Wafanyabiashara wanaanza kurudi tena upinzani

Wafanyabiashara wanaanza kurudi tena upinzani

Kuna dalili kubwa sana za wafanyabiashara kujijenga zaidi upinzani baada ya sakata hili la sukari kuonyesha wazi kuwa serikali sio rafiki kamwe na hao wajasiriamali kwa uwazulia mambo na kuwa dharirisha kwenye jamii inaonyesha wanarudi nyuka kule wapokuwa wakiitwa WANYANYAJI, MAKABAILA, WALANGUZI , MABEPARI, na vitisho vingi
hypocrisy to its highest level. wapinzani ndio wanaunga mkono kuvunja sheria za nchi? wanataka kutawala nchi isiyofuata sheria? Wafanye shughuli zao kwa mujiu wa sheria, basi waanchane na vyama. mlinzi wao siyo vyama vya Siasa, hata chama tawala, bali ni sheria za nchi tu, basi.
 
Lowassa alianza kuwahi kiti cha mbele mapema kwenye chumba cha wapinzani!

Kwa sasa anapata protection yote ya CHADEMA!

Kwa sasa ukilitamka jina la Lowassa, walinzi wanaibuka haraka kutoka ndani ya shimo ili kumtetea kwa kutumia hoja za nguvu!
Kwann usiombe hata undugu Wa damu kwa Mzee huyu, Nakuona unapata shida sana
 
Na waende tu hamna tatizo, alikwenda Lowasa, Kingungwe na hata Mwapachu, hivi hao wafanyabiashara wanafika hata 20,000?? au mnachekelea labda watatumia fungu ili kuimaliza CCM, Wafanyabiashara walio wachache wataenda upinzani na wanyonge waliowengi watakwenda na kuendelea kubaki CCM. Magufuli ni wa wananchi wenye hali ya chini, hali ya kati ya juu na kawaida na hao tu ndio wanaomuelewa, majizi, wala rushwa wavivu wa kazi, wahujumu nchi hao ni Ngumu kumkubali na waende.
 
Fisadi ......Fisadi,,,,,Fisadi,,,,,,,,fisadi anapaswa kufikishwa mbele ya SHERIA.........sasa kwa nini mnalalama tuu kusema Fisadi halafu hatua stahiki hazichukuliwi.......??? Watanzania tutaamini vipi kweli huyu bwana ni Fisadi.....??? Je, hizi si chuki binafsi na kuchafuliana jina kwa jamii.....?????
Kama kweli ni fisadi,,,,,,,natoa rai,,, hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake,,,,,,,,,,,,

Otherwise,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,MANENO MATUPU HAYAVUNJI MFUPA.
 
cdm haiwezi kuwakubali wafanyabiashara wasio na nia njema na nchi hii. Ni imani yangu kuwa sera za cdm zingetumika hiv hv kuwabana watu kana hawa wahujumu uchumi wa nchi kama cdm ingeshika DOLA.

Watengwe tu hao.
 
Kuna dalili kubwa sana za wafanyabiashara kujijenga zaidi upinzani baada ya sakata hili la sukari kuonyesha wazi kuwa serikali sio rafiki kamwe na hao wajasiriamali kwa uwazulia mambo na kuwa dharirisha kwenye jamii inaonyesha wanarudi nyuka kule wapokuwa wakiitwa WANYANYAJI, MAKABAILA, WALANGUZI , MABEPARI, na vitisho vingi
Mimi ni UKAWA lakini kwa hili hapana! Hakuna sukari mitaani na wafanyabiashara wameweka millions of kgs of sugar in godowns, Is this acceptable. Think if it were you, would you accept that?
 
Lowassa anahusiana na hii mada kwa sababu ni mmoja wa wafanyabiashara mafisadi waliokuwa CCM ambao waliamua kuwahi kiti cha mbele cha CHADEMA mapema baada ya kunusa kama kutakuwa na hali mbaya ndani ya CCM baada ya Uchaguzi Mkuu 2015.

Unafiki ni kitu kibaya sana hasa kwa mtu mzima kama wewe, ni hatua gani za kisheria mlimchukulia mahakamani pindi mlipogundua ni mfanyabiashara fisadi alipokuwa ccm? Je ameendeleza ufisadi wake alipojiunga na upinzani miezi 7 iliyopita ama ufisadi huo aliachana nao baada ya kuondoka huko? Mpaka sasa familia na pamoja na marais wastaafu wawili wamekuwa ni nembo ya ufisadi kwenye nchi hii, je upuuzi huu unaoongea hapa ni pamoja na wao ama wakienda upinzani tu ndio utaanika unafiki wako kwa kuunga mkono tuhuma hizo za ufisadi?
 
Kuna dalili kubwa sana za wafanyabiashara kujijenga zaidi upinzani baada ya sakata hili la sukari kuonyesha wazi kuwa serikali sio rafiki kamwe na hao wajasiriamali kwa uwazulia mambo na kuwa dharirisha kwenye jamii inaonyesha wanarudi nyuka kule wapokuwa wakiitwa WANYANYAJI, MAKABAILA, WALANGUZI , MABEPARI, na vitisho vingi
Na waende tu,huko ndiko lilipo pango la mafisadi
 
sio wafanyabiashara tu, hata wananchi wa kawaida na wafanyakazi
huyu magufuli asipobadilisha sera zake za kiuchumi, hata kama ni mzalendo kiasi gani hatumtaki, afadhali kuongozwa na fisadi uchumi uendelee kuliko kuongozwa na mzalendo ambaye anaharibu uchumi zaidi kwa kufanya maamuzi ya kusukumwa na hisia
 
maan yake ni ipi, kama wafanya bishara walkuwa ccm kwa ajili ya kufanya kazi kwa kukwepa kodi na kukwepa kodi maan yake ni kwamba kurudisha nyuma mipango na maendelea ya nchi.
sas tuseme kuwa leo wamehama wako m4c kutokana na kwamba ndiko kuna unafuu je tuseme lowassa anatetea watu hao kutolipa kodi? na kama hatulipi kodi nchi itafikiaje malengo yake kwa wananchi?
 
Lowassa alianza kuwahi kiti cha mbele mapema kwenye chumba cha wapinzani!

Kwa sasa anapata protection yote ya CHADEMA!

Kwa sasa ukilitamka jina la Lowassa, walinzi wanaibuka haraka kutoka ndani ya shimo ili kumtetea kwa kutumia hoja za nguvu!
Kwasababu E.L ni Mtanzania kama Watanzania wengine
 
Kwani Lowassa kuwahi na kukaa kiti cha mbele cha nyumba ya CHADEMA ina maana He's still alive?

Nimesema, mtu yoyote akilitaja jina la Lowassa, walinzi wake wanakuja mbio kumtetea kwa kutumia hoja za nguvu. Are you the one?

Lowassa is finished!

Finished by whom?
 
Unapokuwa na kikosi cha aina hii cha kukulinda na kukutetea kwa hoja za nguvu haina maana kuwa wewe ni mtawala wa nchi!

From here;
1.jpg


To here;
mbowe_Red%2BBrigade.jpg

DSC_0037.jpg

Hawa kwa sasa ndiyo walinzi wa Lowassa!

Lowassa is finished!
Kama kawaida yako kujitekenya E.L bado yupo vichwani mwa watu na hata Vichwani mwenu nyie ndo maana hamuishi kumuandika kila siku
 
Back
Top Bottom