Hivi kuna wafanya kazi wa crdb wenye midomo michafu na jeuri kama wa crdb tawi la vijana lumumba hapa d'salaam????basi kimei tembelea ujione au tuma watu inafurahisha watu wanawekwa cc halafu hajui hata kujibu salam ya mteja kuna dada wa kichaga sijui mpare mweupe mrefu maziwa makubwa ni mjinga kupita wajinga hata kujibu salamu yako hataki kukuangalia pia hataki sasa utatoaje huduma halafu mnasema eti the bank that liste? Upumbavu wa kupeana kazi kinyumbani nyumbani