Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 14,195
- 40,097
- Thread starter
-
- #141
Wanaume wengi bado hawajai-master sanaa ya kuyaangalia mahusiano kwa jicho la kibiashara. Linapokuja suala la mahusiano wengi wana ile mentality kwamba mwanaume ni mkombozi wa mwanamke. Suala la kufanya assessment kuangalia na mwanamke anakuja na tangible output gani kwenye mahusiano bado ni geni kwa wanaume wa kiafrikaUmeeleweka Mkuu, ni ukweli japo unakera wengi
Wakati wanapigania usawa hawakujua kwamba haki sawa itakuja na wajibu sawaWanawake wanataka 50/50 kwenye mambo mengine ila ya pesa hawataki kuambiwa ukweli
Mimi sijafanya rejea ya dini yoyote katika andiko langu. Ya Kaisari tumpe Kaisari, ya Mungu tumpe Mungusijasema hivyo unanilisha maneno, isitoshe mimi mambo ya kuvuliwa siyajui, iam a Christian na naamini katika ndoa, and mwanaume ni lzm uwe ready ku endesha familia kabla ya kuianzisha …
Hakuna popote nilipoandika neno tajiri kwenye post. Umasikini niliomaanisha ni kushindwa hata kumudu mahitaji ya msingi bila kuwa na sababu yoyote ambayo ipo nje ya uwezo wakoKwamba vijana mmetajirika, sasa mnakwepa wanawake maskini
Very objective analysismambo mengine bhana, >68% ya watanzagiza ni masikini, halafu wewe unasema waepuke wanawake masikini, chances are that kwenye familia yako masikini wapo na ni wengi tu kwa maana zaidi ya nusu watazagiza ni masikini i.e ktk kila watu 2 mmojawapo 1 ni maskini, sasa hiyo theory yako ita-work vipi? ...
Wewe unachochea ugomvi tu, mada huna muda nayo.Kwenye mahusiano Yeye atakuja na pesa. Wewe utakuja na nini?
AiyaHakuna popote nilipoandika neno tajiri kwenye post. Umasikini niliomaanisha ni kushindwa hata kumudu mahitaji ya msingi bila kuwa na sababu yoyote ambayo ipo nje ya uwezo wako
Kuna wanaoona kuombaomba ni sifa wakikemewa wanasema mbina tunawaomba K, wanalinganisha K na kusuka, simu, kodi, gas, magonjwa nk.Mwanamke masikini ni liability. Kaa nae mbali kama bado unajenga maisha yako. Hakuna chochote chenye thamani anachoweza kuchangia kwenye mahusiano. Hawezi kukupa hela, connections za michongo wala kukusuluhishia tatizo lako lolote.
Hata ukiwa kwenye mahusiano na mwanamke masikini. Ukapata mwanamke mwingine mwenye tabia nzuri na anajimudu mahitaji yake au anatokea kwenye familia yenye connections(za kisiasa, biashara n.k), basi achana na yule masikini. Kwa sababu masikini ni liability, na yule mwenye hela/connections ni asset. Mwanaume daima yaangalie mahusiano kwa jicho la kibiashara kama wafanyavyo wanawake
Usijifanye shujaa kwenye maisha ya mwanamke masikini. Hauhusiki na umasikini wa mwanamke Umasikini wa mwanamke sio tatizo lako, ni tatizo lake na familia yake. You don't owe any woman the life her parents failed to give her.
Mwanamke masikini ana njaa, ana bill za kulipa, na anajua mahusiano ndio nafasi rahisi kutua mzigo wake. Kumbuka yeye anapotua mzigo wake, mzigo huo utaubeba wewe kwa sababu utataka kudhihirisha upendo na uanaume wako kwa kubeba jukumu la kumtimizia mahitaji yake.
Hapa sio lazima akuombe hela,kwa sababu tayari yupo kwenye maisha yako utajiona una wajibu wa kumpa hela. Hivyo vielfu 10 utaona sio chochote. Ghafla utashangaa hela yako haikai na kuanza kujiuliza sijaenda club, sijanunua nguo, hela imeenda wapi? Jibu ni rahisi, kuna liability umeiongeza kwenye maisha yako.
Tupo kwenye dunia ya usawa wa kijinsia. Mwanamke kapewa fursa zote alizopewa mwanaume. Hakuna kisingizio chochote cha mwanamke kuingia kwenye mahusiano akiwa masikini na kutaka atimiziwe mahitaji yake na mwanaume. Mwanamke masikini apambane kwanza kutengeneza maisha yake ndio aingie kwenye mahusiano, vinginevyo atumike kama chombo cha starehe.
Brozos, broke women don't date for love, they date to survive. You saw a future she saw an opportunity, and temporary bonding grease called "love" blinded you because you never questioned the uncertainty.
Brozo, a broke woman will slow you down and still leave you in the end when she see no significant progress.
Don’t be a simp.
Mwanamke ambae sio masikini labda ujitakie wewe kubeba mzigo wake, ni tofauti na masikini ambaye utajiona unawajibika kuubeba mzigo wako. Kumbuka hapa mimi siongelei kuombaomba, naongelea ni ile dhamira ya mwanaume kujiona kama mkombozi kwa mwanamke. Sio mbaya kuwa backup ya mwanamke wako, lakini kubeba jukumu la kuinua maisha yake ni suala jingine. Hiyo sio backup, ni total responsibility.Kwahiyo unataka kusema ambaye siyo masikini hakwitishi mzigo? Mimi nachojua wanawake hawa awe broke au siyo broke wote wanapata backup kutoka kwa mwanamme ,sasa hiyo backup ndiyo tafsiri inatofautiana.
Hili ni tatizo jingine la wanajf kujiona wanasaikolojia. From middle 20's sijawahi kudate na mwanamke broke. Hata wife nilikuatana nae akiwa anafanya kazi. Kipato nilikua namzidi kwa mbali sana, vilevile masuala mengine nilikua namboost lakini hakuwahi kunibebesha jukumu la mahitaji yake na hela yake nilikua naiona kwenye mahusiano yetuMkuu inaonyesha haujawahi kudate na wanawake ambao siyo broke(independent) ,tafuta mtu aliyewahi kudate nao akupe data zao.....Usifinanishe maisha ya kwenye filamu Ray kigosi au Dr Cheni kapendwa na mwanamke tajiri mambo kwenye ground ni tofauti kabisa.
In term of tangible output in relationship, mwanamke masikini ni mzigo.Mimi nachokataa hapa kugenerilze mambo kwamba mwanamke masikini basi ni mzigo kwa mwanamme ambacho si kweli kuna ambao siyo masikini pia ni mzigo kwa mwanamme and vice versa is true.
Hiyo ni kesi nyingine. Kuombaomba ni kujidhalilisha, ni vyema wanawake wakafanya kazi kumudu mahitaji ya muhimu pamoja na kupangilia matumizi yao kwa kiwango cha kipato vhao, na pale inapotokea kaomba msaada ionekane ni kweli hapa anahitaji msaada. Lakini kutaka exchange ya money kwa sex ni kujidhalilisha.Kuna wanaoona kuombaomba ni sifa wakikemewa wanasema mbina tunawaomba K, wanalinganisha K na kusuka, simu, kodi, gas, magonjwa nk.
Then, stay in your laneHao hao ndio wanaotufaa kwenye dhiki, huyo asset hawezi acha kazi zake akuuguze ukiwa mgonjwa
Mwanamke masikini atakuchelewesha. Halafu kwanini wengi mnafikiri substitution ya mwanamke masikini ni mwanamke tajiri. Mwanamke akiwa na shughuli ya kumudu tu mahitaji yake ni sawa.Umasikini hauwezi kuletwa na mwanamke unayemuita masikini.
Mwanaume uliyekamilika haihitaji utajiri wa mwanamke.
Mwanaume utadhihirika.
Nipo sana mzee mwenzanguMzee upo
NambieMwanamke masikini atakuchelewesha. Halafu kwanini wengi mnafikiri substitution ya mwanamke masikini ni mwanamke tajiri. Mwanamke akiwa na shughuli ya kumudu tu mahitaji yake ni sawa.
Watu muwe mnasoma kwa kuelewa mbona nimeandika kwamba "kwa kijana ambaye anajenga maisha yake" . Sasa hao wakina Mo na Lugumi wapo kwenye building stage?hata hivyo unafikiri huyo Mo na GSM wameoa kwenye familia masikini?Nambie
Wake za matajiri kama Bakhresa, Mo, Mengi, Lugumi, Kikwete, n. K ni matajiri namba ngapi TANZANIA
Mwanaume kubeba mwanamke ninjukumu lako ni sawa ulalamike kuwa kende zimekuwa nzito.
Mwanamke ni sehemu ya mwanaume.
Mwanamke hawezi kukufanya kuwa masikini wala tajiri