Ni kweli kule soko kwa Beda wateja hawaendi kwa kuwa biashara maeneo yasiyoruhusiwa inaendelea kwa maagizo ya DC James. Sasa tatizo la uchafu,msongamano limerudi upya Mbezi ni kams hakuna kilichofanyika na mbaya zaidi wametoka kujenga meza sasa wameanza mabanda. Makala afuatilie suala hili haraka.