Mkuu sio wote wameitikia woto ila 80% wamefunga fremu za duka
Tukana uwezavyo lakini kodi ni lazima kwa maendeleo na ustawi wa taifa letu la Tanzania. Ni suala la wakati tuu lazima sheria za Nchi zifuatwe. Umoja wenu ungekuwa na maana kama mngepenyeza ushawishi wakati ule sheria ya EFD Machine inatungwa lakini siyo sasaKama hoteli ni fisadi Lowassa utagomaje wakati wew haulipi kodi,Matako wewe
Kumbe wanaogoma ni wachuuzi maana hata kina Mengi, Manji, Barharesa, Mimi ni wafanyabishara lakini hatuko kwenye mgomo. Manaposema wafanyabishara wote wamegoma mnakuwa hamjatenda haki kwa wengineo ambao hatuna tatizo na mashine za TRA kwa sababu hatuna cha kuficha.
Tukana uwezavyo lakini kodi ni lazima kwa maendeleo na ustawi wa taifa letu la Tanzania. Ni suala la wakati tuu lazima sheria za Nchi zifuatwe. Umoja wenu ungekuwa na maana kama mngepenyeza ushawishi wakati ule sheria ya EFD Machine inatungwa lakini siyo sasa
Mkuu sio wote wameitikia woto ila 80% wamefunga fremu za duka
Wakati sheria inapelekwa bungeni wadau hatukushikisha kabisa
Kumbe wanaogoma ni wachuuzi maana hata kina Mengi, Manji, Barharesa, Mimi ni wafanyabishara lakini hatuko kwenye mgomo. Manaposema wafanyabishara wote wamegoma mnakuwa hamjatenda haki kwa wengineo ambao hatuna tatizo na mashine za TRA kwa sababu hatuna cha kuficha.
Tukana uwezavyo lakini kodi ni lazima kwa maendeleo na ustawi wa taifa letu la Tanzania. Ni suala la wakati tuu lazima sheria za Nchi zifuatwe. Umoja wenu ungekuwa na maana kama mngepenyeza ushawishi wakati ule sheria ya EFD Machine inatungwa lakini siyo sasa
Shinikizo ili Lowasa asitemwe na CCM ................................ mwaka huu CCM wanalo!!
Wanaoafiki waseme ndiyoooo. Huu upigaji Wa kura ni wakipumbavu sana, sheria za hovyo zote zinapita kwa upumbavu wa ccm
Anzeni ushawishi "lobbying" ili ifanyiwe marekebisho. Lakini lendila biashara ya kuuza kuku zilizookwa pale Nairobi na Mtu mwenye duka Kariako nani mfanya biashara mkubwa? kwa nini yule muuza kuku na kababu pale Nairobi atumia machine ya kodi ya kutolea risiti ninyi wenye maduka ya Jumla kariakoo msitumie machine za TRA?
Mkuu sio wote wameitikia woto ila 80% wamefunga fremu za duka
kanunue sementi na mabati shambani sasa,pambafAcha wagome hatuna shida nao mbona shambani nafaka kibao.