Wadau wa old bongofleva tukutane kesho

Wadau wa old bongofleva tukutane kesho

emmadizzo

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2017
Posts
1,503
Reaction score
1,683
Habari zenu mazee poleni na pilika za wiki nzima nachukua fursa hii kuwapongeza east africa tv/radio kwakutuletea burudani

Ni leo jumamosi show ni wakongwe kibao stejini nadhani ni siku nzuri yakwenda kuluka ngoma zetu zakitambo ebwaneee wauni kibao ndani wakiongozwa na kassim kiroboto "juma nature" sio show yakitoto ni kihistoria

Tukutane badae saa mbili usiku show ndoinapo anza ebu mdau taja ngoma unayoipenda yakitambo mimi naanza na mayowe afande sele...

usisahau wapo kina

Dully
J mo
Daz baba
Mandojo & domokaya
mb doggy
Wagosi wa kaya
Solid ground family
Afandesele

Ebwaneee usikose...
 
HESHIMA YA BONGO FLAVOUR
Wapi Jr Junior na Dullah Planet??? Dj Summer, wapi Dj Dea..ommy crazy je?? nomaaaa PLANET BONGOOOO
 
kesho ni kwenda kutoa heshima ya bongo fleva

umewasahau Mabaga fresh

oyooooooooooooooooo!

piga keleleeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Huwa namkubali sana dully,ana swaga fulani hivi ambazo zimegeuka kuwa identify yake.Pia namwelewa sana Pro jay na mandojo na domokaya
 
Mziki mtamu wa enzi hizo ulikuwa mtamu ukiusikiliza kupitia Kiss Fm mida ya kuanzia saa 11.Dj Malis....hataree...ilikuwa noma sana
 
Mziki mtamu wa enzi hizo ulikuwa mtamu ukiusikiliza kupitia Kiss Fm mida ya kuanzia saa 11.Dj Malis....hataree...ilikuwa noma sana
Umenikumbusha mbali sana Dj Malis alikua na mwenzake enzi hizo kiss fm ndo radio ya burudani
 
Mziki mtamu wa enzi hizo ulikuwa mtamu ukiusikiliza kupitia Kiss Fm mida ya kuanzia saa 11.Dj Malis....hataree...ilikuwa noma sana
[emoji16] [emoji16] [emoji16] aiseeeh, akikaa na yule dem mganda, kiss noma sana 17:00 hadi 20:00.
 
Una ngoma ya Sir. Nature - mzee wa Busara ft Inspector haroun?
 
Back
Top Bottom