Wafaransa wawili wauawa Zanzibar

Wafaransa wawili wauawa Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Zanzibar, the most dangerous place to be in EA.
 
Watu wa znz wanaubinafsi sana ndio maana matukio kama haya yataendelea tu na wakimaliza wazungu na wa bara wataanza wenyewe kwa wenyewe

Mbona bara munauwana hata wenyewe kwa wenyewe, na hata maprofesa muliowasomesha kwa bei nyingi tu - mfano akina Dr Mvungi. Sasa hao ni kabila gani au wanatokea wapi?

Tukio la mauaji ni la kihalifu, na kwa taarifa yako ni kwamba walinzi na hasa wa wazungu kwa asilimia kubwa ni wa kabila fulani la bara. Ni vyema watafutwe hao walinzi wajulikane si ajabu utakuta ndiyo hao wahusika.

Musirukie tu dini, uzanzibari yasije yakawageukia mukiona walioua ndiyo hao wa kwenu ambao ndiyo walinzi maarufu huku visiwani.
 
Ndo maana mie nilitoa maamuzi hata iweje sitakuja fika zanzibar,hawana akili,wajinga,na watapotea muda c mrefu ktk ramani ya aman na utulivu.Ubaguzi ubaguzi tu pumb..vu

Mjinga namba moja uliyekamata bango ni wewe.
 
Akili zako zimeishia hapo.
Hurumaaa....!
Madrasa zinapoteza ndugu zetu jamani.
Imefika wakati nazo zichunguzwe kwa makini!

Acha kashfa za kidini mshenzi mkubwa wewe kwani wale mapadri mashoga kanisa ndio limewafundisha ,usipende kukashifu imani za watu wengine kwasababu hilo halitakupeleka peponi kuku wewe
 
Acha kashfa za kidini mshenzi mkubwa wewe kwani wale mapadri mashoga kanisa ndio limewafundisha ,usipende kukashifu imani za watu wengine kwasababu hilo halitakupeleka peponi kuku wewe

Unaeitafuta pepo ni wewe.
 
Hii inafanna na ile ya Kina Alex Massawe na Papa Musofe,

Wanakuuzia Nyumba alafu wanakuua, wanapoteza ushahidi.

Au Ukienda kuweka Rehani Nyumbayako na wakakukopesha, Ukiwapa tu hati ya nyumba wanakuua na Hati wanayo Mkononi basi ndugu wakija wansema wameuziwa.

Sikuu za Xmass na Mwaka mpya nilikuwa Dar na nilionyeshwa Nyumba walizozulumua na Nyingine kuna Hotel inajengwa kubwa tu ya Alex Massawe nyuma ya Bigborn Sinza.

Hakika walio uza hiyo nyumba watakuwa wabongo.
 
Wacheni ujinga na machuki ya kipuzi nyinyi, mnataka kusema Tanganyika hakuna mgeni aliyewahi kuuwawa.Tukiangalia haraka haraka tukio ni la kiuhalifu wa kawaida wamewauwa wamiliki wa nyumba ili wahodhi hiyo nyumba na mali nyengine za marehemu hao. Uislama utalii vina uhusianö gn na tukio hilo.? Badala kuwalaan wa husika mnawashambulia Wazanzibar wote plus na Iman yao!! Kwa chuki hz kunasiku mtawavamia kwa vifaru na ndege za kijeshi muwamalize wote.Au simuwambie kosa walio wafanyia km kuna uwezekano wawaombe RADHI.
Lakini km mauwaji ya wageni hakuna Watanzania waliouwa Uengereza Marekani Canada au hata Kenya ? Mbona hamkuzishambulia Nchi husika?
Utalii utakapokufa Zanzbar nyinyi mtafahaidika vipi. WACHENI UJINGA Kampen hizo angalau zingefanywa na KENYA tungewaelewa na si nyinyi kumbuken kwamba TRA na hapa wapo pia.

Mmezidi mno nanyie acha mtukanwe....mbona hatusikii mwarabu kutoka arabuni kauawa; nyie mwaua wazungu na mapadri tu.....nyie ndo mna chuki na imani na tamaduni zingine na hiyo mbaya roho ya umimi na usisi itawawinda siku zote
 
Mimi nadhani hapa hapahusiani na kumtetea allah-n mapigo.
Wala unaweza ikawa sio katika kutekeleza mafundisho ya dini ya haki yenye kuahidi wanawake sabini kama marupu rupu ukifa kazini.
Kwasababu wameua hadi kamboga ka ndugu zetu wahhehhe,hapa ni inaweza kuwa ni suala la mali tuu.
Zanziberi itakuwa salama kwa wageni wasilamu tuu kama mdau mmoja alivyosena hapo juu.

Na wale Wazanzibari waliouliwa Afrika Kusini ilikuwa ni kwa jina la Yesu?
 
Haya mambo hayataki jazba likihariba kwao basi hata huku bara tutaharibikiwa.
mamlaka husika wafanye uchunguzi ili tujue wahalifu hao.
 
Na wale Wazanzibari waliouliwa Afrika Kusini ilikuwa ni kwa jina la Yesu?

Hao huwezekana ni kutokana na misimamo yao ya kumtetea allah ndiyo iliyowarestisha ini pisi.
Sio kila sehemu unatakiwa umtetee allahn mapigo!
 
wamejuaje kama wameuwawa na sio kujiua?

#Zitto

Walivyojiua wakajitumbukiza kisimani? fikiria mara mbili.
Zanzibar kiukweli wakomeshe haya mauaji, iwe raia wa kigeni ama wa ndani. Mimi nilikuwa nikipenda kwenda kwa mapumziko, ila toka mambo ya tindi kali sikanyagi.
Bado naipenda ngozi yangu.

Kasehemu kadogo wauaji wanajulikana, mficha magonjwa kifo humuumbua.
 
Haya mambo hayataki jazba likihariba kwao basi hata huku bara tutaharibikiwa.
mamlaka husika wafanye uchunguzi ili tujue wahalifu hao.

Wakuchunguza nani!?? Ishapita hiyo
 
Naona hapa watu mnaropoka tuu...hakuna hapa udini au uzanzibar..ni wahalifu tuu wameua..mbona bara mnawaua albino??vibaka??tumieni busara kutoa mawazo yenu udini hauwasaidii kitu...muhimu tu kua kuna hatari wanaofanya hivi nia yao kuua biashara ya utalii ambayo kwa sasa inaingiza pesa nyingi SMZ.
 
Mmezidi mno nanyie acha mtukanwe....mbona hatusikii mwarabu kutoka arabuni kauawa; nyie mwaua wazungu na mapadri tu.....nyie ndo mna chuki na imani na tamaduni zingine na hiyo mbaya roho ya umimi na usisi itawawinda siku zote

Yule shekhe alomwagiwa tindi kali alimwagiwa na mkiristo vile eee??
 
wASUBIRI WAFARANSA NAO WAANZE KUWAMALIZA TARATIBU...WATAAMKA SIKU MOJA NA KUJIKUTA ZAIDI YA NUSU WENYE AKILI TIAMU HAKUNA,WALE VICHAA WATAACHIWA SERIKALI YAO NA YA TANGANYIKA KUWAMALIZA HADHARANI.
 
Naona hapa watu mnaropoka tuu...hakuna hapa udini au uzanzibar..ni wahalifu tuu wameua..mbona bara mnawaua albino??vibaka??tumieni busara kutoa mawazo yenu udini hauwasaidii kitu...muhimu tu kua kuna hatari wanaofanya hivi nia yao kuua biashara ya utalii ambayo kwa sasa inaingiza pesa nyingi SMZ.

Hawa woooote wanaonesha dhahir kabisa kuwa wanachuki na wazanzibari na Zanzibar kwa ujumla, lakini sishangai, mti wenye matunda utapigwa mawe tu. Kila siku wabara wanaua Albino, vilema, halafu tanganyika kweli iko salama na hao wachawi wanaokamatwa kila leo? Ujambazi ulivoenea bara, mbona sisi hatukai tukasema tanganyika na ukiristo? Watu hawatumii ata Akili, haya mauwaji lazima kutakuwa na jambo baina muuaji na hao waliouliwa, kama ingekuwa wazanzibari na uislam wanabifu na sekta ya utalii, tungeanza kuwaripua katika mabasi wanayotembea! Huwezi kutembea mji mkongwe kama hujakuti makundi ya wazungu, ingekua rahisi sana kuwaua, haina haja ya kuwavizia, hamuoni Al shabbab? Ukauwe wazungu wawili kwamba ndo gaidi au? Q
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom