Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Sasa Irene akijiuzulu ndio nini? Je unajua yeye katika ngazi za mamlaka ni mtu mdogo sana?
Mbali na Rais, kuna waziri, naibu waziri, katibu mkuu, bodi nk......je hao kwa nini huoni wanapaswa kubebeshwa zigo.
Je unajua huyu Irene ni bangu silo?
Lazima mtoke hapo mlipo kama mnataka maisha bora. Ukombozi wa fikra ni lazima uende sambamba na mabadiliko ya nje i.e. kisiasa na kiuchumi
Mbali na Rais, kuna waziri, naibu waziri, katibu mkuu, bodi nk......je hao kwa nini huoni wanapaswa kubebeshwa zigo.
Je unajua huyu Irene ni bangu silo?
Lazima mtoke hapo mlipo kama mnataka maisha bora. Ukombozi wa fikra ni lazima uende sambamba na mabadiliko ya nje i.e. kisiasa na kiuchumi