Wafanyakazi tunataka Mkurugenzi SSRA ajiuzuru, TUCTA iongoze mgomo huo

Hiyo sheria ya mifuko ya jamii amepitsha Irene au wabunge wenu vilaza

Tunajua vizuri kuwa ni vilaza wabunge ndo walopitisha hiyo sheria.... lakini siku zote utekelezaji wa sheria mbovu unahitaji busara zaidi na hapo ndio uzoefu unapochukua nafasi yake, kuna sheria mbovu nyingi na zenye madhara makubwa kwa raia.... lakini watekelezaji wake wanatumia busara na sio kukurupuka kama alivofanya Irene!!!!!
 
Mkuu Fikirikwanza,
1. Hivi unajua maana ya SSRA na misingi ya kuanzishwa kwake?
2. Aliyeipitisha Sheria hiyo mpya ambayo haswa issue ya fao la kujitoa ndiyo imekuwa gumzo ni Irene au ni Bunge?
3. Yeye anatekeleza sheria inavyomtaka, yaani sheria ya kuanzishwa kwa SSRA, sheria ya bunge ya mambo ya mafao, lakini niseme tu kuwa anatekeleza Job Description yake.
4. Kwamba yeye kupewa u- DG wa SSRA, jamani huo ni wadhifa aliyoteuliwa nao na Mh. Rais.
5. Kwamba SSRA wanalipata mshahara mkubwa, si kosa la Irene, yeye alitengeneza Scheme of Service na madokumenti kibao na yakapitishwa na Msajili wa Hazina na Utumishi na wafanyakazi wa SSRA wanalipwa, kosa lake ni lipi hapo?
6. Mwisho wa siku, Irene ni mwajiriwa wa SSRA akama alivyo mhudumu, mlinzi, Karani nk.

"Dont Hate The Player; Hate The Game"

Kwa hili, tusimuonee bure.


No wonder, Tz mtu akiandaa vitu vya kipuuzi kijanjajanja na kupitishwa na watu wengi regardless wana shule gani, huonekana yeye hana kosa, lakini misingi itabaki palepale yeye ni mtaaluma aliyesomea fani hii, kama sio hatufai, kama ndio basi angepaswa kuandaa kitu ambacho kinashabihiana na matakwa ya jamii, sasa wabunge wengine ni vilaza, tutawahukumu vipi? harafu wao wamerekebisha kosa lao kwa kupitisha azimio la kuirudisha bungeni itenguliwe. Yeye kama kiongozi wa SSRA na kama msimamizi wa kila siku wa maswala ya hifadhi ya jamii, ina maana hakujua kuwa wafanyakazi hawaitaki??? kuna kitu hapo, kama hakujua ndo nasema hatufai aondoke waje wanaojua matakwa na mahitaji ya wafanyakazi.

DG ni rahisi kumwajibisha na ndo tunaanza nae, sio kwa kumuonea hapana, ndo mwenye jukumu kubwa ktk hili na ndo mwenye dhamana. Itakuja bodi harafu wabunge unajua ni hadi 5years, tutawawajibisha wale wote wanaoona ila hawaelewi.

Siku hizi msomi anaandaa mambo kijanja, anawapa wananchi wapitishe, wakipitisha tu imekula kwao harafu eti yeye hana hatia, aibuuuuuuuuuuuuu kwa wasomi wa Tz.
 
Mkuu Fikirikwanza,
1. Hivi unajua maana ya SSRA na misingi ya kuanzishwa kwake?
2. Aliyeipitisha Sheria hiyo mpya ambayo haswa issue ya fao la kujitoa ndiyo imekuwa gumzo ni Irene au ni Bunge?
3. Yeye anatekeleza sheria inavyomtaka, yaani sheria ya kuanzishwa kwa SSRA, sheria ya bunge ya mambo ya mafao, lakini niseme tu kuwa anatekeleza Job Description yake.
4. Kwamba yeye kupewa u- DG wa SSRA, jamani huo ni wadhifa aliyoteuliwa nao na Mh. Rais.
5. Kwamba SSRA wanalipata mshahara mkubwa, si kosa la Irene, yeye alitengeneza Scheme of Service na madokumenti kibao na yakapitishwa na Msajili wa Hazina na Utumishi na wafanyakazi wa SSRA wanalipwa, kosa lake ni lipi hapo?
6. Mwisho wa siku, Irene ni mwajiriwa wa SSRA akama alivyo mhudumu, mlinzi, Karani nk.

"Dont Hate The Player; Hate The Game"

Kwa hili, tusimuonee bure.
Absolutely NO!! and NO again. The parliament is informed on its decision by technocrats and these are the main culprits of these country! One thing I will agree with you is the definition of an adviser; "An adviser is a person who gives opinions to allow decisions makers make informed decisions." Irene is an adviser and the situation of the TZ parliament, very few advises however "rubbish" they may be, are never honored especially based on the majority of nonthinking MPs. This is the reason I will just blame Irene (the adviser) as the main culprit!!
 
wabunge wamepitisha kwa nin yeye alaumiwe,wabunge walaumiwe kwa kutokusoma mambo.
 
Samahni kwa hili huyu mwanamke ana umalaya wa kifkra ...naomba mnielewe nambaya zaidi akakumbana na mwendawazimu mwenzake kibonde kwa kweli unaweza jua
combination itakayotoka hapo...nahisi sio tu kujiuzulu ni kumsahaulisha hata kwenye ulimwengu wa ajira
kama hatooacha kazi kabisa basi na nyie msiendelee
 
Irine ni binti mdogo sana na kwa lugha stahiki ni Mbichi, Jiulize kakaa pale kwa mgongo wa nani? Hii ni TANZAJUANAJUANA

je? hana vigezo vya kuwa na ile nafasi! au ulitaka mzee kama wasira ndio awe na ile nafasi? jamani, sio kila kitu kujuana tu, hata izi rizki mungu kampangilia kila mtu na yake! kama anasifa zote zakuwa kwenye ile nafasi tatizo liko wapi? haya mambo mengine ndo changamoto za kazi,haiwezekani mtu ukafanya kazi sehemu kubwa kama hizo alafu usipatwe na misukosuko kama hiyo hasa katika tz ya sasa!
 
je? hana vigezo vya kuwa na ile nafasi! au ulitaka mzee kama wasira ndio awe na ile nafasi? jamani, sio kila kitu kujuana tu, hata izi rizki mungu kampangilia kila mtu na yake! kama anasifa zote zakuwa kwenye ile nafasi tatizo liko wapi? haya mambo mengine ndo changamoto za kazi,haiwezekani mtu ukafanya kazi sehemu kubwa kama hizo alafu usipatwe na misukosuko kama hiyo hasa katika tz ya sasa!

Nancy Nk**hi...Mkuu wa wilaya flani Singida huko alimaliza tu UDSM kapata shavu kama hilo kupitia mh. Flan mwenye wadhifa wa kuteua. Unalizungumziaje hili na Irine?
 
Mimi nilijua mtasema wabunge wote waachishwe kazi, mana sheria imepitishwa na wa bunge na rais kasain! Sasa huyu mtu anakosa gani? Na hili wazo hajalitoa yeye kama yeye, sasa kwanini tusiwakatae wabunge na rais wao! Mpaka tunaanzisha wivu na nafasi za watu za kazi.

Alafu tuache fikra potofu humu ndani mana kila mwanamke akiwa kwenye kanafasi kwa kuwa ni umri mdogo basi tunajua anachakachuliwa, mbona huko kwenye ma private sectors wanawake wengi watoto na wanafasi nzuri tu, tena wengine kuzidi hata uyo irene.

Je? Kijana mdogo wa wakiume akiwa na nafasi nae analiwa tigo? Au anali mama? Na kwa style hizi tutaishia kuongea ongea tu. Hao tucta walikuwa hawajui kinachoendelea?

Kazi yao nini hasa kama si kukosa uelewa na wao! Kuratiu migomo ya madactari na walimu vinawashinda ndo waje kung'ang'ania haya.
 
TUCTA hii ya Mgaya au nyingine?labda afufuke Rwegasila akabiziwe hii kazi yakusimamia huu mgomo na si Mgaya
 
TUCTA hii ya Mgaya? Naye Mgaya ana la kujibu kwa Wafanyakazi wa Tanzania.Kama wanasema hii sheria kabla ya kupitishwa walishirikishwa wadau wote labda ikiwemo hata TUCTA ya Mgaya.Je kwa nini Mgaya hakuwaeleza wafanyakazi wa Tanzania kinachoendelea mpaka akasubiri ikapitishwa na Bunge? Au haya ni yale mambo tunayosikia huko Dodoma kabla ya kitu kujadiliwa kunakuwepo na Rushwa ili kiungwe mkono na wengi na kupitishwa.
 
Mimi nilijua mtasema wabunge wote waachishwe kazi, mana sheria imepitishwa na wa bunge na rais kasain! Sasa huyu mtu anakosa gani? Na hili wazo hajalitoa yeye kama yeye, sasa kwanini tusiwakatae wabunge na rais wao! Mpaka tunaanzisha wivu na nafasi za watu za kazi. Alafu tuache fikra potofu humu ndani mana kila mwanamke akiwa kwenye kanafasi kwa kuwa ni umri mdogo basi tunajua anachakachuliwa, mbona huko kwenye ma private sectors wanawake wengi watoto na wanafasi nzuri tu, tena wengine kuzidi hata uyo irene. Je? Kijana mdogo wa wakiume akiwa na nafasi nae analiwa tigo? Au anali mama? Na kwa style hizi tutaishia kuongea ongea tu. Hao tucta walikuwa hawajui kinachoendelea? Kazi yao nini hasa kama si kukosa uelewa na wao! Kuratiu migomo ya madactari na walimu vinawashinda ndo waje kung'ang'ania haya.

Umeshasema Private Sector,kule wanapatikana kwa kushindanishwa na hakuna uchakachuaji.Sasa huyu mwenzetu kashindanishwa na nani yeye si kateuliwa tu kuongoza hiyo SSRA
 
Alitoa rushwa ya ngono ndio akapata cheo hicho jamani,msimlaumu,si mnaona alivyo sexy.....
 
I think she is doing a great job na anafungua milango kwa sisi vijana wengine ambao tunajiandaa kushika nyadhifa kubwa kubwa katika nchi hii kwenye mambo ya kiutendaji. Navutiwa sana na utendaji wake ameonesha njia.
 
Hii mada sio ya ngono, ni utendaji mbaya wa Irene, ameshauri vibaya waziri, serikali na bunge. Tunataka awajibike kwa hilo na wala sio vinginevyo. Wafanyakazi tumesononeka sana, watu wamelia, na kuna wengine wamepata madhara ya afya kutokana na sheria hiyo.

Kama alidanganywa au kutumika vibaya, lazima ale chungu ya kudanganywa na kudanganya, ushauri mbovu kama huu huwezi kuachwa tu, Tz ndo maana maafisa wengi wanadokoa sana, maana wanaachwa tu.
 
Mimi nashangaa sana, hivi huyu dada kwanza nani alimpatia cheo kikubwa sana kama chake? Du mimi kila nikimwangalia simumalizi hata kidogo. Sasa kwa mara ya kwanza kabisa naomba mwenye CV yake aimwage maana kati ya watu walionichefua mwaka huu mpaka nikatamani kwenda kutubu kanisani ni huyu dada.Nimeshamtukana matusi yote ya duniani na sitatubu mpaka hapo atakaporejesha fao la kujitoa. Kama vipi mimi mniambie kama kaolewa nataka nimuweke nyumba ndogo ili aone jinsi maisha ya bila mtaji yanavoumiza

mkuu!!! teh teh teh!!! weka ndani afu kwa siku ma-ba-o ya kutosha.
 
Huyu dada hana kosa tatizo lake ni kukubali kutumika vibaya.

Pamoja na hilo mkuu, ungemsikiliza siku ile alivyokuwa anaongea na Kibonde Clouds, ungeona kabisa bado hajakua! Kejeli mojawapo aliyoitoa ni kuwa 90% ya mishahara tunayobaki nayo tumeshindwa kuitumia vizuri sasa hiyo 10% tunayowekeza huko kwenye pension funds ndo tunaitaka? She is intelligent and hard working, tatizo kwa hili alikurupuka na kutumika vibaya.

Yeye angeanzia kwanza kuzibana hizi pension funds ziboreshe mafao kwa wastaafu, ahalafu ndo aje na habari hii, siyo uanaanza kuzuia kwanza pesa halafu ndo eti uje na regulations na formula mpya ya mafao!

Kwa maana hiyo, hatufai hata kidogo!
 
Back
Top Bottom