Wafanyabiashara kutofungua maduka kesho Mei 7, 2015

Wafanyabiashara kutofungua maduka kesho Mei 7, 2015

tochii

New Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
3
Reaction score
0
Kesho wafanyabiashara hawatafungua maduka/biashara zao kumuunga mkono m/kiti wao bwana Minja ambapo kesi yake itaendelea Mahakamani kesho.
 
Huu mwaka kwa ccm ni full Mchele Mchele hawaelewi wafanye nini tuongeze maombi tu maana naona ni mpango wa Mungu tu kuanguka kwao
 
Nabado mitandao ya cm nayo inapaswa kugoma walau siku 2 tuone kama kuna atakae chekelea
 
ningekuwa jk ningeomba uchaguzi ufanyike may 30 ili niwaachie linchi lenu na mamigomo yenu ili nikale bata Morocco
 
Huu mwaka kwa ccm ni full Mchele Mchele hawaelewi wafanye nini tuongeze maombi tu maana naona ni mpango wa Mungu tu kuanguka kwao
Muda fulani tunao umia zaid ni sisi sasa nashangaa kwann twachekelea
 
mwanasheria kuu mwenyewe hajui kosa la Minja hiyo kes imetoka wap?
 
Hii serikali ya ajabu sana. Nakumbuka AG alishauriwa bungeni kuwa mashtaka yale ya huyo mwenyekiti hayana mashiko na kwa vile kuna kamati ya maridhiano kesi ifutwe tusonge mbele kujenga nchi. Lakini majibu aliyotoa ni ya hovyo utadhani yeye ni raia wa Msumbiji na haya hayamuhusu.
Kwa kweli mateso ya nchi hii sio kuwa yanatokana na ccm bali yanatengenezwa na ccm
 
Na wasifungue kwa kweli.............

Hakiamungu safari hii kwa picha picha hizi tunazoziona ccm ikitoboa Mi naenda kuomba uraia nchi ya jirani................
 
Chonde chonde isifike tu siku wake zetu nao wakagoma maana itakua ni msiba wa kitaifa.
 
Huu mgomo siuelewagi, maana baadhi ya sehemu huwafungisha biashara hata wauza nyanya huu si ukorofi??????????
Migomo mingine ni ujinga tu.
 
Back
Top Bottom