Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
mimi sio mdau wa mambo ya udaku kiviile ila katika mishe mishe zangu nilikutana na habari kwamba irene uwoya ameachana na mume wake katika sababu zake alisema hv;kwanza sijawahi kumpenda Ndikumana kabla sijafunga naye ndoa na hata baada ya kufunga. akaendelea tena kusema ile ndoa kama nililazimishwa lakini sikuwa na mapenzi ya dhati Hata hivyo, nimejitahidi sana kuishi naye miaka miwili na nusu! (Miezi 18) ila taarifa zinasema wamerudianahebu jamani tupeni ushauri huyu mwanamke je izo ni kauli nzuri kusema pale unapokuwa una matatizo na mwenza wako ndani?hata kama wamerudiana kwa kauli hzo za huyo mdada huyo mumewe ataweza kumpenda tena au atakuwa anajisikiaje