Crumpy Crumper
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,351
- 3,295
Asipokuja Universal Champion sio Mali yake tena, so ni lazima ashow his dumbass face on RAW.ila mkuu Lesnar ni jeuri hatakuja wala nini!
Leo nitakaa macho hadi saa 9 kwa ajili yake
Asipokuja Universal Champion sio Mali yake tena, so ni lazima ashow his dumbass face on RAW.ila mkuu Lesnar ni jeuri hatakuja wala nini!
Asipokuja Universal Champion sio Mali yake tena, so ni lazima ashow his dumbass face on RAW.
Leo nitakaa macho hadi saa 9 kwa ajili yake
Huyu fala anaeitwa Nakamura tegemeo lake pekee ni low blows!!....Athletic mzuri kama huyu unawezaje kufanya kitu ambacho sheria za WWE haziruhusu!??Mpaka sasa ni Seth Rollins na AJ Styles ndio waliopiga kazi ya maana kwenye EXTREME RULES
Game ya Seth imeniuma sana Mwana kapambana sanaHuyu fala anaeitwa Nakamura tegemeo lake pekee ni low blows!!....Athletic mzuri kama huyu unawezaje kufanya kitu ambacho sheria za WWE haziruhusu!??
Mechi ni ya mtu mmoja kwa mmoja ila huyu fala dolph ziggler anakuja na tag team yake,yaani yeye pamoja na Drew Mcintyre!Game ya Seth imeniuma sana Mwana kapambana sana
Dan Ambrose arud tu.... Jamaa yuko viZur sanaMechi ni ya mtu mmoja kwa mmoja ila huyu fala dolph ziggler anakuja na tag team yake,yaani yeye pamoja na Drew!
Ambrose is returning September to beat people!Dan Ambrose arud tu.... Jamaa yuko viZur sana
Natamani Siku wajichanganye waingie balaa la Monster in the Bank AwanyoosheMechi ni ya mtu mmoja kwa mmoja ila huyu fala dolph ziggler anakuja na tag team yake,yaani yeye pamoja na Drew Mcintyre!
King of DDTAmbrose is returning September to beat people!
Mkuu kwani Seth Rollins amepokomywa mkandaMkanda wa wiziwizi!!.......Kipigo cha mbwa koko kinakuhusu kesho mbwa wewe!!View attachment 810791
ndo anao tayar......kwan reigns ana mkanda upi hata wa wizMkanda wa wiziwizi!!.......Kipigo cha mbwa koko kinakuhusu kesho mbwa wewe!!View attachment 810791
Mkanda wa low blow haukubaliki,kesho kwenye smackdown ananyang'anywa na Jeff Hardy!ndo anao tayar......kwan reigns ana mkanda upi hata wa wiz
Haters akina baba mtakatifu watasema kuwa umelogwa wewe!Ngoja nitabiri kabisa kwenye Summer Slam, main event ni The Beast vs The Big Dog
Hahahahaha! Bila kumsahau gebuHaters akina baba mtakatifu watasema kuwa umelogwa wewe!
Kwan The Beast VS The Big Dog ndo kumaanisha Tayar Big dog kashinda....Duuh inaonesha mnateseka sana Lesnar akiendelea kuwa na ule mkanda....Ningekuwa Lesnar ningewarudishia mkanda wao bila hata kupigana....Maana hakuna wa kupigana nae.Haters akina baba mtakatifu watasema kuwa umelogwa wewe!
Lesnar ameponea chupuchupu kutumbuliwa na raw manager jana kisa kukwepa kupigana!....Lesnar ni coward champion ever existed!!.....Mashabiki walikuwa wanaimba strip the title! strip the title! strip the title!!Kwan The Beast VS The Big Dog ndo kumaanisha Tayar Big dog kashinda....Duuh inaonesha mnateseka sana Lesnar akiendelea kuwa na ule mkanda....Ningekuwa Lesnar ningewarudishia mkanda wao bila hata kupigana....Maana hakuna wa kupigana nae.