Wafahamu watu wanaoitwa Sociopath

Wafahamu watu wanaoitwa Sociopath

Jazia Mkuu watu wajifunze vitu adimu darasani havipo hivi haswa africa yetu hii naona unawachambua hadi unanipa mzuka ila kuna watu walikuja hapa kupinga alafu hawajaleta mchango wamechanganya Pyschopath na Sociapath wanasema ety mimi kwa uzi huu nimeandika psychopath hahahahaha nilicheka sana na nimekujakuona watu wanaishia kuangalia movie shule hawaendi au vitabu ni mwiko kwao kugusa
nitag in next session ndg
 
Weweeee, wanaopretend huruma nyingi Mara nyingi huwa ni wachawi ili kuwazuga watu.. Lakini mioyo yao ni ya kikatili balaaa. Wachawi ndivyo walivyo.
 
Kama Mimi sinaga feeling kabisa za mapenzi na wala nikifanya jambo baya sijwahi kujutia wala kujiuliza why nmefanya hivi so am scopiath?
 
Ukiwa na elimu kubwa kuhusu dunia na nguvu zilizo ndani ya binadamu utakuja kujua kwamba KUNA WATU WAMEUMBWA WAWE NEGATIVe ENERGY,,,watu wasiojali lolote bila kuhis chochote

KUSOMA SANA PHILOSOPHY NA KUTANGULIZA CAREERS KATIKA MAISHA KUNA CHANGIA. KUNA WATU WA AINA MBILI KATIKA MAISHA. AINA YA KWANZA WAPO HIVI: WANA FOCUS KATIKA FAMILIA, CAREERS NA AFYA. YAANI WAO KWAO KUWA NA FAMILIA NI KIPAUMBELE HAIJALISHI ANA HALI GANI KIMAISHA.

AINA YA PILI: WANA FOCUS KATIKA CAREERS KAMA PRIORITY YA KWANZA YA MAISHA YAKE, FAMILIA NA AFYA VITAFUATA! HAWA SIKU ZOTE NI WATU WA AJABU KATIKA JAMII. UNAWEZA KUTA ANA UWEZO WA KILA KITU LAKINI HAJALI KUHUSU FAMILIA AU KUWA NA FAMILIA. ALWAYS ANA FOCUS KATIKA PERSONAL ACHIEVEMENTS.

MARA NYINGI WANACHELEWA SANA KUWA NA FAMILIA, WASOMI WAZURI TU, NI INTROVERT. HAWAPENDI KUYUMBISHWA NA WATU. MARA NYINGI WANACHOKITAKA NDIYO KINAKUWA SIO UNACHOTAKA WEWE! NI VIGUMU KUWADANGANYA KWA SABABU WAO NI WAONGO SANA, WANAJENGA UONGO KWA LUGHA YA PICHA.
 

Dexter Morgan katika tamthilia iitwayo DEXTER anaonyesha tabia
zinazotambulisha Sociopaths. Itazame hiyo tamthilia kwa kujiongezea
ujuzi kuhusu watu hawa hatari waitwao sociopaths.
Hii ni kwa mujibu wa mtaalamu aitwaye Paul Rosenberg na references nyingine. Atakayetaka makala nzima aniambie email yake ntamtumia.

Kwanza sociopath ni nani ? A sociopath: is an otherwise normal human who has a profound lack of empathy for the feelings of others. Yaani sociopath kwa asili yeye haoni huruma kwa mtu yoyote yule. Hata hivyo sio lazima ajionyeshe wazi wazi kuwa hana huruma, hujificha ili kutimiza hitaji lao la kumpata mtu wa kumtenda.
Kwakuwa wao hawana hisia zozote za huruma wala mapenzi, inawalazimu hao sociopath kuiga watu wa kawaida wanavyoishi. Na kwakuwa hatutilii maanani jinsi watu wanavyoonekana , ni ngumu kutambua nani haswa ni sociopath, nani siye.
Ni shida kumjua sociopath kwakuwa
1. Wengi wetu tunaamini kila mtu ni mzuri, wakati ukweli kuna watu 100% ni wabaya tuu, ni muda tuu unawasubirisha kufanya ubaya wao.
2. Sio wengi sana inakadiriwa 2% ya watu wote ni sociopath mahesabu ambayo pia yanasemwa kuwa kati ya watu 50 mmoja ni sociopath
3. Lingine kwakuwa wao hawana hisia yoyote wao hawajisikii vibaya kudanganya, jambo linawapelekea kutokutambulika uongo wao hata kwenye LIE DETECTERS, zile mashine za kutambua kama mtu anasema uongo au la.
Baada ya kueleza hapo juu kwanini ni ngumu kwa watu wengi kumtambua sociopath tuone jinsi ya kumtambua.
1. Kama unasoma hii kitu tayari unafaida ya kumtambua sociopath kwakuwa wao hutumia kutokujua kwetu kuwa wao wapo. Ile imani kuwa kila mtu mzuri hutuharibu na kutuweka hatarini kudhurika na sociopath. Hivyo kila wakati tambua kusoma jinsi mtu anavyobehave.
2. Pamoja na kwamba sociopath huiga kuonekana wapo wa kawaida, huwa wanashindwa kwa asilimia 100 kuonyesha huruma na upendo. Ingawa wengine huwa na wenza wa ndoa, na hata watoto, ila chunguza namna wanavyoonyesha hisia zao haswa utagundua utofauti mkubwa. Vitu vya kuangalia ni namna wanavyojali wapenzi wao, watoto, mambo ya misiba na mijumuiko ya kijamii, pamoja na kuweza kufeki, ila ukia ngalia kwa makini utajua kuna walakini.
3. Kwakuwa sociopath kiasili hujisikia raha kudhuru wengine , chunguza watu ulionao karibu je hujisikia raha kusingizia wengine, au hufanya matendo yasiyo ya kihuruma na hawaonyeshi kujutia, n.k .
4. Wazungu wanasema "when the deal is so good, think twice". Kuwa makini na watu wanaojifanya wema sana.
5.Kwakuwa wanahitajika kujificha, hujitengenezea mazingira ya kutokutambulika na kuiaminisha jamii kuwa ni watu safi, kiasi kwamba hata ukija sikia wamefanya hivyo utashangaa. Wengi wa wanasiasa na viongozi wa asasi mbalimbali inasemekana ni sociopath.
Chunguza maamuzi ya wanasiasa wengi yasivyo na huruma. Mfano wa viongozi maarufu ni Mao Tse-tung ambaye ni baba wa taifa la CHINA anayedaiwa kubaka na kuua watu wengi kwa njaa. Mwingine ni kiongozi wa zamani wa shirika la utangazaji la BBC anaitwa Jimmy Savile ,yeye alikuwa na genge la udharirishaji wa watoto. Aliendesha genge lake kwa miaka 40 bila watu kujua, mpaka alipofariki.

Baadhi ya maswali ambayo watu wengi huuliza:

Je unajitambua kama wewe ni Sociopath ?
Waweza jipima kama wewe ni sociopath au la. Je, unapata ugumu kuwaonea wengine huruma ? Je unapenda kuona wengine wanateseka au haujisikii lolote mtu mwingine anapoteseka ? Je, kwa makusudi umewahi kutaka kumfanyia "kitu mbaya" mtu ?

Je, sociopath kuna kitu kinatokea unakuwa triggered?
Sio lazima kitu kitokee wawe triggered, kumbuka hawa sociopath hawana hisia zozote
Je sociopath ni wazungu tuu kwa kuwa wazungu labda wanakuwa lonely so hawana cha kufanya kiasi kwamba wananyemelewa na hizo hisia?
Sociopath hajisikii lonely. Hajui hizo hisia za kuwa lonely , hajisikii kutaka kupendwa, hajisikii chochote.Huyo ndio real sociopath. Hata hivyo SIO kila mtu mwenye kufanya jambo la ukatili ni sociopath. Kuna wanaofanya jambo baya wakajutia, pengine kwa hasira , au visasi. Ila sociopath yeye , kufanya ubaya ni "hitaji" lake muhimu.

Serial Killers wote ni sociopath. Serial killers ni wale wanaojitengenezea orodha ya. watu wanaowaua. Ni hatari sana hawa watu, kwani sio lazima watumwe kuua. Ni kwamba wanajitengenezea sababu zao kichwani mwao zinazowatosha basi.
Hata hivyo SIO kwamba sociopaths wote ni serial killers.


Warnings
Sociopaths are great liars because they have no conscience. So they will use all excuses for their actions in order to avoid being discovered for who they really are.
Sociopaths are less prone to emotion and so can use your emotion against you. It is most effective to deal with people in terms they understand; so, if you must deal with a sociopath, leave your emotions/feelings at the door or they will control you. Be immune to their charm. This just goes without saying.
Don't let them know that you're on to them. While this could go different ways depending on the sociopath, it's still best that they don't know that you know.
Although not all sociopaths are violent, it is best to distance yourself from these people on any emotional, friendship level.
Sociopathic tendencies can often be confused with that of conditions such as autism or vice versa. The key difference is that sociopaths lack conscience, whereas autistic people do care, but may be clueless how to respond, and guess wrong.
Mkuu ungesoma na watu wanaoitwa ma psychopaths before haujaandika hii kitu, maana hapa umewaelezea psychopaths na sio sociopaths. There is a huge difference between them
 
Sociopathic behaviours hailetwi na ugonjwa wa akili, its mainly contributed na mambo mtu aliyopitia katika early or tender age, mfano mtoto akipitia psychological torture, kunyanyaswa, kupigwa au hata kubakwa, mara nyingi hawa watu wanakuja kua na anti social behaviours wakiwa wakubwa. Tofauti yao na ma introverts ni kwamba, ma sociopaths ni ma opportunist na waigizaji wazuri, wanaweza kukuigizia kama wana kupenda kumbe kuna kitu wanatafuta kwako, they are also good liars na mara nyingi ni watu wenye akili in the sense that wanaweza wakajiliiiza wee mpaka ukaingia mkenge ukawapa wanachotaka. Na ni vigumu kuwajua kwasababu niwa igizaji wazuri saaaana. They are pathological liars, pathological breakers and makers of promises. Mfano mzuri wa sociopaths ni SHERLOCK HOLMES na mfano mzuri wa psychopaths ni NICKLAUS wa the originals, Dexter and serial killers
Najiuliza,kama social path ni ugonjwa wa akili,kwa nini Mgonjwa huyu akikamatwa nchi nyingi adhabu yake ni kifo?kama ni kusafisha mbegu mbaya Kwenye jamii,kwa nini hawafungwi maisha badala ya kuuawa.Au ni ile hulka ya binadamu kutaka malipizi?
 
Wengi wa hawa watu wana Antisocial Personality Disorder, kuwatambua watu hawa ni rahisi;

Kwanza hujithamini yeye tu na si binadamu mwingine, yupo tayari kuuwa na hana majuto ndani yake.

Anaweza kukuchekea kwa lengo la kukuvuta karibu, ukidhani kuwa ni mwema kwako na baadaye anakufanyia tukio ambalo hukutegemea.

Kusema uongo ili mtu aangamie, au kutoa ushahidi wa uongo ili upate tabu au uingie matatizoni kwake yeye ni kawaida, Tena akiwa na macho makavu usijue kuwa anachosema ni uongo.


Wapo wengi sana kwenye jamii yetu, kuwa makini nao

Nawasilisha
 
Kuna Dada mmoja pia hapa kazini nahisi na yeye ana tabia hizo :
1. Yeye kila kukicha huwachongea wenzake kwa Boss ili waonekane wabaya, si kitu, sio chochote.
2. Cha kushangaza zaidi Boss huyabeba yale maneno kama yalivyo na kuwafukuza kazi baadhi yetu.
3. Mtu akifukuzwa kazi huyu Dada anafurahia sana tena sana sana na roho yake inaridhika kabisa.
Duh!
Kuna mdada nimewahi fanya nae kazi yuko exactly hivyo ulivoeleza...
 
Wengi wa hawa watu wana Antisocial Personality Disorder, kuwatambua watu hawa ni rahisi;

Kwanza hujithamini yeye tu na si binadamu mwingine, yupo tayari kuuwa na hana majuto ndani yake.

Anaweza kukuchekea kwa lengo la kukuvuta karibu, ukidhani kuwa ni mwema kwako na baadaye anakufanyia tukio ambalo hukutegemea.

Kusema uongo ili mtu aangamie, au kutoa ushahidi wa uongo ili upate tabu au uingie matatizoni kwake yeye ni kawaida, Tena akiwa na macho makavu usijue kuwa anachosema ni uongo.


Wapo wengi sana kwenye jamii yetu, kuwa makini nao

Nawasilisha

Tuseme unakuta mahali fulani kuna kitu kama crime ring ya watu na baadhi yao kama si wote, wana manifest tabia za namna hii kama mlivyozijadili hapa, na ni katika kundi la watu ambao hawafiki 50 au 40. Katika scenerio ya namna hii, hii hali unaweza kuiitaje? Yaani wanakuwa wako tayari kwa chochote kile, assuming kuna loop hole ambayo inaweza ikawafanya wakawa kwenye safe side, yaani kwamba ikitokea nafasi wanayoitamani, wanaweza waka-commit hiyo crime halafu wakaikwepa kwa kuzuga na sababu ambazo wanaamini kuwa zinaweza zikakubalika kwenye jamii husika kwamba wao si wale walio-commit crime hiyo, wakati siyo kweli! Hii hali tunaiitaje, inapotokea ni kundi la watu wako namna hii?
 
Mawakili woote ni socialpath sasa, wana uhakika umeua lakini bado wanakutetea
 
Wengi hufanya mapenzi ya jinsia moja!
WAO WAKIWA WATENDAJI!!!
 
Mimi kuna mfanyakazi mwenzangu nahisi atakuwa kwenye hili kundi maana kuna baadhi ya matukio ni ya kuogofya maana mwanadamu wa kawaida hawezi kuyafanya

Baadhi ya matukio mfano unapofika mwisho wa mwezi kwa wanaofanya idara ya afya mtanielewa kuna viela fulani hivi inategemea na sheria kwenye taasisi huwa mnapewa kama motisha Tu moja ni fedha za kazi ya ziada(extra duty) fedha ya nauli au ya chai asubuhi kinachonifanya nielezee hili ni anapokuwa mkali na jasiri kugomea kuitoa hiyo fedha anaweza kukupa sababu kuwa ulishaichukua angali haujafanya hivyo

Lingine ni ujasiri alionao kuwa dai wateja (wagonjwa fedha) yaani ni zaidi ya hatari....

Mfano leo client alizidiwa nikaamrisha afanyiwe vipimo zaidi ya vi5 kutokana na condition aliyonayo baada ya kundua vipimo vyote hakuna nikaamua apelekwe Hospital ya mkoa chaajabu alipata ujasiri wa kumdai mtu mahututi ikabidi nimzuie...

Ombi langu kwa vijana especially mnaotaka kuoa tizameni haya mambo kiundani sana nina yasema haya kwasababu kuna kausemi kana sema ukitaka kumchumbia msichana mchumbie mama yake ili ujue tabia za mwanaye, kuna kabinti kake kalinivutia ila kutokana na tabia aliyonayo mama yake ya kutokuwa na roho ya kawaida ya kibinadamu ikanivutia kumchunguza mtoto 100% mtoto pia anayo nikampiga chini


Dah asante mleta uzi umenifunza kitu nimeamua kushare scenerio niliowahi kukutana nayo kidogo....

Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Dexter Morgan katika tamthilia iitwayo DEXTER anaonyesha tabia
zinazotambulisha Sociopaths. Itazame hiyo tamthilia kwa kujiongezea
ujuzi kuhusu watu hawa hatari waitwao sociopaths.
Hii ni kwa mujibu wa mtaalamu aitwaye Paul Rosenberg na references nyingine. Atakayetaka makala nzima aniambie email yake ntamtumia.

Kwanza sociopath ni nani ? A sociopath: is an otherwise normal human who has a profound lack of empathy for the feelings of others. Yaani sociopath kwa asili yeye haoni huruma kwa mtu yoyote yule. Hata hivyo sio lazima ajionyeshe wazi wazi kuwa hana huruma, hujificha ili kutimiza hitaji lao la kumpata mtu wa kumtenda.
Kwakuwa wao hawana hisia zozote za huruma wala mapenzi, inawalazimu hao sociopath kuiga watu wa kawaida wanavyoishi. Na kwakuwa hatutilii maanani jinsi watu wanavyoonekana , ni ngumu kutambua nani haswa ni sociopath, nani siye.
Ni shida kumjua sociopath kwakuwa
1. Wengi wetu tunaamini kila mtu ni mzuri, wakati ukweli kuna watu 100% ni wabaya tuu, ni muda tuu unawasubirisha kufanya ubaya wao.
2. Sio wengi sana inakadiriwa 2% ya watu wote ni sociopath mahesabu ambayo pia yanasemwa kuwa kati ya watu 50 mmoja ni sociopath
3. Lingine kwakuwa wao hawana hisia yoyote wao hawajisikii vibaya kudanganya, jambo linawapelekea kutokutambulika uongo wao hata kwenye LIE DETECTERS, zile mashine za kutambua kama mtu anasema uongo au la.
Baada ya kueleza hapo juu kwanini ni ngumu kwa watu wengi kumtambua sociopath tuone jinsi ya kumtambua.
1. Kama unasoma hii kitu tayari unafaida ya kumtambua sociopath kwakuwa wao hutumia kutokujua kwetu kuwa wao wapo. Ile imani kuwa kila mtu mzuri hutuharibu na kutuweka hatarini kudhurika na sociopath. Hivyo kila wakati tambua kusoma jinsi mtu anavyobehave.
2. Pamoja na kwamba sociopath huiga kuonekana wapo wa kawaida, huwa wanashindwa kwa asilimia 100 kuonyesha huruma na upendo. Ingawa wengine huwa na wenza wa ndoa, na hata watoto, ila chunguza namna wanavyoonyesha hisia zao haswa utagundua utofauti mkubwa. Vitu vya kuangalia ni namna wanavyojali wapenzi wao, watoto, mambo ya misiba na mijumuiko ya kijamii, pamoja na kuweza kufeki, ila ukia ngalia kwa makini utajua kuna walakini.
3. Kwakuwa sociopath kiasili hujisikia raha kudhuru wengine , chunguza watu ulionao karibu je hujisikia raha kusingizia wengine, au hufanya matendo yasiyo ya kihuruma na hawaonyeshi kujutia, n.k .
4. Wazungu wanasema "when the deal is so good, think twice". Kuwa makini na watu wanaojifanya wema sana.
5.Kwakuwa wanahitajika kujificha, hujitengenezea mazingira ya kutokutambulika na kuiaminisha jamii kuwa ni watu safi, kiasi kwamba hata ukija sikia wamefanya hivyo utashangaa. Wengi wa wanasiasa na viongozi wa asasi mbalimbali inasemekana ni sociopath.
Chunguza maamuzi ya wanasiasa wengi yasivyo na huruma. Mfano wa viongozi maarufu ni Mao Tse-tung ambaye ni baba wa taifa la CHINA anayedaiwa kubaka na kuua watu wengi kwa njaa. Mwingine ni kiongozi wa zamani wa shirika la utangazaji la BBC anaitwa Jimmy Savile ,yeye alikuwa na genge la udharirishaji wa watoto. Aliendesha genge lake kwa miaka 40 bila watu kujua, mpaka alipofariki.

Baadhi ya maswali ambayo watu wengi huuliza:

Je unajitambua kama wewe ni Sociopath ?
Waweza jipima kama wewe ni sociopath au la. Je, unapata ugumu kuwaonea wengine huruma ? Je unapenda kuona wengine wanateseka au haujisikii lolote mtu mwingine anapoteseka ? Je, kwa makusudi umewahi kutaka kumfanyia "kitu mbaya" mtu ?

Je, sociopath kuna kitu kinatokea unakuwa triggered?
Sio lazima kitu kitokee wawe triggered, kumbuka hawa sociopath hawana hisia zozote
Je sociopath ni wazungu tuu kwa kuwa wazungu labda wanakuwa lonely so hawana cha kufanya kiasi kwamba wananyemelewa na hizo hisia?
Sociopath hajisikii lonely. Hajui hizo hisia za kuwa lonely , hajisikii kutaka kupendwa, hajisikii chochote.Huyo ndio real sociopath. Hata hivyo SIO kila mtu mwenye kufanya jambo la ukatili ni sociopath. Kuna wanaofanya jambo baya wakajutia, pengine kwa hasira , au visasi. Ila sociopath yeye , kufanya ubaya ni "hitaji" lake muhimu.

Serial Killers wote ni sociopath. Serial killers ni wale wanaojitengenezea orodha ya. watu wanaowaua. Ni hatari sana hawa watu, kwani sio lazima watumwe kuua. Ni kwamba wanajitengenezea sababu zao kichwani mwao zinazowatosha basi.
Hata hivyo SIO kwamba sociopaths wote ni serial killers.


Warnings
Sociopaths are great liars because they have no conscience. So they will use all excuses for their actions in order to avoid being discovered for who they really are.
Sociopaths are less prone to emotion and so can use your emotion against you. It is most effective to deal with people in terms they understand; so, if you must deal with a sociopath, leave your emotions/feelings at the door or they will control you. Be immune to their charm. This just goes without saying.
Don't let them know that you're on to them. While this could go different ways depending on the sociopath, it's still best that they don't know that you know.
Although not all sociopaths are violent, it is best to distance yourself from these people on any emotional, friendship level.
Sociopathic tendencies can often be confused with that of conditions such as autism or vice versa. The key difference is that sociopaths lack conscience, whereas autistic people do care, but may be clueless how to respond, and guess wrong.
In short tuseme hawa sociopath huwa wanaishi maisha ya kuigiza roho nzuri ila wana roho mbaya kupita kiasi, na kwa bahati mbaya sana huwa hawawezi kujulikana na watu walio wengi! Frankly speaking from my heart, I know at least two, assuming mimi siyo mmoja wao. I am wrong only if unknowingly, I'm also a sociopath!
 
Mimi kuna mfanyakazi mwenzangu nahisi atakuwa kwenye hili kundi maana kuna baadhi ya matukio ni ya kuogofya maana mwanadamu wa kawaida hawezi kuyafanya

Baadhi ya matukio mfano unapofika mwisho wa mwezi kwa wanaofanya idara ya afya mtanielewa kuna viela fulani hivi inategemea na sheria kwenye taasisi huwa mnapewa kama motisha Tu moja ni fedha za kazi ya ziada(extra duty) fedha ya nauli au ya chai asubuhi kinachonifanya nielezee hili ni anapokuwa mkali na jasiri kugomea kuitoa hiyo fedha anaweza kukupa sababu kuwa ulishaichukua angali haujafanya hivyo

Lingine ni ujasiri alionao kuwa dai wateja (wagonjwa fedha) yaani ni zaidi ya hatari....

Mfano leo client alizidiwa nikaamrisha afanyiwe vipimo zaidi ya vi5 kutokana na condition aliyonayo baada ya kundua vipimo vyote hakuna nikaamua apelekwe Hospital ya mkoa chaajabu alipata ujasiri wa kumdai mtu mahututi ikabidi nimzuie...

Ombi langu kwa vijana especially mnaotaka kuoa tizameni haya mambo kiundani sana nina yasema haya kwasababu kuna kausemi kana sema ukitaka kumchumbia msichana mchumbie mama yake ili ujue tabia za mwanaye, kuna kabinti kake kalinivutia ila kutokana na tabia aliyonayo mama yake ya kutokuwa na roho ya kawaida ya kibinadamu ikanivutia kumchunguza mtoto 100% mtoto pia anayo nikampiga chini


Dah asante mleta uzi umenifunza kitu nimeamua kushare scenerio niliowahi kukutana nayo kidogo....

Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaka na Yakobo azidi kukutunza. Ulichonacho rohoni nimekipata kwa uzito uleule ulioukusudia wasomaje wako wakipte. Yaani unazo kabisa sifa zote za mtu aliyekasimishwa mamlaka na Mungu, ya kutunza watu wake hapa duniani kuhakikisha wanaendelea kuwa hai!
 
Back
Top Bottom