Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,057
- 18,406
Haya ndo matatizo ya kuajiri vihiyo, majitu hayajui hata switch ikiwa off inakaaje. Halafu meneja bila aibu anasema umeme ulikuwa umezimwa ila nyaya zina umeme. Only in Tanzania.Meneja anadai UMEME umezimwa uliomua hiyo kijana umetoka wapi ?meneja aojiwe vilivyo