Wafahamu wasanii sita(6) bongo wanaomiliki magari ya gharama zaidi kwa sasa

Hapa Mwenye gari ni Jide Peke yake maana magari ya kijapani ni vigari kwani huwa yana majina hata hayaeleweki, Mara Hawa , Nadia, Joti, Harrier, Joyce, Dude, lakini kama ni Range Rover ni jina hilo tu shape tofauti, hata hivyo kuna madreva kama Diamondi CK na Uwoya, madreva wengine wakina Wolper na Wema wenye nayo wameyahitaji, wale mapapaa kiuno. Eheeee!!!
 
Jd...pesa ya jasho....hiyo nampongeza!! Wengine wa mark x sawa ila wabinti hao wawili wa Q7 na benz s!!! Aah! Pesa si rahisi hivyo...

Sent from Samsung Note III using Tapatalk
 
jd na platinum ndo wamiliki wa ukweli kutokana na jasho lao japo thamani ya magari yao inanitia shaka,
hawa wengine am sure kadi za gari hawana.
 
Mark X haizidi milion 15. Dubai hata milion 8 unapata.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
06. Ommy Dimpoz

Dimpoz anamiliki Mark x yenye thamani ya zaidi ya milioni 30.



05 . Ney wa Mitego

Ney wa mitego naye anamiliki gari aina ya Mark X yenye dhamani ya shillingi milioni 35.





04 . Wema Sepetu

Wema Sepetu anamiliki gari aina ya
Audi Q7 yenye thamani ya kuanzia milioni 70 kuendelea.



03 . Lady Jaydee

Jay dee anamiliki gari aina ya Range Rover Evoque linalokadiriwa kwenye milioni 65 hadi 72 hivi.



02. Irene Uwoya

Irene Uwoya ana miliki gari aina ya Mercedes Benz S Class 550 Sedan yenye rangi ya Black metalic ambayo thamani yake inakadiriwa zaidi ya millioni 153.



01 . Diamond Platnumz

Anamiliki gari aina ya TOYOTA LAND CRUISER V8 200 lenye thamani ya shillingi millioni 245 za kitanzania.


Cc Lupita Nyong'o
 
Back
Top Bottom