Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,144
- 166,079
ule MFULANA noma sanayaani wewe bujubuji wewe au ulimwona na ule fulana iliyopanda juu ya shati kama anataka jinyonga nini.
ule MFULANA noma sanayaani wewe bujubuji wewe au ulimwona na ule fulana iliyopanda juu ya shati kama anataka jinyonga nini.
Mimi sijaelewa hapo anataka afanye nini nyuma ya huyo jamaaMwanzo sikuielewa........Rais rafiki
Kuna mpiga picha mtu mzima hivi, nasikia yeye kila rais mpya huwa anataka aendelee na kazi. Nyota yake nzuri.Kawaida Rais anayemaliza mda wake huwa anaondoka na timu yake yote. Hivyo Trump ataingia na timu yake!
Mimi sijaelewa hapo anataka afanye nini nyuma ya huyo jamaa
Hahahahahah , sasa hv anaingia Mtu wa Kazi Donald Trump Hana mchezo mchezo. Kutoka Obama kuingia Trump Wamarekani wametuiga Ndugu zao wa Tanzania kutoka JK kuingia JPM
Tathmini ya Wazungu Wamarekani wamem grade Obama kwny Top ten ya Marais waliofeli zaid Marekani tangu uhuru
We mswahili wa lindi vijijin undugu na usa unatika wap
Mkulu unataka kusema nini hapa,....M nmeona hii tu
View attachment 433379
Hahahahha dogo anatamani kuomba kama vipi awe mdogo wake shasha, maana Trump hasomeki muda wowote wazazi wake wanaweza kuambiwa raia hewa wakarudishwa sengerema.![]()
Huyo dogo mweusi ni kama anamwambia, "Dah unatuacha na huyu mbaguzi tutatoboa kweli!??" (anaonesha ka-mind kweli yani!)
nmeifananisha na tingatinga artsMkulu unataka kusema nini hapa,....
Safi sananmeifananisha na tingatinga arts
that's all! &it must be made in hia hia
Ha ha haaaa!..Halafu huku wakisema hawajaribiwi na misuti oversize
ah hahahahahaaa kwakweli anaemshonea suti yule baba Mungu anamuonaHalafu huku wakisema hawajaribiwi na misuti oversize