MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
Ama hujielewi au huishi Tz, Irene Kissaka chali, mbangusillo ama laa lakini chali! hujamsoma vizuri JPM wewe?!
Sasa Irene akijiuzulu ndio ni
ni? Je unajua yeye katika ngazi za
mamlaka ni mtu mdogo sana?
Mbali na Rais, kuna waziri, naibu waziri, katibu mkuu, bodi nk......je hao kwa nini huoni wanapaswa kubebeshwa zigo.
Je unajua huyu Irene ni bangu silo?
Lazima mtoke hapo mlipo kama mnataka maisha bora. Ukombozi wa fikra ni lazima uende sambamba na mabadiliko ya nje i.e. kisiasa na kiuchumi