The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
SiendiJUzi nimepeleka mbuzi mnadani na nimelipa kodi. Sasa mtu anakuja na story kibao za kuhamia Kenya. So what? GO!
SiendiJUzi nimepeleka mbuzi mnadani na nimelipa kodi. Sasa mtu anakuja na story kibao za kuhamia Kenya. So what? GO!
Hawakuzoea kulipa,walizoea kuona barabara na miundombinu nyingine inafanyika bila kujua kwamba kuna wanaoumia.Nimeona clip ya Naibu waziri wa Kilimo, Bashe na baadhi ya wakulima wa bustani pale Arusha, wakijieleza kwa kudeka sana, na kueleza eti kodi ni kubwa. Kodi yenyewe ni 18%. Huu ni uzembe ktk biashara na ni tatizo la mazoea.
Elimu ya kodi kwa wananchi bado haijawafikia,serikali ianzishe kabisa somo maalumu kuanzia O'level (kidato cha kwanza kuendelea), taifa haliwezi kusonga mbele kwa kujitegemea bila wananchi wake/wafanyabiashara kulipa Kodi inayotakiwa
Ndugu unapomiliki gari,tuongelee pick up,lori n.kAlipe kodi vipi
1wakati hawatengenezi faida
2.Hakuna mazingira ya uwezeshaji
3.Serikali hamna wanachowafanyia mbali na kuonekana siku za kudai kodi
4.kodi ina viwango vikubwa inakaribiana kabisa na turnovers zao it's just like ukianzisha biashara serikali ndo inapata kula na kupunguza mtaji wako
5.Kuhusianisha biashara na mlengo wa kisiasa
6.Political insecurity(risks) ,yaani usipopendwa tu hata na diwani biashara yako inapigwa neno moja tu ,wanakuharibia reputation na kushuka mapato
7.utadai vipi kodi wakati mindset ya kiunyonge Tajiri yoyote ni mwizi ,mnyonyaji na mzurumaji wa taifa?(mhujumu uchimi)
8.Sheria nyingi za biashara zinaadhibu badala ya ku create room ya negotiation (resolution)
9.Mazingira ya ujasiamali mabovu
Ongezeeni wadau
Love you too miss pablo😍😍I love you Mama Dee
Always calm. Hunaga hasiraaa.Love you too miss pablo
Kabla sijachangia naomba utujuze unafanya biashara gani na unalipa kodi ya wastani kiasi ganiNimeona clip ya Naibu waziri wa Kilimo, Bashe na baadhi ya wakulima wa bustani pale Arusha, wakijieleza kwa kudeka sana, na kueleza eti kodi ni kubwa. Kodi yenyewe ni 18%. Huu ni uzembe ktk biashara na ni tatizo la mazoea.
Wakati mukilenga kumtisha rais, kumbukeni pia kuna maelezo ya kupanua wigo wa kodi, hivyo kama hamkuwa mukilipa kodi, lipeni. Anayekwenda Kenya wasikolipa kodi, aende! Mbona Kenya wanalipa kodi ya ardhi kubwaaa lakini wako kimya!
Mara ajira, mara hasara, visingizio viiingi! Wafugaji wanalipa, wasafirishaji wanalipa, waajiliwa wanalipa. Ninyi wakulima ndani ya viyoyozi hamtaki kwa tishio la kuhama, hameni Mbona wezi wanahamia wanakoruhusiwa kuiba! Too much demands!
It's useless to play lullabies for those who cannot sleep
Wewe kodi ya nini ulipe wakati kitambulisho cha wamachinga cha elfu 20 tu kinakutosha?Niko sokoni nina meza yangu tangu nimalize chuo kikuu. Hapa nalipa kodi ya maana kabisa! Bila hata kuzunguka kila kona nikilia lia bila sababu. Lipa kodi. Ukishindwa tafuta unakoona kodi haitakiwi.
Wewe kodi ya nini ulipe wakati kitambulisho cha wamachinga cha elfu 20 tu kinakutosha?
Huenda hata hicho Kitambulisho hana, hapo analipa ushuru wa Meza anadai ni KodiWewe kodi ya nini ulipe wakati kitambulisho cha wamachinga cha elfu 20 tu kinakutosha?
meza gani unayolipa VAT?Niko sokoni nina meza yangu tangu nimalize chuo kikuu. Hapa nalipa kodi ya maana kabisa! Bila hata kuzunguka kila kona nikilia lia bila sababu. Lipa kodi. Ukishindwa tafuta unakoona kodi haitakiwi.
Nilisema nalipa kodi, wewe unaniuliza VAT nikupe jibu gani sasa! Kila biashara ina kodi zake. Anayelima maua aelewe ana kodi zake kabla hata ya kuanza kilimo.meza gani unayolipa VAT?
sasa unawezaje kuwasemea watu mnaolipa kodi tofauti?Nilisema nalipa kodi, wewe unaniuliza VAT nikupe jibu gani sasa! Kila biashara ina kodi zake. Anayelima maua aelewe ana kodi zake kabla hata ya kuanza kilimo.
Ndiyo maana ya kuwa na tax consultants; TRA wanakuja na mahesabu yao, wewe unapa mahesabu yako, mkishindana namba basi mnapelekana mahakamani bila kutumia rushwa!!Tatizo makadirio hayafanyiki kiusahihi,na vilevile wengi wanafanya biashara kwakuchukua mikopo yenye riba kubwa kubwa ambayo ni matokeo ya usimamizi mbaya toka serikalini.Kingine ni serikali kua na irrational decisions nyingi,kwa mfano wamezuia malipo huko TARURA toka tarehe 20march,bila sababu za msingi,ni kama hawajui inawaadhiri vipi wafanyabiashara..wengine walitakiwa kurejesha mikopo,wengine wameshindwa kulipa mishahara wafanyakazi..nachomaanisha complex problems should be tackled by system approach techniques,sio kisiasa siasa!