Source please....Nimepata taarifa kuwa wafadhili kadhaa wakubwa wamekata msaada wao kwa taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation.
Hii stori naona kama haijakaa bado vizuri. Zaidi ya kutaja source na kutaja wafadhili waliojitoa, ni vyema pia kujua wamejitoa kwa sababu zipi. Tukumbuke kuwa kama alikuwa na wafadhili wengi wa marekani, hivi sasa foundation nyingi zimekatiwa funding kutokana na global economic crisis. Mkikumbuka ile ponzi scheme ya Madoff, waliumia wengi ambao walikuwa wafadhili. So mi sioni kama tunaweza kusema mapema hivi kuwa eti ni ishara ya wafadhili kukosa imani na Ben. Let's wait for things to play out, lakini asante mkuu kwa taarifa zako.
Nina list ya Foundation na watu binafsi wote walioumizwa na Mardoff scandal sijaona CLINTON GLOBAL INITIATIVE na BILL AND MELINDA GATE Foundation...
Umeshawahi kuona nikiibuka tu kuanzisha topic kama sina uhakika na source zangu....
omarilyas/tanzanianjema
Omarilyas mkuu, heshima kwako, nilisema kuwa ni muhimu tujue hao wafadhili ni akina nani. Umetaja wafadhili wawili
- Clinton Global Initiative - kwanza tuelewe ya kuwa Clinton hatumii pesa zake bali anatumia nafasi yake na umaarufu wake kukusanya pesa kutoka wafadhili na kuwapa charity mbalimbali. Na yes, wafadhili wa Clinton Foundation wamekuwa affected with the Madoff ponzi scheme
- Bill and Melinda Gates Foundation - sina taarifa ya wao kuwa affected directly
Kama una majina mengine tutaweza kuendeleza mjadala.
BTW kama una taarifa zaidi basi itakuwa vizuri ukiweza kutueleza sababu zilizotolewa na wafadhili hawa kusimamisha ufadhili wao.
Shukrani
Sierikali ya Norway ilitoa $ 3 millions au zaidi ktk kuanzisha Mkapa Fellows Foundation (MFF)..wafadhili wengine sijui walitoa kiasi gani!
Mnataka sababu? LOL
Lakini ukweli ni kuwa Mzee wetu jina limeharibika sana kutokana na scandals za nyumbani...Na maoni haya nimeyasikia kwa watu (wa ughaibuni) waliokuwa wakimwagia sifa sana enzi zile za mwisho wa utawala wake
Omarilyas
Maane,
Hiyo ya shilingi kwa maslahi binafsi kuwekwa mbele ya maslahi ya nchi umeongea pointi kubwa sana ya kizalendo!
Sera tu..serikali itoe sera mpya over incentivisation ya wafanyakazi wake ktk maeneo magumu na siyo experiments za mda mfupi without sustanability strategies!