Wafanyakazi WHITEHOUSE watamiss Mengi

Wafanyakazi WHITEHOUSE watamiss Mengi

Sio Kijambazi hapo Obama kaweka Mguu kwny Mzani kwa kificho ili jamaa anaepima uzito ajione overweight. Obama alikuwa na ucheshi wa Kiafrica
yeah i know but nilikuwa namjoke jamaa coz anajiita jambazi!
 
Why not? America is a very strong nation military wise
USA kila kitu unakikuta mezan, na unafuata instructions, no matter he power your, ndiyo maana kunakipindi Obama aliwahi kusema wakati Wa mauaji ya watu weusi, kuwa rais USA haimaanishi kuwa unaweza kufanya chochote,.... Ss jiulize jambo dogo tu la mauaji ya watu weus lilimshinda je Trump ataweza hlo?

Think
 
USA kila kitu unakikuta mezan, na unafuata instructions, no matter he power your, ndiyo maana kunakipindi Obama aliwahi kusema wakati Wa mauaji ya watu weusi, kuwa rais USA haimaanishi kuwa unaweza kufanya chochote,.... Ss jiulize jambo dogo tu la mauaji ya watu weus lilimshinda je Trump ataweza hlo?

Think
Kuna president veto anaweza kuitumia
 
USA kila kitu unakikuta mezan, na unafuata instructions, no matter he power your, ndiyo maana kunakipindi Obama aliwahi kusema wakati Wa mauaji ya watu weusi, kuwa rais USA haimaanishi kuwa unaweza kufanya chochote,.... Ss jiulize jambo dogo tu la mauaji ya watu weus lilimshinda je Trump ataweza hlo?

Think
no matter he power your ndo nini?
 
M nmeona hii tu
1479020475127.jpg
 
Watamisi sana good time ndani ya white house.... kama sisi tulivyomis good times jk akiwa ikulu.
 
Back
Top Bottom