Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Ndugu wapendwa natoa dukuduku langu kwa branch manager wa tawi la CRDB meru branch...nimesikitishwa na kitendo cha watu kutoipenda kazi yao na hili ni kutokana na ajira ningi hivi sasa wamekuwa wakipeana kwa undugu badala ya kupenda kazi unayokwenda kufanya.....inasikitisha sana tena sana kwa bank kama crdb kuwa na urasimu kiasi hiki
Nilikuwa natoa hela kwenye acc matokeo yake jana naambiwa siwezi pata hela zangu mpaka nikatoe hela kwenye ATM....nikaenda kwenye ATM kumbe wanajua mbovu hawasemi nikawafwata na kuwaambia kwa nini mnasema wateja waje huku wakati mnajua machine mbovu wakasema nisubiri nimesubiri mpaka yesu alipokaribia kuja maana mpaka inafungwa tunaambiwa nisubiri nje nikawambia si mniambie kwa heri tuonane kesho....
Nikaondoka zangu leo hii asbh nikaenda na kukuta ATM inafanya kazi nikawapelekea salio kisa walichotaka ni salio nikawambia kwa nini hamkufax dar si ndio kazi zenu hakna alie jibu nikaenda nilipofika kwa saler nikampa walivyoniuliza jana mara akaanza kumuuliza dada mmoja ambae ni supevisor wake...amevaa nguo ya blue ni mshenzi kupindukia yule daada mungu angemjalia mwili wa umodo sijui ...ndio angetukana kabisa ...kuna kitu alimuuliza yule dada saler no 2...akajibu nmwambie aende branch ya mbele kule si tunakunywa chai...shame on you mama.....yule dada akaanza kulalamika na kumwambia mbona wengine unawasaidia kwa nini usimtoe huyu dada akasema aaah mambo ya kuanza ku log in tena....heeeeeeeeeeeee jamani hawa watu wanafikiri kazi ni ufungwa kama uipendi si uwaachie wengine...alipoam,biwa vile nikamwambia yule saler siendi na kitambulisho sikichukui namwomba manager wenu niongee nae...akaenda kumwambia yule dada superrvisor linene jeusi kidogo....llipoona vile likasimmama na kwenda kufungua computer...mara nikaona napewa kaaratasi ya kusaini
SHAME KIMEI SHAME CRDB SHAME ON YOU SUPERVISOR MERU ARUSHA BRANCH
GMORNING
Nilikuwa natoa hela kwenye acc matokeo yake jana naambiwa siwezi pata hela zangu mpaka nikatoe hela kwenye ATM....nikaenda kwenye ATM kumbe wanajua mbovu hawasemi nikawafwata na kuwaambia kwa nini mnasema wateja waje huku wakati mnajua machine mbovu wakasema nisubiri nimesubiri mpaka yesu alipokaribia kuja maana mpaka inafungwa tunaambiwa nisubiri nje nikawambia si mniambie kwa heri tuonane kesho....
Nikaondoka zangu leo hii asbh nikaenda na kukuta ATM inafanya kazi nikawapelekea salio kisa walichotaka ni salio nikawambia kwa nini hamkufax dar si ndio kazi zenu hakna alie jibu nikaenda nilipofika kwa saler nikampa walivyoniuliza jana mara akaanza kumuuliza dada mmoja ambae ni supevisor wake...amevaa nguo ya blue ni mshenzi kupindukia yule daada mungu angemjalia mwili wa umodo sijui ...ndio angetukana kabisa ...kuna kitu alimuuliza yule dada saler no 2...akajibu nmwambie aende branch ya mbele kule si tunakunywa chai...shame on you mama.....yule dada akaanza kulalamika na kumwambia mbona wengine unawasaidia kwa nini usimtoe huyu dada akasema aaah mambo ya kuanza ku log in tena....heeeeeeeeeeeee jamani hawa watu wanafikiri kazi ni ufungwa kama uipendi si uwaachie wengine...alipoam,biwa vile nikamwambia yule saler siendi na kitambulisho sikichukui namwomba manager wenu niongee nae...akaenda kumwambia yule dada superrvisor linene jeusi kidogo....llipoona vile likasimmama na kwenda kufungua computer...mara nikaona napewa kaaratasi ya kusaini
SHAME KIMEI SHAME CRDB SHAME ON YOU SUPERVISOR MERU ARUSHA BRANCH
GMORNING