mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,221
- 4,693
Haya maswali kawaulize viongozi wa chadema.Maneno ya kusema lowassa ni fisadi kwa sasa ni out of fashion.maana toka ameanza kusemwa sio leo,rais wa serikali ya 4 aliliskia,rais wa awamu ya tano amelisikia nae na vyombo vyote vya dola wamesika.mbona hawamkamati ili ashitakiwe kwa ufisadi aliofanya?tuna polisi wasomi,wanasheria wa waserikali wasomi,takukuru wasomi na rais msomi wote wako kimya,sembuse wewe?