Gerald mlelwa
New Member
- Feb 19, 2014
- 2
- 0
What next........
Hahaaa huu uzi nimecheka sana...ah
East Africa yoooooteeee ni jina moja tu naona linaweza kuwfanya mapinduzi na kuwa celebrity wa ukweli...............LUPITA NYONGO.Na hzo comments za watu na warumi inaelekea anajua mengi ya hawa celebrates
Hii gari ya Diamond ndo ile alopewa na Kiumbe 😳😳 .samahani lakiniii
Na wolper gari wapi siku hizi?
Ile X6 BMW ilisha pigwa mnada.Nafikiri alidanganya kadi feki au haikulipiwa ushuru.
Au jamaa alimchoka akaamua kumyanganya kiaina.
Mark X haizidi milion 15. Dubai hata milion 8 unapata.
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
Utasikia eti nayo imekuja kuanikwa hapa jukwaani
06. Ommy Dimpoz
Dimpoz anamiliki Mark x yenye thamani ya zaidi ya milioni 30.
05 . Ney wa Mitego
Ney wa mitego naye anamiliki gari aina ya Mark X yenye dhamani ya shillingi milioni 35.
04 . Wema Sepetu
Wema Sepetu anamiliki gari aina ya
Audi Q7 yenye thamani ya kuanzia milioni 70 kuendelea.
03 . Lady Jaydee
Jay dee anamiliki gari aina ya Range Rover Evoque linalokadiriwa kwenye milioni 65 hadi 72 hivi.
02. Irene Uwoya
Irene Uwoya ana miliki gari aina ya Mercedes Benz S Class 550 Sedan yenye rangi ya Black metalic ambayo thamani yake inakadiriwa zaidi ya millioni 153.
01 . Diamond Platnumz
Anamiliki gari aina ya TOYOTA LAND CRUISER V8 200 lenye thamani ya shillingi millioni 245 za kitanzania.
nahiyo audi ni wema au aliongwa kanyanganywa...mjomba unatulisha matango pori.Hilo ni la diamond au la chief kiumbe?
yeah atleast mjini ukiwa na nyumba ni bora zaidi.........
Shilole aende shule nae elim nayo muhim
wewe mwenye shule umemzidi nini?