Wafanyakazi wa Posta na wizi wa mizigo ya wananchi

Ushauri kwa ndugu zangu mnaoishi ngambo msifanye makosa kutuma vifurushi kwakutumia posta za hapa tz zimejaa wizi na unyanganyi wa hali ya juu hawa jamaa sasa wamekuwa sawa na wanigeri ni hatari sana mytanikumbuka siku moja na maelezo yangu
 
Copy of what I emailed to:

customer.care@posta.co.tz

Mrs Kanuti and Mrs Bujiku,

As a Tanzanian who was born before independence and who used the postal service in the sixties and seventies, I find it to be disgusting that this service is no longer what it used to be, especially in the sixties and early seventies. It was an honourable institution and there were few complaints from customers contrasted with what goes on today.

It's utterly reprehensible that you have done nothing, absolutely nothing, to stop theft of mail, parcels - yes, including registered mail - and even post cards by postal employees. The Dar es Salaam post office is highly notorious for that since everything that goes upcountry goes through Dar.

I live abroad and there is not one thing, not even a simple postcard or an aerogramme I have sent to Tanzania, that has not been stolen. Nothing has ever been received by its intended recipients - not even once!

I have sent family pictures, and they have been stolen by your postal employees. I have sent letters and parcels and they all have been stolen by your postal employees. And you are fully aware of that.

Even people who live in Tanzania complain about rampant theft by postal employees. And those of us who live abroad seem to be the primary target of this kind of theft. Postal employees think that anything that comes from overseas, even if it's a simple letter, has money in it or some other valuable items.

Items which are stolen by your employees are even sold in the streets of Dar es Salaam in broad daylight. Yet nothing is done about it.

It's absolute rubbish if you claim or pretend that you are not aware of what goes on. It's a national scandal and badly reflects on our nation.

The situation is so bad that expatriates and other foreigners who live and work in Tanzania talk about it when they return to their home countries and no longer use the Tanzania postal service.

All this has multiplier effect, including a negative impact on potential investors and even current ones who can't use the postal service because of theft.

Complaints by Tanzanians who live abroad and whose items are stolen on regular basis when they send them to family members, relatives and friends in Tanzania, are everywhere on the internet. You may want to see a sample of this on jamiiforums.com under the thread, "Serikali na wizi katika posta nchini." And there are other threads on this forum about the same subject of theft by postal workers in Tanzania. But the one I have mentioned is the most recent one.

And I strongly suspect that you are aware of this thread on jamiiforums if for no other reason than that some of your postal employees, many of whom are members of jamiiforums or who regularly read what's posted there, have told you about it. And they have nothing to worry about because they are never punished. They continue to work at the post office, and they are never prosecuted. Firing them is not enough. They need to face the wrath of the law and be punished severely.

You may not take this matter seriously, but believe me, Tanzania as a nation is the loser. Many Tanzanians who live abroad don't even want to return to Tanzania when they see nothing is being done to stop these kinds of scandals, not just in the postal corporation but across the spectrum.

It's also a national disgrace. Tanzania has sunk so low that it's now no different from Nigeria, a nation so riddled with corruption and all kinds of scandals that many Nigerians, if not the majority, don't even consider themselves to be part of Nigeria. Nigeria means absolutely nothing to them. Each to his own.

And so many Tanzanians, those within the country and those abroad, have lost confidence in the postal service that they no longer use it; or if they do, they say it's good only for sending bills and plain or ugly postcards since nice ones are stolen just as much by your despicable employees.

The postal corporation is useless and many Tanzanians would love to see it closed. It's not serving them except your postal employees who are busy stealing what's sent from abroad and within the country.
 
Serikali inafanya nini kuhusu wizi katika posta nchini Tanzania? Hata barua za kawaida zinaibiwa na kufunguliwa na wafanyakazi wa posta.

Nimewaandikia ndugu zangu mara nyingi na, kila mmoja wao, wamesema barua pamoja na picha nilizowatumia hazikuwafikia. Na wote wameniambia nisithubutu kuwatumia kitu chochote kupitia posta nchini Tanzania. Na mmoja wao amesema wananchi wengi wanasema itakuwa ni vizuri posta zikifungwa kwa sababu ya wizi huo ambao unaendelea kwa kasi.

Malalamiko hayo yanatoka sehemu zote za Tanzania. Ndugu zangu niliowaandikia wanaishi sehemu mbali mbali - Dar es Salaam, Mtwara, Iringa, Mbozi, Mwanza, Bukoba, Tabora, na Arusha.

Hakuna posta nchini ambayo haina wafanyakazi wanaoiba vitu mbali mbali - barua, vifurushi - vinavyotumwa kutoka n'gambo. Pia wana akili pungufu wanapofikiri kwamba kuna fedha katika barua hizo wanazozifungua.

Labda wananchi wakigoma kutumia posta, hatua zitachukuliwa kupambana na wizi huo.

Nimeishi n'gambo miaka michache (au mingi?) - zaidi ya kumi - na ni jambo la kukatisha tamaa kwa watu kama mimi tunaotaka kurudi nyumbani tunapoona serikali haifanyi chochote kurekebisha mambo - wizi, rushwa, mahongo, ufisadi na kadhalika.

Tutajengaje taifa letu? Kama Mwalimu alivyosema, "Tanzania itajengwa na wenye moyo."

Haitajengwa na wezi. Haitajengwa na wala rushwa au mahongo, na haitajengwa na mafisadi. Wamejaa serikalini na katika kila wizara na idara na sehemu mbali mbali kazini.

Halafu kuna viongozi wanashangaa kwa nini wananchi wengi hawataki kurudi nyumbani? Si Tanzania tu bali nchi zote katika bara letu.

Inawezekana,but huna findings za moja kwa moja za kuwa accused jamaa wame piga fingers. Ofcoz kuna watu si waminifu wao kila kitu wakiona wanajua dili.Hujatueleza kama jamaa zako wanamiliki masanduku ya posta au wanachukua barua zao kupitia mtu anayemiliki sanduku la posta.
Kushindwa kurudi home hilo sio kigezo cha maana sana,some of them they can not afford mambo fulani fulani(nauli nini na mambo kadha wa kadha) nafikiri usilete sababu ambazo si za msingi.Itabidi tuwaulize au tuanzishe maada nyingine kwanini wabongo hawarudi kwako? au kwanini hawaji hata kutembelea jamaa zao? tatizo nini?
 
Nataka niamini kuwa kuna baadhi ya wafanyakazi wa posta Tanzania wasio waaminifu na wamekuwa wakipekua na kuiba parcels za wateja haswa zile zinazotoka nje ya nchi. Mimi ni mwaathirika ambaye parcels zangu kadhaa zimepotelea posta licha ya kuwasiliana na wale walionitumia na kusema tayari zimeondoka nchi husika.

Nasema hivi kwa sababu kuna parcels zenye tracking number na unapotumiwa una track vizuri na mpaka inapoondoka marekani au Asia au UK. Lakini once parcel inapoingia Tanzania unapiga kiguu na njia posta hadi mwezi mzima kufuatilia unaambiwa hatujaiona na hata ukiwaonyesha tracking number watasema hiii number hai track beyond nchi parcel iliko toka na wanakwambia hawana jinsi ya kusaidia. Imenibidi niandike niulize kama kuna watu ambao wamepata tatizo kama langu kwani tayari parcels zangu zisizopungua 5 zimepotea kuanzia 2010 hadi leo. Mwaka huu 2012 umeongoza kwa parcels zangu kupotea nimekuwa nikifuatilia posta bila mafanikio. Licha ya waliotuma kukuhakishia kuwa wametuma parcel lakini tracking number huonyesha mzigo uliondoka nchi husika na kama umepotea ni ndani ya Tanzania.

Uzoefu wangu unaonyesha parcel zinazopotea ni zile ndogo ndogo za gram kuanzia 200 hadi 400 na zile zilioandikwa "GIFT".

Hii hali inaongezeka siku hadi siku na Posta isipoangalia imani yetu kwao itapungua kwani hata mimi sina kabisa imani na shirika letu la post haswa kitengo kinachoshughulika na parcels.

Uzembe mwingine ambao ni meou note kwenye posta ni kupeleka parcels kwenye box number wrong na wenye box kama si mwaminifu kikuta ni kitu kinachomfaa hukichukua.

Kuna pia uzembe wa ku rekodi majina wrongly ya wenye parcel na kusababisha parcels kupotea.

Ninahisi hata wale wafanyakazi wanaopokea parcels na ku sort out na kuziweka kwenye Masanduku ya watu wana uwezo mdogo sana na kwa ujumla si makini kutokana na wingi wa parcels. Parcel inaweza ingia sya Arusha jumatatu na inachukua wiki nzima kufikishwa kwenye sanduku la mwenye parcel. Huu ni uzembe unaowapa nafasi wafanyakazi ambao sio waaminifu kuingiwa na tamaa na kuiba vifurushi vya watu.

Siongei uzushi bali ni ukweli na kama nasema uongo waniambie parcels zangu ziadi ya 5 zilizoingia Tanzania kwa nyakati tofauti zimepotelea wapi?
 
nimetumia sana posta kupokea mizigo from usa na china, ukitumia ems ni uhakika kupata mzigo wako within 4days baada ya mzigo kutumwa, otherwise utakutana na ukiritimba wa kutosha, cha kukushauri ikipita mwezi mzigo wako haujafika mwambie aliyekutumia ajaze track back form huko alipo! Kama imepotelea hapa atarudishiwa ela thamani ya huo mzigo plus nauli ya utumaji endapo alilipia insuarance!
 
Ukituma mzigo au ukitumiwa mwambie anaekutumia atume as Registered(small parcels) atalipia a little bit extra lakini huo mzigo hautapotea coz kila anaeupokea atasign hadi ufike mkononi mwako.huwa natumia njia hii siku moja tu nilisahau nikatuma kawaida mzigo haukufika,inaelekea hata wafanyakazi wa posta wanaiba once wakijua mzigo sio registered.
 
Ukituma mzigo au ukitumiwa mwambie anaekutumia atume as Registered(small parcels) atalipia a little bit extra lakini huo mzigo hautapotea coz kila anaeupokea atasign hadi ufike mkononi mwako.huwa natumia njia hii siku moja tu nilisahau nikatuma kawaida mzigo haukufika,inaelekea hata wafanyakazi wa posta wanaiba once wakijua mzigo sio registered.
Haisaidii sana! kuna aliyetuma simu na charger Tanzania(registered), baada ya muda alipata ujumbe kuwa mzigo wake umerudishwa kwa vile jina la aliyetumia halifanani na mmiliki wa adress.
Alipofungua mzigo wake alikuta ni charger tu iliyorudishwa!
 
Serikali inafanya nini kuhusu wizi katika posta nchini Tanzania? Hata barua za kawaida zinaibiwa na kufunguliwa na wafanyakazi wa posta.

Nimewaandikia ndugu zangu mara nyingi na, kila mmoja wao, wamesema barua pamoja na picha nilizowatumia hazikuwafikia. Na wote wameniambia nisithubutu kuwatumia kitu chochote kupitia posta nchini Tanzania. Na mmoja wao amesema wananchi wengi wanasema itakuwa ni vizuri posta zikifungwa kwa sababu ya wizi huo ambao unaendelea kwa kasi.

Malalamiko hayo yanatoka sehemu zote za Tanzania. Ndugu zangu niliowaandikia wanaishi sehemu mbali mbali - Dar es Salaam, Mtwara, Iringa, Mbozi, Mwanza, Bukoba, Tabora, na Arusha.

Hakuna posta nchini ambayo haina wafanyakazi wanaoiba vitu mbali mbali - barua, vifurushi - vinavyotumwa kutoka n'gambo. Pia wana akili pungufu wanapofikiri kwamba kuna fedha katika barua hizo wanazozifungua.

Labda wananchi wakigoma kutumia posta, hatua zitachukuliwa kupambana na wizi huo.

Nimeishi n'gambo miaka michache (au mingi?) - zaidi ya kumi - na ni jambo la kukatisha tamaa kwa watu kama mimi tunaotaka kurudi nyumbani tunapoona serikali haifanyi chochote kurekebisha mambo - wizi, rushwa, mahongo, ufisadi na kadhalika.

Tutajengaje taifa letu? Kama Mwalimu alivyosema, "Tanzania itajengwa na wenye moyo."

Haitajengwa na wezi. Haitajengwa na wala rushwa au mahongo, na haitajengwa na mafisadi. Wamejaa serikalini na katika kila wizara na idara na sehemu mbali mbali kazini.

Halafu kuna viongozi wanashangaa kwa nini wananchi wengi hawataki kurudi nyumbani? Si Tanzania tu bali nchi zote katika bara letu.
kila kitengo kuna wezi duuh hii Tanzania imelaaniwa
 
Hii nimeikuta kule wavuti. Hii siyo mara ya kwanza kusikia malalamiko kama haya. Nimeyasikia kwa watu wengi tuu. Parcel wanazotuma haziwafikii walengwa. January Makamba (Naibu Waziri) ambaye amemwambia mlalamikaji kuwa atafuatilia hili, kasema pia kuna mwananchi mwingine aliwasilisha tatizo linalofahanana na la huyu mlalamikaji. Kwa nini hii kadhaa iwepo in the first place? Imagine watu badala ya kufanya shughuli zao wanalazimiswa na wadokozi wa posta kufuatilia mambo kama haya. Halafu watu wanapoamua kutumia makampuni au njia nyingine kutuma parcels zao wanaanza kulalama eti hatulitakii mema shirika la posta. Posta ya Tanzania inaiba parcel za watu?

==================================================

Nimetuma parcel Tanzania (na hii si mara ya kwanza), kwa njia ya USPS Express Mail, 3-5 days delivery na mara zote ninaowatumia wanapokea kati ya siku ya 5 - 7.

Hii niliyotuma tarehe 17 Septemba, 2012 aliyetumiwa hakupigiwa simu wala kutaarifiwa kwa namna yoyote kuwa parcel imefika. Baada ya zaidi ya siku 7 kupita, akaanza kufuatilia. Akipiga simu anaambiwa hatuuoni, bado haujafika. Akaamua kwenda kuwaona ana kwa ana jana, akapewa majibu yale yale. Nikamfahamisha kuwa waliwahi kunipotezea mizigo hawa kwa kauli hizo hizo, na baadaye walipopigiwa simu na "Mkubwa" wao, mzigo ulijulikana uliko ndani ya saa chache siku ile ile.

Nikamfahamisha aombe kuonana na Meneja, akafanikiwa. Wakatizama parcel, computer zao (huko kwa Mameneja) zikaonesha parcel ilifika tangu tarehe 23. Meneja akaagiza watizame vifurushi ili wampatie. Kwa kuwa ilikuwa imekaribia muda wa kufunga ofisi, wakamwambia arudi kesho (yaani leo) kuuchukua, lakini kwanza apige simu asubuhi au wao watampigia utakapokuwa tayari. Akawapigia simu asubuhi, wakamwambia bado, apige saa nne. Akapiga simu saa nne, anapewa maelezo tofauti na ya jana, Meneja anamwambia kifurushi hakijapokelewa na maelezo mengine ya kuwa maelezo ya jana haikumaanisha hivyo bali vingine. Amepiga simu kutaka kutoa maelezo mwa Mkubwa wa Posta (Rais Kikwete ateua mkuu mpya wa Shirika la Posta), anajibiwa kuwa hawezi kuzungumza naye suala hilo, amwambie tu aliyetuma ajaze hayo makaratasi ya USPS ya refund alipwe fidia.

Nilipoandika juzi pale wavuti.com kuwa baadhi ya Wafanyakazi wa Posta ni wadokozi na waache udokozi, ni kwa sababu nimeshapata usumbufu mara tatu na sasa ni mara ya nne katika Shirika la Posta la Tanzania, EMS, mkoa wa Dar es Salaam.

Mara mbili kati ya hizo parcel nilizotuma kwa njia ya kawaida hazikufika. Mara moja nilipotuma kwa njia ya USPS Express Mail waliupoteza lakini walipigiwa simu na Mr. Mndeme na ndani ya saa chache maelezo yote na ulipo mzigo vilipatikana. Hii mara ya nne, inakuwa ni mara ya pili kutuma kwa USPS Express Mail parcel inapotea na maelezo ya kufuatilia kujua ulipo ninayopewa ni hayo niliyoeleza hapo juu.

Nimetaka ku-vent off kwa sasa, ila kazi ndiyo (isiyo ya lazima) ndiyo imeanza tena. Kwa bahati mbaya (au nzuri) kazi ndiyo imeanza rasmi. Posta, nina nyie, mpaka kieleweke kwangu kwa lugha yangu!

YOU WILL COUGH UP TO THE LAST DIME!!! This I promise you! Here I come..

Posta ya Tanzania, Dar es Salaam: Mara tatu ilitosha, si hii ya nne. Hapana! - wavuti.com
 
Nimetumiwa parcel kwa EMS tangu trh 24 sept, mpaka sasa sijaipata. Naambiwa bado haijafika. Ngoja mie nivute subira kidogo.
 
Nimetumiwa parcel kwa EMS tangu trh 24 sept, mpaka sasa sijaipata. Naambiwa bado haijafika. Ngoja mie nivute subira kidogo.

Mkuu ilitakiwa iwe imewasili baada ya muda gani? Ingekuwa bora kujua ni wangapi walishawahi kupatawa na tatizo kama hili maana kwa wengine inaonekana kama kero sasa.
 
Mkuu EMT,pole sana kwa usumbufu ulioupata. Kula nao sahani moja. Hawa jamaa wa EMS (Expected Mail Service) kwa hapa nchini hawafai hata kidogo. Mimi mwenyewe nimeishawahi pambana nao sana tu kule Musoma. Nilimtumia ndugu yangu pesa na kupewa risiti nikaambiwa atapigiwa simu ili akachukue lakini hawakufanya hivyo kwa muda muafaka! Hata baada ya mimi kumtaarifu bado hakuweza kupata pesa mpaka baada ya wiki nzima kwisha!

Kumbe pesa huwa hazitumwi wakati huo huo kwa fax. Kuna mtu ndani ya ofisi ninayefahamiana naye aliniambia kuwa baadhi ya wafanyakazi wanaokuwa zamu, huwa wanachukua pesa kwa matumizi yao kwa muda ikiwemo kukopeshana kwa riba kwa muda. Kisha baada ya kupata faida ndani ya siku tatu au tano ndipo huzituma kwa fax!

Tatizo jingine hujitokeza upande wa pili zinakopokelewa kwani nako kama kuna pesa zimekwishatumika kiujanja ujanja kama zilikotoka, maelezo na sababu nyingi hutolewa ikiwemo kuwa bado hazijafika na kukupa ahadi za njoo kesho, ili wapate muda wa kuweka mambo sawa. Ni aibu kubwa sana kwa chombo kama hiki kutokuwa makini katika utendaji wake wa kazi na mali za wateja wake!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Niliwahi kupokea parcels na barua zangu baadhi zimekuwa tempered with nikapeleka malalamiko yangu kwa wahusika wa Posta "sikupewa ushirikiano hata kidogo"
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mtawalaumu tu bure wale watu wa posta, yaani huwezi amini zaidi ya 50% wa pale wako over 50 years na mbaya zaidi 50% ya wafanyakazi wa posta ni darasa la saba so unategemea mabadiliko gani tena.Cha zaidi ni kwamba lile shirika la posta limejaa ukabila yaani hata hao wazee na darasa la saba wamepata kazi kikanda,ntasema kweli daima fitina kwangu mwiko shirika la posta limejaa wachaga na wapale so tegemea kuibiwa mpaka mwisho wa maisha yako.Tunataka damu changa pale watu wanaoweza kuleta mabadiliko na sio hao wazee na darasa la saba "I stand to be corrected"!
 
Back
Top Bottom