pia vina mchango mkubwa kwenye haya mambo ya kiimani
Sisi wakati tukiwashangaa wanaochoma moto maiti, nao wanatushangaa kwakuwa kwao kuzika mfu kwa kumfukia ardhini ni kuinajisi ardhi, ni kuitia nuksi mikosi na balaa, kinachokufa kinapaswa kuteketezwa hii ni imani yaoView attachment 492632lakini wakati ukishangaa hawa wanaochoma moto maiti kuna hawa ambao wao hawachomi wanasema ni kuharibu chakula ambacho kingewafaa wengine
Kwa imani yao ni kwamba uliweza kuishi kwakuwa kuna wanyama ulikula nyama yao na ikakuponya na njaa na afya ukapata
Kwahiyo unapokufa ni zamu ya nyama za mwili wako kutumika kulisha wengine, huzikwi wala huchomwi moto... Huku Afrika kuna kabila wao maiti hujengewa kichanja na kuachwa hapo iwe chakula cha wanyama, lakini kwa wengine huiandaa kabisa kwa kuikatakataView attachment 492633 , zaidi kuna tamaduni nyingine maiti hulishwa kwa wanyama kwenye kusanyiko maalum View attachment 492634
Mwanzoni mwa mada kuna picha ya tai wanakula mfu, hiyo ni Tibet na kwa imani yao hao tai ni malaika kwahiyo kwa kuwalisha mfu wanapata thawabu ....
Ukishangaa ya Musa bado hujaona ya firauni......
Kumbuka umekula nyama ngapi mpaka umri huu? Usipokuwa mbinafsi na mchoyo nawe utakubali mwili wako uwe chakula cha wengine utakapokufa!
Huu uzi unajaribu kupenyeza a very evil subliminal message from the devil himself.Hapa tuko kwenye darasa la kufundishwa kula nyama za watu.We are being told that it is fine because other people are doing it. Is it. How evil.Mshana it's high time you engaged the reverse gear.Mungu anaona jinsi unavyopotosha watu wake, and frankly hatakuwa na huruma na wewe and you will reap the fruits of your evil work.
 
naww huko ardhini unakumbana na top consumers! kuliwa hakuepukiki.

Jaman sasa tufanyeje oh my god baba ang kumbe tulipomzika anataabika natulimuaga apumnzike kwa aman... RIP MY HERO FATHER
 
Huu uzi unajaribu kupenyeza a very evil subliminal message from the devil himself.Hapa tuko kwenye darasa la kufundishwa kula nyama za watu.We are being told that it is fine because other people are doing it. Is it. How evil.Mshana it's high time you engaged the reverse gear.Mungu anaona jinsi unavyopotosha watu wake, and frankly hatakuwa na huruma na wewe and you will reap the fruits of your evil work.
 
Huyu jamaa cmuelewagi nimekuja bar kupunguza stress anaanza kunitisha tena mambo yake ya kula watu

Mpe anae kupa
 
Back
Top Bottom