Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Mkuu ukiwa boss ukisha anza kutafuna mfanyakazi basi hata ufanisi wa kazi unapungua kabisa fanya research home kandamiza house girl uone kama unabisha
Nimekusoma mpwa....hizo balaa najitahidi sana nisizipitie...mzee unaishiwa kauli unakuwa bwabwa kabisa iwapo wameisha onautupu wako kauli hamna!