Uislamu ni "Trojan-horse" wa ukoloni wa Kiarabu.
Mwanzilishi wa dini hiyo alikuwa Mwarabu.
Kitabu chao kitakatifu kiko katika lugha ya Kiarabu.
Lugha unayopaswa kujifunza na kutumia katika sala nayo ni Kiarabu.
Mwelekeo ambao unapaswa kuomba ni Uarabuni. (Ambao hata hivo hauko sahihi...
Nasikia Rais kavunja Bodi ya TCRA. Naona hawa hapa ndio walikua Wajumbe wake
MAWASILIANO: BODI YA TCRA YAVUNJWA
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo
Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi...
Kuna mtu mpaka sasa haamini kua watu wanapata pesa kupitia hizi kampuni za kubet, michezo sana sana slots na mingine kama Aviator na Zeppelin ya Sokabet.
Naomba niongelee kidogo na kwa ufupi bonasi inaitwa free spins katika slots na unavyoweza kuzipata.
Kwanza kabisa ijulikane ni ubashiri na...
Kulala huku macho yakiwa wazi huwasaidia wanyama kuwa macho dhidi ya hatari zinazoweza kutokea na kuwawezesha kujibu mapigo inapohitajika.
Ni maisha ya kuvutia ambayo huwaruhusu kupata hitaji la kupumzika na hitaji la usalama katika eneo lao.
Hawa ni baadhi ya wanyama ambao hulala jicho moja...
Vijana wa Sasa ksema ukweli hawjitambui ni muhimu Kwa wazazi na wazee kuacha kutupa lawama tuu! Bali waanze kuongea ukweli. Ili kuokoa kizazi hiki kilicho athiriwa na maendeleo ya sayansi na teknolojia.
Kama tunavyojua maendeleo hayaji Kwa kuinua uchumi pekee.kama vijana wataachwa nyuma...
Mwishoni mwa miaka ya 1980, Benki Kuu ya Tanzania ilitoa noti ya Shilingi Mia Mbili. Noti hii maarufu upande wake mmoja ulikuwa na picha ya wavuvi wawili wakiwa wamebeba samaki mkubwa wakiwa wanaelekea nchi kavu.
Najua wengi wetu hatufahamu kwanini iliwekwa picha ya wavuvi wale? Basi jua...
Leo tujikumbushe kwenye historia ya nchi yetu tangu tulipoungana na wenzetu wa Zanzibar mwaka 1964.
1. Ni watu wawili tu wamewahi kushika madaraka hayo zaidi ya mara moja ambao ni Edward Sokoine na Cleopa Msuya
Edward Sokoine akishika madaraka hayo mwaka 1977 mpaka 1980.
Kwa mara pili...
Kuna maswali wengi hujiuliza kama watoto wa Putin Rais wa Urusi wapo kwenye social media, inasemekana wanaweza wawepo kwa kutumia majina yasio kuwa yakwao kwa ajili ya usalama na wanaweza wasiwepo kabisa.
Maiaha yao ni ya kipekee kutokana na hali ya kisiasa na kinachoendelea, wote hao wakike...
Kwa rekodi za kipolisi IGP wa kwanza kurekodiwa ni Harun Mahundi ambayo alishika wadhifa huo miaka ya 1990s. Mwaka 1996 hadi mwaka 2006 wadhifa huo ulishikiriwa na Omary Mahita.
Kuanzia 2006 hadi mwaka 2013 Said Mwema alishika kijiti cha wadhifa huo, ambapo alipokezana na Ernest Mangu...
Ilianza kama utani Shirika moja la enzi hizo za utawala wa mwalimu Nyerere lilokuwa na ukwasi wa kutosha enzi hizo lilipokea taarifa kutoka kwa wezi kuwa siku ya tarehe_ _ mwezi wa _ _ wangefika kufanya wizi wa fedha kidogo hapo kwenye jengo la shirika hilo
Basi viongozi wa shirika...
WAFAHAMU MANABII WALIOKAA JELA , (WENGI SABABU ZA KISIASA)
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Kipimo namba moja cha Nabii au mtumishi wa Mungu ni HAKI, Ikiwa nabii au mtumishi wa Mungu hatakuwa na sifa hiyo basi ni wazi yeye sio nabii wala sio mtumishi wa Mungu, huwaga nawaitaga wahuni tu.
Mtumishi...
Je Wajua?
KABILA LA WAKURYA
Abakuria (au Wakurya) ni kabila la watu wanaoishi katika wilaya za Rorya, Tarime na Serengeti kwenye mkoa wa Mara, kaskazini mwa Tanzania, na katika wilaya za magharibi na mashariki mwa Mkoa wa Nyanza katika sehemu ya kusini mashariki ya Kenya.
Mnamo mwaka 2005...
Habari ya uzima wanaJF, natumaini mko wazma sana. Kazi iendelee. Nimepokea jumbe nyingi kutoka kwa wadau mbalimbali wakiomba niweke bandiko kuhusu Sutherland’s Seven sisters, Kwani niliwagusia juu kwa juu katika moja ya mrejesho wa bandiko moja ndani ya jukwaa. Naomba msamaha kwa kuchelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.