rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,535
- 6,621
Monster in the bank je!?Reign asipoingiliwa au kufanyiwa figisu, sioni wa kumpiga pale WWE
Monster in the bank je!?Reign asipoingiliwa au kufanyiwa figisu, sioni wa kumpiga pale WWE
Mkuu Big Dog na Bobby vp ? Nani kashinda.... Nasubiri marudio leo saa 11:30 jionAmbao hawajaangalia extreme rule live nawaona jinsi wanavyokodoa macho!!
Alieshinda ni Bobby!!....Spear aliompiga big dog siyo ya nchi hii!Mkuu Big Dog na Bobby vp ? Nani kashinda.... Nasubiri marudio leo saa 11:30 jion
DSTV wameadjust ratiba,marudio yataanza saa moja na nusu jioni leo jumatatu tarehe 16/07/2018 supersport 9 badala ya saa kumi na moja na nusu!Mkuu Big Dog na Bobby vp ? Nani kashinda.... Nasubiri marudio leo saa 11:30 jion
AiseeeeeAlieshinda ni Bobby!!....Spear aliompiga big dog siyo ya nchi hii!
HollywoodHivu BATISTA THE ANIMAL yuko wapi siku hizi
Duuh....Poleni sana ...Ila tuliwaambia mapema.....Alieshinda ni Bobby!!....Spear aliompiga big dog siyo ya nchi hii!
Jamaa ni fala sana,mimi ningekuwa general manager ningempangia mechi za kuchezewa kichapo cha mbwa koko ili anyooshwe kama walivyonyooshwa akina Kalven Owen na Sami zayn!!Drew Mackintyre fala sana
Ya lesnar tuachane nayo.....Tuzungumzie ya Leshley kumtwanga Roman ReignsGeneral manager Kurt Angle kwenye extreme rules ya leo ametangaza kuwa atamtumbua Brock Lesnar kama ataendelea kukwepa mechi!
Tutegemee Leo kumuona Lesnar kwenye RAW, maana kamwambia asipoleta Pumbu zake kibarua kitaota nyasi leoGeneral manager Kurt Angle kwenye extreme rules ya leo ametangaza kuwa atamtumbua Brock Lesnar kama ataendelea kukwepa mechi!
ila mkuu Lesnar ni jeuri hatakuja wala nini!Tutegemee Leo kumuona Lesnar kwenye RAW, maana kamwambia asipoleta Pumbu zake kibarua kitaota nyasi
Sasa hivi umehama kwa Lesnar upo kwa Leshley sasa!!......Shabiki kigeugeu wa Lesnar!!Ya lesnar tuachane nayo.....Tuzungumzie ya Leshley kumtwanga Roman Reigns