Swali zuriSasa kama mahakama kuu imetoa hukumu tayari na Mheshimiwa halipi, kwanini wasiiombe ikamate mali zake.? Hawana wakili?
Daah! Hadi huruma.
Pole kwao kwa kuwa ni haki yao wazidi kuipigania tu mpaka waipate.
Kashindwa kupandisha mishahara mnategemea awasaidie nyinyi?
Kuuza airtime!Hivi mapato ya SAHARA MEDIA GROUP yanatokana na nini?.