Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
May it please wakuu wangu;
Kwa wale wapenzi wa mpira wanafahamu kuwa kesho ndio ule mtanange kati ya Yanga na Zamalak ambayo hii haiwezi kuwa hoja hata kidogo.
Hoja yangu ni kwamba Mechi hii kati ya hizi timu mbili imekuwa ikitangazwa na kufanyiwa Promo ya hali ya juu na Clouds Fm hasa katika kipindi cha Jahazi, Promo ambayo binafsi sikuwahi pata sikia hata wakati timu ya Taifa inapokuwa na Mechi ama za ndani au za nje. Promo ambayo naamini ingekuwa inafanywa kama inavyofanywa leo hii kwa namna moja ama nyingine inaweza kuwapa moyo si Wachezaji tu bali Mashabiki na Watanzania kwa ujumla na kukuta tunajumuika pamoja kwa mambo yahusuyo Taifa letu na wachezaji wetu.
Hili limenipelekea kuuliza Clouds na hata kulileta hapa kwenu waungwana ili pawepo na tafakuri juu ya mambo mawili;
1. Je hayo matangazo ni Uzalendo + Uclouds?? ama
2. Ni Uridhi1 + Uclouds
Kama jibu litakuwa ni Uzalendo + Uclouds
1. Je tutegemee promo ya namna hiyo pindi panapokuwa na Mechi zingine mathalan Taifa Stars, Simba, Maji Maji n.k???
2. Na kama jibu litakuwa Uridhi1 + Uclouds je hawaoni kuwa kwa kufanya hivyo ni kudhoofisha au kukatisha wengine tamaa kwa ubaguzi huo wa wazi??
Kwa wale wapenzi wa mpira wanafahamu kuwa kesho ndio ule mtanange kati ya Yanga na Zamalak ambayo hii haiwezi kuwa hoja hata kidogo.
Hoja yangu ni kwamba Mechi hii kati ya hizi timu mbili imekuwa ikitangazwa na kufanyiwa Promo ya hali ya juu na Clouds Fm hasa katika kipindi cha Jahazi, Promo ambayo binafsi sikuwahi pata sikia hata wakati timu ya Taifa inapokuwa na Mechi ama za ndani au za nje. Promo ambayo naamini ingekuwa inafanywa kama inavyofanywa leo hii kwa namna moja ama nyingine inaweza kuwapa moyo si Wachezaji tu bali Mashabiki na Watanzania kwa ujumla na kukuta tunajumuika pamoja kwa mambo yahusuyo Taifa letu na wachezaji wetu.
Hili limenipelekea kuuliza Clouds na hata kulileta hapa kwenu waungwana ili pawepo na tafakuri juu ya mambo mawili;
1. Je hayo matangazo ni Uzalendo + Uclouds?? ama
2. Ni Uridhi1 + Uclouds
Kama jibu litakuwa ni Uzalendo + Uclouds
1. Je tutegemee promo ya namna hiyo pindi panapokuwa na Mechi zingine mathalan Taifa Stars, Simba, Maji Maji n.k???
2. Na kama jibu litakuwa Uridhi1 + Uclouds je hawaoni kuwa kwa kufanya hivyo ni kudhoofisha au kukatisha wengine tamaa kwa ubaguzi huo wa wazi??