lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,805
- 4,374
Wafanyabiashara leo tarehe 27 wamegoma nchi nzima kwa madai ya kutaka kukutana na serikali TRA kujadiliana njia bora zaidi ya kulipa kodi tofauti na ilivyo sasa ambapo wafanyabiashara wanakandamizwa na sheria mpya ya kodi ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.