Wafu wanapogeuzwa chakula cha wanyama

Wafu wanapogeuzwa chakula cha wanyama

Bora wanaochoma mwili kuliko hawa watu


Imani ya mtu ni kitu cha hajabu sana. Pengine wewe unaona unafanya cha maana kuzika mfwa wako kutokana na imani ya dini yako, wenzio wanakucheka na kukushangaa kwanini unafanya hivyo. **** mila hapa TZ, kila mwaka wanafamilia wanafanya misa au kumbukumbu ya kuwakumbuka wafu kwa kuwafanyi sadaka na mambo ya kimila, wasipofanya hivyo wanaandamwa na mabalaaa katika ukoo. mshana jr unaipata hii?
 
mshana jr uje na issue ya mashimo kwenye chumba cha wageni UG . Mada zako zunafungua sana macho na pia zinatufariji na kutusahaulisha kuwa hamna watekaji.
NB
Watekaji soon wataanza kufuga maana kitoweo na malisho ya mifugo yapo ya kutosha
 
watibet wanaita sky burial. wanakupeleka mlimani na kukuacha uliwe na ndege.
 
Ninapoona hizi dini kuu mbili zinapingana kila siku mpaka kufikia kuangamiza maelfu ya watu kwa jina la dini nawaona ni wapuuzi kiwango cha phd...... Na ufahamu wao ni finyu sana
Kwa sababu wewe ni binadamu Wa level zingine...kuna kitu nilitaka kukuuliza alafu kutokana na hofu nimesahau daaaah
 
Back
Top Bottom