Wafanyakazi tunataka Mkurugenzi SSRA ajiuzuru, TUCTA iongoze mgomo huo

fikirikwanza

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
7,452
3,065
Sisi wafanyakazi kwa umoja wetu kama ambavyo mmetusikia kwenye vyombo vya habari tunataka Irene ajiuzuru mara moja. Kutokana na kushindwa na kuonesha hana uwezo wa kufikiria kwa ajili ya jamii ya wafanyakazi.

Ni wazi ameshindwa kuijua jamii ambayo anapaswa kuijua vizuri na kuiongoza ktk kuhimili maisha na changamoto zake.

Tunamuomba Irene heri apishe ili wafanyakazi tuwe na imani na SSRA, suala la kutoa mafao ya kujitoa ni jaribio la mauaji ya halaiki, mtanzania huyu asiye na mtaji atasubiri vipi umri wake ufike 55 ili achukue mafao yake ile hali life spana yake ni miaka 47??? Irene unakopi visivyokopika, umeshindwa kuonesha una uwezo kiakili wa kufikiri na kupanga kwa ajili ya watanzania, achia ngazi.

Tunaomba TUCTA isimame kitede kutuwakilisha wafanyakazi ktk sekta zote kuwa hatumtaki DG wa aina hii, pia hatuna muda wa kumwacha ajifunzie kazi maisha yetu. Aondoke mara moja, kama ni njaa anaganga ni heri akasubiri mme wake alete msosi au kama hana ni vema akaolewa mapema, lakini hili la kutunyima haki watanzania halikuballiki.

Mtanzania mwenye akili timamu, aliyesoma, wazazi wake ni watanzania hawezi kukaa na kufikiri kuwa mafao ya kujitoa yasiwepo, hawezi hata kidogo, je Irene hili kalitoa wapi???? Tunataka kuanzia sasa turuhusiwe kuchukua mafao yetu tena kama kawaida sio ndani ya miezi sita bali mitatu tu.

Nawasilisha.
 
Mimi nashangaa sana, hivi huyu dada kwanza nani alimpatia cheo kikubwa sana kama chake? Du mimi kila nikimwangalia simumalizi hata kidogo. Sasa kwa mara ya kwanza kabisa naomba mwenye CV yake aimwage maana kati ya watu walionichefua mwaka huu mpaka nikatamani kwenda kutubu kanisani ni huyu dada.Nimeshamtukana matusi yote ya duniani na sitatubu mpaka hapo atakaporejesha fao la kujitoa. Kama vipi mimi mniambie kama kaolewa nataka nimuweke nyumba ndogo ili aone jinsi maisha ya bila mtaji yanavoumiza
 
Sisi wafanyakazi kwa umoja wetu kama ambavyo mmetusikia kwenye vyombo vya habari tunataka Irene ajihudhuru mara moja. Kutokana na kushindwa na kuonesha hana uwezo wa kufikiria kwa ajili ya jamii ya wafanyakazi.

Ni wazi ameshindwa kuijua jamii ambayo anapaswa kuijua vizuri na kuiongoza ktk kuhimili maisha na changamoto zake.

Tunamuomba Irene heri apishe ili wafanyakazi tuwe na imani na SSRA, suala la kutoa mafao ya kujitoa ni jaribio la mauaji ya halaiki, mtanzania huyu asiye na mtaji atasubiri vipi umri wake ufike 55 ili achukue mafao yake ile hali life spana yake ni miaka 47??? Irene unakopi visivyokopika, umeshindwa kuonesha una uwezo kiakili wa kufikiri na kupanga kwa ajili ya watanzania, achia ngazi.

Tunaomba TUCTA isimame kitede kutuwakilisha wafanyakazi ktk sekta zote kuwa hatumtaki DG wa aina hii, pia hatuna muda wa kumwacha ajifunzie kazi maisha yetu. Aondoke mara moja, kama ni njaa anaganga ni heri akasubiri mme wake alete msosi au kama hana ni vema akaolewa mapema, lakini hili la kutunyima haki watanzania halikuballiki.

Mtanzania mwenye akili timamu, aliyesoma, wazazi wake ni watanzania hawezi kukaa na kufikiri kuwa mafao ya kujitoa yasiwepo, hawezi hata kidogo, je Irene hili kalitoa wapi???? Tunataka kuanzia sasa turuhusiwe kuchukua mafao yetu tena kama kawaida sio ndani ya miezi sita bali mitatu tu.

Nawasilisha.

Hiyo sheria ya mifuko ya jamii amepitsha Irene au wabunge wenu vilaza
 
Tunamuomba Irene heri apishe ili wafanyakazi tuwe na imani na SSRA, suala la kutoa mafao ya kujitoa ni jaribio la mauaji ya halaiki, mtanzania huyu asiye na mtaji atasubiri vipi umri wake ufike 55 ili achukue mafao yake ile hali life spana yake ni miaka 47??? Irene unakopi visivyokopika, umeshindwa kuonesha una uwezo kiakili wa kufikiri na kupanga kwa ajili ya watanzania, achia ngazi.

Hata kama angekuwa MAHIRI wa Ku COPY na KU PASTE basi angefanya hivyo.

Tatizo la Irene ni MAHIRI wa ku copy na ku paste MABAYA ya wenzetu, lakini linapoukuja suala la MAZURI ya wenzetu hawezi ku COPY na Ku PASTE.

Hiyo sheria mbaya ya kuzuia mafao ya kujitoa alii copy kwa wenzetu huko.

Lakini hapo hapo kama ni mahiri wa ku copy na ku paste basi pia ange copy sheria ya UNEMPLOYEMENT BENEFIT. Lakini yeye kwa makusudi kabisa hii sheriua NZURI ya wenzetu akaiacha.

BTW, namkumbusha Irene madhumuni makubwa kabisa ya kuanzishwa SSRA ilikuwa ni ku HARMONIZE FORMULA ya kukokotoa mafao ya pensherni kwa mifikuo yote ya jamii, baada ya malalamiko kwamba wafanyakazi wa serikali kuu walijiundia mfuko wao PSPF unaotoa mafao mazuri zaidi ya mifuko mingine ya hifadhi ya jamii. (refer saga ya lecturers wa UDSM waliostaafu akina marehemu Prof Haroub Othuman etc).

Kwanini huyu Irene hafanyii hili DAI NAMBA moja la wafanyakazi anarukia mambo mengine yasiyo na TIJA kwa wafanyakazi, indeed SSRA badala ya kutatua kero imekuwa KERO kwa wafanyakazi, SHE MUST GO!
 
Wabunge wanapelekewa tena nikisema ukweli wote sometimes wanapelekewa kijanjajanja, ndo maana wamesituka na kupitisha irejeshwe bungeni ili watengue kifungu hicho chenye wizi kwa mali halali ya mtanzania kwa njia ya kisasa zaidi.

Tunawashukuru wabunge kwa kupitisha hilo, Je aliyesimamia na mwenye dhamana ya hifadhi ya jamii SSRA achukuliwe hatua gani baada ya bunge kuona udhaifu huo??? Irene Isaka ajihudhuru hatuna imani naye, sasa atafanyaje kazi na sisi wenye mali/michango ambao hatumtaki na imani hatuna??? kama sio shida za dunia hii, njaa na kama sio ulafi wa madaraka angeomba kuachia ngazi mwenyewe kimya kimya kwa kosa ambalo yeye na ssra wamelifanya kwa watanzania.

Leo hii wafanyakazi wanalia kwenye TV is it normal in Tz?? machozi hayo hayaendi bure.
 
Naunga mkono asili mia moja!!!!!!!

Mimi naona itakuwa busara kama yeye DG na bodi nzima ya SSRA wangejiuzuru mapema iwezekanavyo kuwapisha watu wengine wenye busara waongoze shirika!!
 
Hili jambo linaonekana kufa kufa vile. Suala la ssra ni kubwa kuliko wengi wetu tunavyolichukulia. Kimsingi DG wa ssra amefanya kosa kuu. Inaonekana huyu si Mtanzania. Amesomea huko Ulaya tangu kindergarten na sasa amekuja kututawala. Huyu haijui nchi hii kabisa na ni plagiarist mkubwa. Itafika wakati tuwalipue tu watu wa namna hii. Kama mimi nitakufa kwa umasikini wa kusababishwa na wendawazimu kama hawa kwani nini nisimmalize tu?
 
Sisi wafanyakazi kwa umoja wetu kama ambavyo mmetusikia kwenye vyombo vya habari tunataka Irene ajihudhuru mara moja. Kutokana na kushindwa na kuonesha hana uwezo wa kufikiria kwa ajili ya jamii ya wafanyakazi.

Ni wazi ameshindwa kuijua jamii ambayo anapaswa kuijua vizuri na kuiongoza ktk kuhimili maisha na changamoto zake.

Tunamuomba Irene heri apishe ili wafanyakazi tuwe na imani na SSRA, suala la kutoa mafao ya kujitoa ni jaribio la mauaji ya halaiki, mtanzania huyu asiye na mtaji atasubiri vipi umri wake ufike 55 ili achukue mafao yake ile hali life spana yake ni miaka 47??? Irene unakopi visivyokopika, umeshindwa kuonesha una uwezo kiakili wa kufikiri na kupanga kwa ajili ya watanzania, achia ngazi.

Tunaomba TUCTA isimame kitede kutuwakilisha wafanyakazi ktk sekta zote kuwa hatumtaki DG wa aina hii, pia hatuna muda wa kumwacha ajifunzie kazi maisha yetu. Aondoke mara moja, kama ni njaa anaganga ni heri akasubiri mme wake alete msosi au kama hana ni vema akaolewa mapema, lakini hili la kutunyima haki watanzania halikuballiki.

Mtanzania mwenye akili timamu, aliyesoma, wazazi wake ni watanzania hawezi kukaa na kufikiri kuwa mafao ya kujitoa yasiwepo, hawezi hata kidogo, je Irene hili kalitoa wapi???? Tunataka kuanzia sasa turuhusiwe kuchukua mafao yetu tena kama kawaida sio ndani ya miezi sita bali mitatu tu.

Nawasilisha.

Ni kweli Irene kwa kushindwa kusimamia maslahi ya wafanyakazi wenzie ameshindwa mtihani wake wa kwanza ambao ungejenga imani ya wafanyakazi kwake; historia itamuhukumu;

lakini tunapomtaka dada Irene ajiuzuru yeye peke yake, je wabunge ambao ndio wawakilishi wetu tuwaweke wapi kwa kupitisha muswada huo bila hata kuusoma na kuuchambua?!

Waheshimiwa wabunge wetu walikuwa na kila fursa kumuita na kumuhoji dada Irene ili wajiridhishe kama wadau walikuwa wameshirikishwa kikamilifu kuelekea muswada huo!

Irene sio mbunge kwa hiyo watunga sheria ndio walitenda dhambi kuu zaidi kwa kuukubali muswada wa Irene; je tuwawajibisheje?!

Sipendi kumtetea dada Irene lakini pia tusimfanye "bangusilo" au mbuzi wa kafara peke yake kama tunataka kuelekea kwenye nchi ya ahadi.
 
Na hii ndiyo Tz bana mtalia mpaka machozi ya damu na hakuna anayesikia watu wengi wamepewa nyadhifa kwa kiapo cha kuitetea serikali iliyopo madarakani,Iwe kwa mabaya ama mazuri.
So nadhani inahitajika wananchi wachini tunaoumia na mfumo huu tuache kumalizia hasira zetu kwenye keyboard tu bali tujaribu kuchek na plan B.
 
Mapenzi na kazi, wapi na wapi. Lazima kinuke tu.

Don't drag unfounded allegations(sp) to this issue, yaani kila mtu kapata cheo alichonacho kwa kutoa chochote?!

That's full of lies and u know it!

She is capable of handling SSRA you should task paliamentarians for passing it

SIUNGI MKONO HOJA !

Irene Songa !
 
Mkuu Fikirikwanza,
1. Hivi unajua maana ya SSRA na misingi ya kuanzishwa kwake?
2. Aliyeipitisha Sheria hiyo mpya ambayo haswa issue ya fao la kujitoa ndiyo imekuwa gumzo ni Irene au ni Bunge?
3. Yeye anatekeleza sheria inavyomtaka, yaani sheria ya kuanzishwa kwa SSRA, sheria ya bunge ya mambo ya mafao, lakini niseme tu kuwa anatekeleza Job Description yake.
4. Kwamba yeye kupewa u- DG wa SSRA, jamani huo ni wadhifa aliyoteuliwa nao na Mh. Rais.
5. Kwamba SSRA wanalipata mshahara mkubwa, si kosa la Irene, yeye alitengeneza Scheme of Service na madokumenti kibao na yakapitishwa na Msajili wa Hazina na Utumishi na wafanyakazi wa SSRA wanalipwa, kosa lake ni lipi hapo?
6. Mwisho wa siku, Irene ni mwajiriwa wa SSRA akama alivyo mhudumu, mlinzi, Karani nk.

"Dont Hate The Player; Hate The Game"

Kwa hili, tusimuonee bure.
 
Ndiyo tatizo la kumuachia mtu mmoja (read president) afikiri kwa niaba ya watanzania milioni 45.
DCs, RCs, DGs, WEOs, VEOs, IGP, CJ, CDF, RPCs, PS, etc achague yeye? Huyu mtu ana AKILI za aina gani?
 
Sisi wafanyakazi kwa umoja wetu kama ambavyo mmetusikia kwenye vyombo vya habari tunataka Irene ajihudhuru mara moja. Kutokana na kushindwa na kuonesha hana uwezo wa kufikiria kwa ajili ya jamii ya wafanyakazi.

Ni wazi ameshindwa kuijua jamii ambayo anapaswa kuijua vizuri na kuiongoza ktk kuhimili maisha na changamoto zake.

Tunamuomba Irene heri apishe ili wafanyakazi tuwe na imani na SSRA, suala la kutoa mafao ya kujitoa ni jaribio la mauaji ya halaiki, mtanzania huyu asiye na mtaji atasubiri vipi umri wake ufike 55 ili achukue mafao yake ile hali life spana yake ni miaka 47??? Irene unakopi visivyokopika, umeshindwa kuonesha una uwezo kiakili wa kufikiri na kupanga kwa ajili ya watanzania, achia ngazi.

Tunaomba TUCTA isimame kitede kutuwakilisha wafanyakazi ktk sekta zote kuwa hatumtaki DG wa aina hii, pia hatuna muda wa kumwacha ajifunzie kazi maisha yetu. Aondoke mara moja, kama ni njaa anaganga ni heri akasubiri mme wake alete msosi au kama hana ni vema akaolewa mapema, lakini hili la kutunyima haki watanzania halikuballiki.

Mtanzania mwenye akili timamu, aliyesoma, wazazi wake ni watanzania hawezi kukaa na kufikiri kuwa mafao ya kujitoa yasiwepo, hawezi hata kidogo, je Irene hili kalitoa wapi???? Tunataka kuanzia sasa turuhusiwe kuchukua mafao yetu tena kama kawaida sio ndani ya miezi sita bali mitatu tu.

Nawasilisha.
AONDOKE haraka huyu FISADI anayetaka kufisidi hela na maisha ya wafanyakazi
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom