Wadau wa Sekta Binafsi kukutana na Rais Magufuli ukumbi wa JNICC

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu hawa Wadau wanaogopa inabidi wawe wanafiki.
 
Jiwe hajielewi aisee. Yaani kama Kuna kundi lililoumizwa na utawala huu ni wafanyabiashara. Kwa kuwa kalazimisha wamelazimika kukutana naye tu lkn haimuongezei mileage yoyote kisiasa.

Magufuli akubali tu kuwa alilikoroga Basi alinywe tu.
Sikiliza hapa jinsi alivyokuwa anasema mbovu siku za nyuma.
View attachment 1603941
Kunda kundi la wafanya biashara wanalia na kuna kundi wacheka tena saaana. Kutegemea na ulivyotega na kuvuna. Na hiyo ndio biashara.
 
Haki na USAWA,

Wagombea URAIS wote wangeenda kwenye hilo kongamano na kumwaga SERA ZAO Ni wapi sekta BINAFSI imetoka, ilipo na inaenda wapi.

Kukutana na Mgombea mmoja tena wa chama tawala MIZANIA ya habari haikuzingatiwa.

"MWIGOPENI MUNGU"
 
Haki na USAWA,

Wagombea URAIS wote wangeenda kwenye hilo kongamano na kumwaga SERA ZAO Ni wapi sekta BINAFSI imetoka, ilipo na inaenda wapi.

Kukutana na Mgombea mmoja tena wa chama tawala MIZANIA ya habari haikuzingatiwa.

"MWIGOPENI MUNGU"
Wanajaribu kufanya siasa, japo wengine ni fursa wamepiga hela zao tokaana na hilo tukio
 
Kweli kabisa kiongozi muongo kama alietudanganya kitambulisho cha machinga unaweza chukulia mkopo hatufai na hafai kuwa kiongozi wa uma.
Angekudanganya si angepewa onyo Kali kama alivyoadhibibiwa jamaa yenu wa kiki?? Vitambulisho vya machinga ni lazima kwani uchumi wa taifa lolote duniani unajenhwa na kila raia wake kulingana na pato walilonalo. Hivyo kila mtanzania ni wajibu kuchangia maendeleo ya taifa lake.
 
Angekudanganya si angepewa onyo Kali kama alivyoadhibibiwa jamaa yenu wa kiki?? Vitambulisho vya machinga ni lazima kwani uchumi wa taifa lolote duniani unajenhwa na kila raia wake kulingana na pato walilonalo. Hivyo kila mtanzania ni wajibu kuchangia maendeleo ya taifa lake.
Kwahio mkuu ukiwa nakitambulisho cha machinga unapata mkopo bank?.
 
Wadau wa Sekta binafsi nchini Tanzania wanakutana na Mh Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. leo katika ukumbi wa JNICC kwa nia ya kumpongeza Kwa mafanikio ndani ya miaka mitano

Naona leo mliwalazimisha wafanyabishara waende kumpamba Magufuli. Hapiti tena akipungia watu maana kashaua upinzani?
 
Angekudanganya si angepewa onyo Kali kama alivyoadhibibiwa jamaa yenu wa kiki?? Vitambulisho vya machinga ni lazima kwani uchumi wa taifa lolote duniani unajenhwa na kila raia wake kulingana na pato walilonalo. Hivyo kila mtanzania ni wajibu kuchangia maendeleo ya taifa lake.

Apewe adhabu na tume aliyoichagua yeye? Mbwa anaweza kumng'ata anayemfuga. Hizo hatua walizowachukulia wapinzani yeye si ndio anawaagiza tume wachukue.
 
Hakuna aliyetishwa ni kwa hiari na maandalizi yao wenyewe
Kwenye nchi za madictator hayo ni mambo ya kawaida wafanyabishara kutishwa ili wajifanye wanamkubali dictator. Tuna uzoefu na tabia hizo, na mfanyabiashara ili awe salama iwapo jamaa atarudi madarakani, inabidi ajipendekeze tu.
 
3456890.jpg
 
Wadau wa Sekta binafsi nchini Tanzania wanakutana na Mh Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. leo katika ukumbi wa JNICC kwa nia ya kumpongeza Kwa mafanikio ndani ya miaka mitano

Mnahangaika sana.
Hakuna sekta iliyoathirika kama hiyo:
1. Shule zinashindwa kujiendesha
2. Utalii umekufa...korona
3. Viwanda vinekufa
4. Usafirishaji ndio kabisaa
5. Sekta ya habari iko matanga

Mnamdanganya mwenzenu sana

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom